Du!! Kwanin tusiitwe shithole!!! Kama akilizenyewe ndizo hizi.kwahiyo kama wengine ni masikini ni lazima na wewebuwe masikini?Return Of Undertaker Usijidanganye kila nchi hapa Duniani iko hivyo, kila nchi unaweza kuorodhesha sifa ambazo inazo hivyo hatuna upekee wowote ule!
Hivyo kama ni Umaskini sisi ni masikini kwa sababu ambazo wengine ni masikini na wengine ni matajiri na siyo zaidi ya hapo!
Umeniangusha!Ni ya kwangu na naweza kuiandika tena hivyo hivyo!
Du!! Akili zingine kama za kuchonga vile!! Kwanini isilaumiwe ccm?Wakulaumiwa ni Sumaye na Lowasa walikuwa viongozi wakubwa lakini wakafilisi nchi.
Mkuu una madini sometime basi tu! anyway mi naamini uwezo wa kufikiri ni muhimu zaidi kuliko rasilimali za asili, jamii yenye watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ni rahisi sana kupata maendeleo!Return Of Undertaker Usijidanganye kila nchi hapa Duniani iko hivyo, kila nchi unaweza kuorodhesha sifa ambazo inazo hivyo hatuna upekee wowote ule!
Hivyo kama ni Umaskini sisi ni masikini kwa sababu ambazo wengine ni masikini na wengine ni matajiri na siyo zaidi ya hapo!
Ujinga hatujitakii bali tumetengenezwa kwa nguvu kuwa mijinga.Tatizo ni kwamba watanzania sisi ni wajinga.
Kila aneye jitambua anajuwa tatizo luko wapi.Tuanze na wewe unahisi tatizo ni nini labda!!!
Naamini kama unayajua yote hayo hata tatizo utakua unalijua liko wapi.
nahisi ww ndio uliewaita waTZ malofa pale jangwani na hapa unajitahidi kuwaaminisha hivyo,Ukweli ndo utakaokusaidia, ukijua ukweli basi unaweza kujipanga na kukubali hali halisi ili uweze kwenda mbele, lkn ukiishi kwa kujidanganya kwamba wewe ni una upekee maalumu ambao wengine hawana utakuwa na maisha magumu siku zote!
Dunia hii yote imebarikiwa na kila kitu na kila nchi ina upekee wake, kama TZ inapakana ana Kenya, Uganda, Msumbiji, kongo, Zambia hakuna sababu kwa nini sisi tu ndo tuwe na upekee wa kuwa na vitu ambavyo wengine hawana huko ni kujidanganya, isitoshe mipaka imewekwa na Binadamu, hivyo kama Gesi ipo Mtwara itakuwepo Msumbiji pia, kama Makaa ya Mawe yapo Ziwa Nyasa yatakuwepo Malawi pia n.k.!
[emoji35][emoji35][emoji35]Unaona mnazidi kujidanganya, ni nali alikwamba kwamba Tanzanite ina thamani kubwa? Unajua soko la tanzanite Dunia kote ni kiasi gani? Ni 500 milion USD tu, sasa hiyo ni sawa na karibia thamani ya Mgodi mmoja tu wa Buzwagi na nusu yake!
Kumbu kumbu zangu zinaniambia Buzwagi thamani yake ni zaidi ya milion 300 USD!
hebu ondoa ilo neno upekee halafu soma tena uelewe, usisome ili ujibu...Nafikiri nimeelewa kwamba sisi tuna upekee hapa Duniani na kwa nini ni masikini wakati nchi yetu ni kipekee? Au siyo hivyo? Na kama ni hivyo ndo nikasema siyo kweli kwamba nchi yetu pekee yake ndiyo ina upekee bali nchi zote Afrika na Duniani zina upekee wake ambao pia unaweza kuuorodhesha kama mleta mada alivyofanya!
serikali ya nani atakaeweza kufanya hivyo!!wakuu mie nilikua naona serikali yetu igawanye Tanzania ki zone,kila zone ijitegemee,kuwe na kiongozi ila wote wawe chini ya Rais,hii itasaidia kila zone kuexploit kila resources kwa maendeleo yao ya kizone,,,,,na pia kutaleta ushindani baina ya zones,sio sasa hivi hata viongozi wa juu wanamuogopa mkuu,wako passive.....
Wewe ukiwa na mshahara mnono kuliko jirani yako unataka ujilinganishe naye!! eti kwa vile fursa ni tofauti!Ukweli ndo utakaokusaidia, ukijua ukweli basi unaweza kujipanga na kukubali hali halisi ili uweze kwenda mbele, lkn ukiishi kwa kujidanganya kwamba wewe ni una upekee maalumu ambao wengine hawana utakuwa na maisha magumu siku zote!
Dunia hii yote imebarikiwa na kila kitu na kila nchi ina upekee wake, kama TZ inapakana ana Kenya, Uganda, Msumbiji, kongo, Zambia hakuna sababu kwa nini sisi tu ndo tuwe na upekee wa kuwa na vitu ambavyo wengine hawana huko ni kujidanganya, isitoshe mipaka imewekwa na Binadamu, hivyo kama Gesi ipo Mtwara itakuwepo Msumbiji pia, kama Makaa ya Mawe yapo Ziwa Nyasa yatakuwepo Malawi pia n.k.!
Kila aneye jitambua anajuwa tatizo luko wapi.
serikali ya nani atakaeweza kufanya hivyo!!
kila mtu anatamani kile kiti cha juu ili ajinufaishe yeye mwenyewe, japo idea ni nzuri na ndio kinachofanyika USA.
Katiba tu ndio suluhisho, tuweke sheria kiongozi akihusika na uhujumu uchumi afilisiwe na kutumikia kifungo.mkuu umegusa penyewe,tatizo la Tanzania na Africa kwa ujumla ni ubinafsi,corruption kila mahali,mpaka hapo tutakapopata kiongozi mzalendo ndio tutamove forward,ambaye kusema ukweli ni hard to find,huyu wa sasa alikuja na matumaini ,tukadhani tumepata,two years down the line,kila mtu anabaki anajiuliza did we?