watz n mbumbu we angalia bandari sasa wanyarwanda ndo wamrletwa kufanya kaz.
 
Wana forum, ningependa kufahamishwa kujua kwanini Tanzania tu masikini.Haya yote ni wakina nani wamesababisha, kuanzia tupate uhuru hadi leo
Nawasilisha
 
Wana forum, ningependa kufahamishwa kujua kwanini Tanzania tu masikini.Haya yote ni wakina nani wamesababisha, kuanzia tupate uhuru hadi leo
Nawasilisha

masikini wewe mi sio masikini
Acheni kuaminisha watu upuuzi wenu hapa
Yaani mvivu wewe halafu ulaumu wengine kwamba ndo wamekusababishia umasikini .....! shame on u guys
 
Habari zenu wanamtandao
Ebu tujiulize huu umasikini tanzania utaisha lini! Ilifikia hatua nikasema kwakua nchi hii imeongozwa na wanaume kwa miaka 54 sasa bassi tuwape wanawake wasomi waiongoze ingalau tuwaone kwa miaka 5 tu kwakuanzia.
Nchi hii ni tajiri sana lakini rasilimali za nchi zachukuliwa kama shamba la bibi.
Wananchi tuamke sasa na nyie wanawake wasomi wenye kuujua ulimwengu mjitokeze kuwania urais 2015.
Nawasilisha
 
Tuwahimize wanawake wajitokeze kuwania urais 2015. Wanawake wanahofu ya mungu hawataihujumu nchi
 
Si ulishaambiwa kuwa Rais kasema kuwa yeye ndiye atakuwa Rais wa mwisho kuongoza Tanzania maskini ............ Neema inaanza mwakani mkuu!!
 
Umasikini wetu watz sio sababu ya nchi kuongozwa na mwanaume, tuna mawaziri waandamizi wanawake wangapi? je utendaji kazi wao una tofauti na wanaume?
Angalia kwa waziri sophia simba anavyoendesha wizara kibazazi, anasubiri mtu abakwe ndio atoe tamko, je ana tofauti gani na wanaume?
Nenda kwenye sheria, utamkuta angela kairuki, lakini maskini wanalia kila siku kwa kubambikiwa kesi je haoni?
Nenda kwa tibaijuka, angalia jimbon kwake na utendaj wake kwenye wizara ya ardhi nyumba na makaz, uone wamefanya nini.
 

Mkuu Kitila Mkumbo maneno haya uliyasema june 2007 na ni kweli kabisa huyu bwana amedhihirisha miaka saba baadae kuwa hana uwezo wa kuyakabili anayozungumza na kuwaza.
Ila lingine lililo jiweka wazi ni kuwa kumbe hata NIA HAKUWANAYO.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Si ulishaambiwa kuwa Rais kasema kuwa yeye ndiye atakuwa Rais wa mwisho kuongoza Tanzania maskini ............ Neema inaanza mwakani mkuu!!

Atakuwa ameacha mazingira gani hadi hiyo neema ianze mwakani? Mie nadhani hali atakayo mwachia mwenzake ni mbaya sana kwani ataanza na kulipa madeni makubwa yaliyoachwa naye wakati kilichofanyika kwa mikopo hiyo hata hakionekani.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
25% ya Watanzania ni maskini kwa sababu wamezaliwa katika kaya maskini au wametoka mikoa maskini, yasema ripoti mpya ya Benki ya Dunia.


Chanzo: Nipashe
 
Chadema inawalemaza watu kuwazaa na hawataki Kazi kabisa wanasubiria Kama mana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…