Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakina nani mkuu?Nchi ya maziwa na asali, kwa mujibu wa maelezo yao
Acha uchochezi mkuu,wakina nani mkuu?
Nimetulia mkuu nawogopa ha😵verAcha uchochezi mkuu,
Over
Kwanini unadhani tu wajinga?Wanatuhujum kwanini wao wana akili kuliko sisi . Sisi tuko radhi kuyakimbia matatizo yetu kuliko kutafuta uvumbuzi
Waafrika sisi ni wajinga na nadhani ujinga ni asili yetu iko damuni
Simbachawene alishajibu swali jana au juzi na alipigiwa makofi na waliowengi. Pia sina shaka mzee wa magogoni alifurahia jibu!Wakati wa Mjadala wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vingi kuna mchango ulisikika ukisema Vyama Vingi ndio vimetufanya Watanzania tuwe Maskini je wadau kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umasikini ulianza 1967Wakati wa Mjadala wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vingi kuna mchango ulisikika ukisema Vyama Vingi ndio vimetufanya Watanzania tuwe Maskini je wadau kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati wa Mjadala wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vingi kuna mchango ulisikika ukisema Vyama Vingi ndio vimetufanya Watanzania tuwe Maskini je wadau kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes Mungu katupa ila ccm wametupokonyaUtajiri Mungu katupa basi tu umasikini unatutamani