Wakuu heshima zenu
Nimekuwa nikifikiria kuhusu nchi yangu kimaendeleo na kupata jibu hili.Kwanini nchi yetu bado tupo nyuma sana ilhali tuna vitu vingi vya kutufanya tusonge mbele.Kwa uelewa wangu mdogo nadhani kuna kitu kimoja hatunacho.Hiki kitu si kingine bali ni nishati bora na yenye uhakika.Hapa ndimbo mchawi wetu alipo.
Nawasilisha
Nimekuwa nikifikiria kuhusu nchi yangu kimaendeleo na kupata jibu hili.Kwanini nchi yetu bado tupo nyuma sana ilhali tuna vitu vingi vya kutufanya tusonge mbele.Kwa uelewa wangu mdogo nadhani kuna kitu kimoja hatunacho.Hiki kitu si kingine bali ni nishati bora na yenye uhakika.Hapa ndimbo mchawi wetu alipo.
Nawasilisha