Time Bandit
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 615
- 321
Attitude ya serikali kwa watanzania!Very negative!....kwa mfano; 1,Viwango vya riba ktk benki zetu ni juu mno...na serikali inaangalia tu! 2,Serikali haina mipango yeyote ya kuwawezesha wawekezaji wazawa....hata kauli za baadhi ya viongozi wetu ka mfano kuhusu gesi..eti kiongozi anadiriki kabisa kutoa kauli za kuudhi na kukatisha tamaa...hii inaonyesha wazi stinking attitude ya serikali yetu kwa wananchi wake. 3,...Wawekezaji wa nje hawjali maendeleo ya nchi...wanachojua ni kuchota rsilimali na kusepa zao...huku wakiacha umskini