Kwanini Wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?


Upo namba ngapi hapa mwl. Wa R na L?
 
Ni wale wale mkuu,tofauti yao na wengine wao wameipata FA FA na EE form six then wakaingia chuo na DEE au DDE au EEF ( moja ikiwa ya divinity)then UDSM,SUA na kwingineko wakapata PASS
 
Kipanga anapata DDDDFFFFFFF? No wonder wewe ni mwalimu
 
Mkuu elimu ya kuunga unga haijawahi kulisaidia taifa hili,hao wa kuunga unga hata thinking capacity yao and their creativity is so questionable,wengi wao ndo wale wanaamka mapema kwenda ofisini huku wakiwa hawajui wanaenda kufanya nini, and bila boss wake kuja kumwambia Cha kufanya atakaa ofisini hadi saa kumi akiwa hafanyi chochote
 
Acha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
Wapo wengi Sana,nikutajie hapa wilayani kwetu? Au nikupe namba zao za siku?
Unawaona malofa Sana waalimu eeeh!
Mshahara wa milioni moja ni tgts g kwa walimu,sasa waulize he tgts g wako wangapi? Tena sio milioni tu take home ni milioni moja na laki moja.
 
Matokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F
Hizi ni dharau Tena za kiwango Cha sgr! Unakuwaje msahaulifu hivi? Hawa walimu unaowabeza ndio walezi wa watoto wenu nawe ulinifaika na hizo f zao kwani bila wao usingekuwa inajifanya mjanja hapa jf!
Naamini hata yule wa darasa la kwanza aliyekufundisha kupenga makamasi hakufika sekondari lakini alijitahidi kufundisha Hadi ukafaulu kwenda sekondari kutandaza hizo A zako ambazo kimsingi hazikusaidii lolote kupambana na Maisha yako kitaa!
Na hii ni laana ambayo haitokaa ikuepuke kwani umejaa dharau, kiburi na maringo kwa kujiona kipanga wa kila kitu!
Waombe msamaha walimu kwa dharau hii uliyoionyesha juu yao la, utakuwa na Maisha magumu mno mbeleni!
Poleni walimu mliomfundisha mpumbavu huyu asiyeitambua thamani yenu kwake!
 
Mkuu!! huyo jamaa bado ni kijana mdogo asiyejua maisha usijisumbue kumjibu hivyo mpuuze tu .
 
Mkuu!! hawa wanaoandika dharau za aina hii, wengi wao bado ni vijana wadogo ambao bado hawajapambana na changamoto za maisha.

Na ukiona kijana anamdharau mwalimu ujue hata mzazi wake hamheshimu.
 
Matokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F
Kuna kipindi mimi mwenyewe nilikua na fikra kama zako. Ila kwa sasa mambo yamebadilika, ukitaka kwenda ualimu wa Certificate mwisho III na vyuo vikuu watu wanakwenda ualimu na I kabisa.
Hao walimu wanaopigwa hela sasa hivi ni wale wa zamani ( walimu wa upe). Sasa hivi watu wanadegree first class wako kitaa hawana kazi .
 
Mleta mada in hopeless kila mada in walimu tu.
Shika jembe ukalime dogo kuongelea watu wanaokuzid kila kitu in kujiongezea stress za maisha.
 
Sawa stori za vijiweni tushazizoea
Tatizo huelewi maana ya mshahara. Mshahara ni ile Basic Salary na sio Net pay.
Kwa maana hiyo waalimu wengi waandamizi wana mishahara hiyo kuanzia milioni moja na kuendelea kwa maana ya Basic salary.
 
Walimu ni janga la taifaaa! Huwezi amini kuna walimu kwa mwezi anapokea sh.2,000/- kwa ajili ya kukopa hovyo2 kwa watu binafsi! Maana benki wakibakiza theluthi moja, anakimbilia kwa watu binafsi! Yaani walimu ni shida tupu!
 
Una shida kichwani ndugu kilaza. Jitahidi Sana kwenye maisha yako kuwa positive utaishi miaka mingi. Hizi chuki zisikuchoreshe.
 
Walimu ni janga la taifaaa! Huwezi amini kuna walimu kwa mwezi anapokea sh.2,000/- kwa ajili ya kukopa hovyo2 kwa watu binafsi! Maana benki wakibakiza theluthi moja, anakimbilia kwa watu binafsi! Yaani walimu ni shida tupu!
Mhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…