Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Let me get this right are you saying if we get our contracts right buy fuel and it would be the end of our woes, if so enlight me how please?what I mean is to start to exploit the true value of the mineral deposits and of course invest the proceeds to buy fuel which will be relatively cheaper than prices paid today, re-vamp education, health, infrastructure, agriculture and so on. This would result in the government being able to run its affairs independent of foreign aid?...
Your point stimulates kitu kingine. Sote tunajua umuhimu wa diaspora remittance - fedha ambazo kwa mfano, watanzania walio nje wanatumia ndugu zao. Kwanini sisi tupo nyuma ya nchi nyingi sana Za Afrika? Kenya, Uganda, wametupita sana katika hili. Wakenya, Waganda, waliopo Canada huko kwako Mkandara, waliopo UK, USA, etc, kila mwaka wanatuma jumla ya dollar zaidi ya billioni moja; Sisi Tanzania hata nusu ya hizo hatutumi nyumbani. Na takwimu za WorldBank zinaonyesha kwamba, idadi ya fedha hizi kuja bara la afrika ni kubwa kuliko idadi ya Foreign Aid. Fedha hizi za waafrika waliopo nje wanaotumia ndugu zao, wingi wake umepitwa na Foreign Direct Investment Pekee, then second ndio hizi fedha, na third ni Foreign Aid. Na hizi ni jumla ya fedha watu wanazotuma western union n.k.
Kwanini sisi watanzania tupo nyuma katika hili? hatupendi ndugu zetu nyumbani wafanikiwe? tuna roho mbaya? Kwanini waganda, wakenya wanatupita katika hili? Wataalam wanasema kwamba impact ya fedha hizi ni kubwa kuliko ile ya Foreign Aid kwani unlike foreign aid ambayo ina matatizo mengi kama masharti ya WorldBank jinsi gani ya kuzitumia, ubadhirifu na ufisadi wa viongzi wetu n.k, diaspora remittances - fedha zinazotumwa na watanzania waliopo mfano wa Ulaya, Marekani kuja Tanzania zinaenda moja kwa moja kwa mlengwa na nyingi husaidia familia zao in terms of ada za shule, matibabu, lakini pia zinanunua viwanja, baiskeli, zinajenga nyumba n.k.
Hata hapa kwetu Tanzania, ni kabila moja tu ndio lenye tabia ya kujali kwao - nao ni wachaga. Hawa kwao kuna maendeleo kutokana na utamaduni wao wa kutuma fedha makwao, kuanzisha miradi makwao, kujenga n.k. Lakini wanyakyusa, wahehe, wanyamwezi, wahaya, wabondei, wasukuma, wakurya, wangoni, n.k, wengi wao hawafanyi hivyo. Ina maana makabila mengine hawana uwezo wa fedha kama wachaga? Au wana roho mbaya au ni hawana moyo wa kizalendo kwa ndugu zao huko mikoani? Makabila mengi, kipimo cha mafanikio yao ni matumizi Dar-es-salaam.
The US Dollar ndio major trading currency duniani kwa sababu ipo more stable na kwa ushahidi wa kihistoria, kwahiyo mataifa mengi sana (tajiri na maskini)lingependa kuwa na reserve ya dollars kuliko their own currency ambazo value zake hazitabiriki kesho zitakuwa vipi. Hata nyumbani Tanzania, mtu upo more comfortable kuwa na a dollar account kama una uwezo kuliko a T.sh account kwani unlike T.sh account, ambazo thamani yake sana sana itashuka siku zinavyozidi kwenda mbele, dollar thamani yake itabakia pale pale if not kuongezeka.
Lakini swali lako linalenga kuzuri - to strengthen shillingi yetu; lakini ujue pia kwamba, Gold yetu inakuwa exported ikiwa rough, not processed; hawa wazungu wajanja sana; huko kwao, ukipeleka processed gold, wanakuchaji kodi kubwa sana, nia yao ikiwa kuhakikisha kwamba processing inafanyika kwao ili kutoa ajira n.k.
One of the best ways za ku strengthen our currency ni kuongeza mahitaji ya shillingi katika uchumi; mfano, Kenyan shilling ina nguvu kwasababu ukiwa mle ndani, hauhitaji dollar, lakini hapa kwetu, kodi za nyumba inachajiwa kwa dollar, tarriff za simu zinachajiwa kwa dollar, kodi za wawekezaji kwa dollar, hoteli zinachajiwa kwa dollar; nguo madukani, kina dada na kina kaka wanaenda kutuletea kutoka china kwa kutumia dolllar; Panadol za kenya, zinafuatwa kule na dollar, sio shillingi; BlueBand hivyo hivyo, kwahiyo unakuta mwisho wa siku, watanzania wenyewe tunaitupa shilllingi kwenye pipa la taka in exchange for a dollar, hivyo kushusha thamani ya sarafu yetu. Na sasahivi hata kununua juice ya bhakheresa dukani na kulipia shilllingi elf tatu, dollar imetumika kuifikisha pale dukani kwani kutokanana uhaba wa matunda Tanzania, Bhakhera ananunua matunda nje kwa dollar, na kuja kututengezea juisi humu; Kenya mambo yao mengi sana wanajitosheleza wenyewe kwani wana viwanda vingi vya basic goods, kwahiyo hawahitaji kutupa shillingi yao ya kenya kwenye pipa, ili impatie dollar akalete dawa za kichwa, dawa za kuua mende kutoka nje; Sisi hata maumivu ya kichwa, hata siagi, hatuna viwanda vya nyumbani vya kutuwezesha kutumia dollar kuvifuata katika maduka yetu, bali kubadilisha shillingi into dollars ili tuvuka mpaka wa kenya kwenda kununua vitu hivi; Mwisho wa siku shillingi inakua useless, whether kwa kujijua au kutojijua.
Tanzania, budget yetu haiweki kipaumbele kwenye DEVELOPMENT ( Ni aibu hata kuweka % ya budget inayokwenda kwenye Dev).
Mdau Mchambuzi thanks for your thorough analysis maybe the solution would be to adopt the mining policies of Botswana to eliminate donor aid and set us free?..
Mimi nawaheshimu sana wachagga,ni watu wanafanana na wa Asia katika kujitambua,ku enzi utamaduni wao,hardworking, determination,focused.Huwa nawatania kwa kuwaita wachina wa Tanzania.Pia huwa nasema kama wangepata busti kwenye viwanda vyao vidogovidgo tusingekuwa tuna import vitu kama vile viatu kwa sababu tungekuwa na " viatu vya mchagga'
of good quality.
Wachagga ni mfano wa kuigwa ili kuleta maendeleo hapa Tanzania ,honestly speaking.Kujitambua na kujua nini cha kufanya in our own perspective ndo msingi wa maendeleo.Nipo huku ughaibuni,huwa tunatoa vitu China na kuleta huko home for business,mimi na rafiki zangu wote ninaowafahamu wamelizwa na ndugu zao huko Bongo,isipokuwa mchagga,huwa anashangaa inakuwaje ndugu yako anaweza kukuibia na kukumaliza kabisa,yeye anapeta na business zake safi,sisi wengine tumeamua tuanze kuwekeza huku tuliko.
Kuhusu external factors kama WB,IMF etc,kwa mtizamo wangu,naona ni woga tu,lakini sio kitu cha kutufanya tusithubutu.Watu wa success in life wanasema: 90% of all fears normally never happen,>>>>>,kwa hiyo tuthubutu,wenyewe watakuja in other ways.
"KWANI WAO WAWEZE WANA NINI, NA SISI TUSHINDWE TUNA NINI"...Juma Nature
Hizo nchi wana export manpower sisi tunatafuta manpower hatuna. Hawa Watanzania wanaokwenda nje ni kwa njia zao wenyewe tu lakini sio kwa kuwa tuna Industry ya ku Export Manpower. Hatuna.
Ni muhimu ukarudia kuzitazama tena takwimu zako. Tanzania mwaka 1961 ilikuwa ni moja ya nchi maskini kuliko zote za Afrika kwa sababu kadhaa, moja ikiwa ni kwamba Mjerumani alikaa muda mfupi sana kwahiyo hakupata muda wa kuendeleza uchumi, miundo mbinu n.k. Mwingereza akachukua tanganyika toka kwa mjerumani, lakini tofauti na Kenya kwa mfano, sisi hatukuwa koloni per se chini ya mwingereza, bali protectorate, kwahiyo mwingereza hakuwa na interest sana na tanganyika, ukifananisha na kenya, zimbabwe n.k, ambako alidhania ataishi kule milele - kumbuka maeneo kama Zimbabwe, Kenya, yalikuwa ni settler economies; sasa how can a protectorate under plantations export more than settler economies?
Literature yote inayozungumzia historia ya uchumi wa Tanganyika inaelezea kwa kirefu sana jinsi gani Tanganyika ilibakia nyuma kimaendeleo kutokana na sababu hizi. Na hata moja ya sababu kubwa za kufa kwa jumuiya ya afrika mashariki wakati ule ni kutokana na Tanzania kuona itapunjwa, kwani Kenya walikuwa mbali sana kiuchumi, hata kabla ya Ujamaa Tanzania.
Ingawa sijaelewa sana una maana gani kuhusu industry ya ku export man power, pengine kwasababu ninaichanganya na tatizo la brain drain, point yangu ilikuwa tu kwamba watanzania walio nje wengi wana mapato tu ya kuweza saidia ndugu zao nyumbani. Kutuma Dollar 50 kwa mwezi kwa shangazi kijijini Mara itafanya mambo mengi sana.
Hapo sio sahihi, Mjerumani aliwekeza reli inayopita sehemu zote muhimu, kulikuwa kuna central, south na north Routes. Mwingereza aliirithi reli na akahakikisha inafanya kazi vizuri kabisa, na wakati tunachukuwa Uhuru, kulikuwa kuna reli kila siku ya kwenda Mwanza, ya kwenda Tanga, Ya kwenda Arusha na ya kwenda mpaka Kenya. Ambapo hakuna reli kulikuwa kuna mabasi ya Railway na magari ya mizigo ya railway. Barabara ingawa zilikwa si za lami lakini wakati tunachukuwa Uhuru barabara zote kubwa zilikuwa zikipita misimu yote, si mvua si jua. Kulikuwa kuna PWD (Public Works Department) ikifanya kazi inavyotakiwa na mabarabara yote makuu yalikuwa na vituo vya TRM (Tanganyika Road Maintenance) hawa walikuwa wanahakikisha barabara zinapitika wakati wote.
Tanganyika haikuwa maskini wa mwisho, huo si ukweli kabisa, vipi uwe maskini wa mwisho wakati wa uhuru ambapo ulikuwa ndio exporter wa kwanza wa mazao ya shambani katika Afrika. Kumbuka katika Afrika nzima.
Ukweli ubaki kuwa ukweli, wakati anaondoka Nyerere kila kitu kilikuwa taabani. Nakumbuka sisi utotoni tukipanda treni kusafiri hadi unaona raha, vitanda vizuri, mashuka myeupe safi kabisa, chakula kizuri, hakuna kubanana, hakuna kuchelewa na ukienda Iringa hakuna reli unapanda basi la Railway. Aaaah, yule mzee katumaliza vibaya sana. Kila kitu kakiuwa, hakuna hata palipobaki na afadhali. Kubomowa ni rahisi kujenga ni tabu.
Ni miaka 120 tena hapo tusijidai ujanja, sisi wenyewe hatuwezi. Inabidi tupate wataalam wa uhakika kutoka huko walikoweza. La tunajidai kufanya wenyewe basi miaka 500 mingine, hata tusome tupindukie. Maawee! Kusoma pekee hakusaidii sana kunafuta baadhi ya ujinga lakini kuelimika ndio muhimu. Na kuelimika hakuji mkwa kusoma tu. Kuelimika kunakuja na "expirience".
Utashindana na mtu ambae ana Universities kwa miaka 800 iliyopita, wasomi wangapi wameyoka huko na wameacha "expience" ya kiasi gani, wewe ndio kwanza vyuo vyako vyote havijatiwa mpaka leo hata wahitimu 500,000 kwa miaka yoooote vilivyokuwepo. Halafu unafikiri utaweza tu? Maaaweee! Tazama wenzenu miaka yao vilipoanza vyuo vikuu:
The first universities in Europe with a form of corporate/guild structure were the University of Bologna (1088), the University of Paris (c. 1150, later associated with the Sorbonne), the University of Oxford (1167), the University of Palencia (1208), the University of Cambridge (1209), the University of Salamanca (1218), the University of Montpellier (1220), the University of Padua (1222), the University of Naples Federico II (1224), the University of Toulouse (1229),[SUP][10][/SUP][SUP][11][/SUP] the University of Siena (1240).
Ukweli ubaki kuwa ukweli, wakati anaondoka Nyerere kila kitu kilikuwa taabani. Nakumbuka sisi utotoni tukipanda treni kusafiri hadi unaona raha, vitanda vizuri, mashuka myeupe safi kabisa, chakula kizuri, hakuna kubanana, hakuna kuchelewa na ukienda Iringa hakuna reli unapanda basi la Railway. Aaaah, yule mzee katumaliza vibaya sana. Kila kitu kakiuwa, hakuna hata palipobaki na afadhali. Kubomowa ni rahisi kujenga ni tabu.
| GDP BY SECTOR OF THE ECONOMY | 1960 | 1985 FOR FAIZA FOXY TO DETERMINE |
| KILIMO | 2.6 Billion Tanzanian Shillings | X |
| MINING | 163 Million Shillings | X |
| MANUFACTURING | 446 Million Shillings | X |
| ELECTRICITY, GAS AND WATER | 53 Million Shillings | X |
| TRANSPORT AND COMMUNICATIONS | 400 Million Shillings | X |
| TRADE AND FINANCE | 887 Million Shillings | X |
........unaonyesha wazi hukuelewa kitu. Umetoka mtupu na pengine hili ndio tatizo jingine kuwa tumesoma lakini hatukuelemika.......
Wadau, what if the minerals mined here are sold in TZS to strengthen the currency and make petrolium imports cheaper?
Sell Gold, Diamonds & Tanzanite in TZS to strengthen the currency and reduce the price of imported petrol?
.............. That requires creating employment (through a command or market economy), technological advances and a better way to utilize our resources. All those challenges need to be addressed in relation with the current context of global and home politics, finance, economical approaches etc, etc etc ........
............One of the best ways za ku strengthen our currency ni kuongeza mahitaji ya shillingi katika uchumi; mfano, Kenyan shilling ina nguvu kwasababu ukiwa mle ndani, hauhitaji dollar, lakini hapa kwetu, kodi za nyumba inachajiwa kwa dollar, tarriff za simu zinachajiwa kwa dollar, ............
Mdau Mchambuzi thanks for your thorough analysis maybe the solution would be to adopt the mining policies of Botswana to eliminate donor aid and set us free?..
Na kwa kuongezea tu, bajeti ya serikali imegawanyika katika makundi mawili -
1. Matumizi ya kawaida [Posho, mishahara, kutibu viongozi nje, safari za wakubwa nje, repairs za nyumba za viongozi, repairs za magari ya wakubwa, petroli na diesel za magari ya wakubwa, n.k
...........Furthermore, whatever savings are made within the economy are mainly sent abroad or are frittered away in consumption rather than being redirected to productive purposes. Much of the national income which remains within the country goes to pay individuals who are not directly involved in producing wealth but only in rendering auxiliary services-civil servants, merchants, soldiers, entertainers, etc. What aggravates the situation is that more people are employed in those jobs than are really necessary to give efficient service; and to crown it all these people do not reinvest in agriculture or industry.
They squander the wealth created by the peasants and workers by purchasing cars(shangingis ).............
Pg 33 na 34 said:It has been noted with irony that the principal ‘industry' of many underdeveloped countries is administration. Not long ago, 60%, of the internal revenue of Dahomey went into paying salaries of civil servants and government leaders. The salaries given to the elected politicians is higher than that given to a British Member of Parliament, and the number of parliamentarians in the underdeveloped African countries is also relatively high.
In Gabon, there is one parliamentary representative for every 6,000 inhabitants, compared to one French parliamentary representative for every 100,000 Frenchmen. Many more figures of that sort indicate that in describing a typical underdeveloped economy it is essential to point out the high disproportion of the locally distributed wealth that goes into the pockets of a privileged few........
Tanzania, resources zinaibwa na wajanja, hiyo nakubali.........
..............By 1984, however, pandas were no longer given as gifts. Instead, the PRC began to offer pandas to other nations only on 10-year loans, under terms including a fee of up to US$1,000,000 per year and a provision that any cubs born during the loan are the property of the PRC. Since 1998, due to a WWF lawsuit, the United States Fish and Wildlife Service only allows a U.S. zoo to import a panda if the zoo can ensure that the PRC will channel more than half of its loan fee into conservation efforts for the giant panda and its habitat
source panda DIplmacy
Nashukuru sana kwamba wewe umetazama hivyo na pengine unazo points za maana. Mimi binafsi naamini TANZANIA ni sisi, tunaposema Tanzania imepata Uhuru ina maana ya watu wake na sio ardhi..vivyo hivyo tunapozungumzia umaskini wa nchi unawagusa moja kwa moja wananci wake..Na maadam tupo ktk kundi la nchi maskini na naamini hatuwezi kufanya mabadiliko yoyote ya kiuchumi kama tutajiondoa ktk kuamini kwamba Tanzania ni nchi maskini na inahitaji mabadiliko ili watu wake wapate kutajirika..Utajiri wa nchi unathaminishwa kutokana na utajiri wa wananchi wake.Mkuu Mkandara, binafsi I disagree with the thesis framework. In my opinion the thesis should have been " Why is Tanzania rich, but the people do not benefit from its riches"
Haiwezekani nchi yenye Tanzanite ( The only one in the world), Gold ( one of the major producers in Africa), Diamond, Uranium, Natural Gas, Game Reserves ( Serengeti, Mikumi nk), Arable Land, population over 40 million, Major ports with landlocked countries as neighbors nk, NCHI HIYO IITWE MASKINI.....
Kusema Tanzania ni maskini ni ujinga tuliolishwa na wakoloni ambao viongozi wetu wanaamini bila kufikiria.
Tanzania ni underdeveloped, hiyo nakubali
Tanzania wananchi wake utajiri wa nchi unawapita pembeni, hiyo nakubali
Tanzania, resources zinaibwa na wajanja, hiyo nakubali
Tanzania, viongozi wameweka sera mbovu zinazoweka leakages za mapato zaidi ya $10Billion per yr, hiyo nakubali
Tanzania, wananchi na wafanyabiashara hawainvest kwenye manufacturing ambayo ingeongeza uchumi kwa haraka, hiyo nakubali
Tanzania, ni dampo la bidhaa cheap kutoka China zinazoua kabisa ability ya kuwa manufacturing power house, hiyo nakubali
Tanzania, budget yetu haiweki kipaumbele kwenye DEVELOPMENT ( Ni aibu hata kuweka % ya budget inayokwenda kwenye Dev)
NK NK NK NK
Kwa hiyo in concluding ni kuwa UMASKINI WETU sio wa UKWELI in real terms, NI WA KUJITAKIA, ni kama vile Saudi Arabia OIL inawasaidia wanachi wake kuwa na utajiri, lakini NIGERIA OIL haiwasaidii wananchi wake kuondokana na umaskini, lakini huwezi kusema Nigeria ni maskini. Kwa hiyo in SHORT, TATIZO NI Namna keki inavyogawanjwa na sio ukosefu wa keki.
Tanzania kama Rais angekuwa KAGAME, ndio tungejua ukweli wa UTAJIRI WETU, lakini hapa tulipo ni miujiza ya Mwenyezi Mungu tu ndio inayoweza kutukomboa in the near future sababu UONGOZI HAKUNA, SERA za UCHUMI ni MBOVU zinawabenefit wajanja na foreigners, MANUFACTURING BASE HAKUNA, KILIMO kinapewa LIP SERVICE NK
May God Bless Tanzania.
Kwa nini hatuna industry ya kuexport manpower?