Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Japo nchi ina kila mtaji unaotakiwa kujikwamua kimaendeleo mimi nadhani tatizo ni WANANCHI WA TANZANIA!

1. Wengi ni wazembe - hawafanyi kazi masaa mengi ya kutosha; wanapenda starehe kuliko kazi (rejea siku kibao za kupumzika na zingine zinazotangazwa kwa dharura, nk).

2. Wengi hawajui siasa - uelewa mdogo wa wajibu wao, umuhimu na majukumu ya viongozi.

3. Wengi hawafikirii maisha ya baadaye zaidi ya kesho.

4. Wengi wanaishi maisha ya "copy na paste" na wapenda sifa wasizostahili.

5. Wengi si wazalendo - unafiki umetamalaki, chuki - ukarimu ni kwenye salamu tu!

6. Wengi ni washirikina - watu wa nia mbili, jina dini fulani; imani nguvu za giza!

Sijaweka elimu moja kwa moja, kwa sababu binafsi sioni mchango wa elimu wanayopata watanzania kwenye mabadiliko ya fikra na mtazamo wao au hata maendeleo ya Taifa.......

Haya ni mawazo yangu. Karibuni kwenye mjadala!
 
Tanzania masikini kutokana na attitude za watu wake.

Watumishi wa umma wanatukwamisha sana.

Sasa hivi nchi inaendeshwa na private sector kwa kuchapa kazi , kulipa kodi n.k

Lakini wenzetu serikalini wamekunja nne tu wanaingia ofisini saa nne wanatoka saa saba mchana lunch time.

Na wish tupate kiongozi ambaye ataamsha hawa wenzetu nao wafanye kazi wasijione mungu watu utafikiri nchi yao wao peke yao!!!
 
Tanzania masikini kutokana na attitude za watu wake.

Watumishi wa umma wanatukwamisha sana.

Sasa hivi nchi inaendeshwa na private sector kwa kuchapa kazi , kulipa kodi n.k

Lakini wenzetu serikalini wamekunja nne tu wanaingia ofisini saa nne wanatoka saa saba mchana lunch time.

Na wish tupate kiongozi ambaye ataamsha hawa wenzetu nao wafanye kazi wasijione mungu watu utafikiri nchi yao wao peke yao!!!
Mkuu Maundumula

Shukran sana kwa hizi bayana zako.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu wa Tanzania mara nyingi huwa najiuliza swali hili lakini sipati jibu kamili, hivo nategemea kulipata humu kwa wana jamvi. Pamoja na neema zote tulizo jaaliwa na mwenyezi MUNGU ndani ya taifa hili kwani nini tuitwe nchi masikini tena ya pili kutoka mwisho? Tatizo liko wapi? Tatizo nini hasa? Na unadhani nini kifanyike ili kuondokana na hali hiyo ya umasikini uliokithiri kwa wana wa Tanzania? Naomba tujadili pamoja watanzani wenzangu.
 
Ndugu zangu wa Tanzania mara nyingi huwa najiuliza swali hili lakini sipati jibu kamili, hivo nategemea kulipata humu kwa wana jamvi. Pamoja na neema zote tulizo jaaliwa na mwenyezi MUNGU ndani ya taifa hili kwani nini tuitwe nchi masikini tena ya pili kutoka mwisho? Tatizo liko wapi? Tatizo nini hasa? Na unadhani nini kifanyike ili kuondokana na hali hiyo ya umasikini uliokithiri kwa wana wa Tanzania? Naomba tujadili pamoja watanzani wenzangu.
Kirogo...

 
Ndugu zangu wa Tanzania mara nyingi huwa najiuliza swali hili lakini sipati jibu kamili, hivo nategemea kulipata humu kwa wana jamvi. Pamoja na neema zote tulizo jaaliwa na mwenyezi MUNGU ndani ya taifa hili kwani nini tuitwe nchi masikini tena ya pili kutoka mwisho? Tatizo liko wapi? Tatizo nini hasa? Na unadhani nini kifanyike ili kuondokana na hali hiyo ya umasikini uliokithiri kwa wana wa Tanzania? Naomba tujadili pamoja watanzani wenzangu.
Mkuu Sabanya' Hakika suali lako hapo juu zuri !!
Jibu lake ni hili hapa:- Siyo wa Aminifu !! hivyo la kufanya ni Tubadilikee!!
1+1 = 2
Blessings
 
Why TZ remains poor despite vast resources

By John Mashaka (email the author)
Posted Sunday, May 26 2013 at 10:50

Source The Citizen

Tanzania is one of the poorest countries in terms of income per capita despite being one of the world’s richest when it comes to natural resources. It is the third richest in the entire continent behind South Africa and the Democratic Republic of Congo.

Tanzania’s massive potential and endless opportunities notwithstanding, the country remains donor dependent, with its people living on the edge of poverty. Many theories and myths have been out there for quite some time as to why Tanzanians are so poor. In fact, we Tanzanians are poor because we are lazy.

We like easy ways out of our hardships. Our culture and educational system, cultivate our minds to seek shortcuts out of our difficulties. We do not engage in a realistic sense of determining cause and effect of issues affecting our lives and society.

We are economically poor as a country because of our long dependence on foreign hand-outs, which have in turn enslaved our minds through a sense of entitlement. Despite abundant wealth, many African countries have made it routine for Washington and London to subsidize their budgets. We are remaining economically disadvantaged because of an enemy called corruption, a product of greed and selfishness. Tanzania lacks people with clear patriotic-sense

One would think that, with its strategic geographical location and access to the Indian Ocean, Tanzania would be an economic power. Others think that with its vast arable land and water sources, Tanzania would never experience food shortage. With its national parks, and other historical treasures, Tanzania would be a Mecca of world tourism and Africa’s economic power. We are dead wrong. Tanzania poverty paradox and potential to become an economic power is slowly slipping away.

Majority of Tanzanians do not have access to quality education required to open up their minds into knowledge base, and equip them with opportunities to explore, and discover other endless possibilities necessary to create jobs and put people to work. Inaccessibility to quality education is creating cyclic-generational poverty among millions of Tanzanians, which further complicates the untangling of the poverty paradox.

Foreigners have realized that our leaders and intellectuals are mis-educated, and are therefore handing us candy-bars at will in exchange for our resources. They are exploiting the cracks within our poor education, culture of laziness and greed, and lack of patriotism within our leadership structure to strip us of our natural wealth.

Foreigners have discovered that the mis-educated Tanzania’s political elites are more interested in nourishing their Swiss-bank accounts, than dealing with the plight of poverty that has engulfed the country. This is the reason why Tanzania is poor and will continue to be poor

Tanzania is getting poorer because we are not receptive of new revolutionary- minds that would foster economic progress. The system wide kleptocrats are not welcoming of new revolutionary brain-power. Their ineptness makes them feel vulnerable and threatened, because they are products of a culture that lacks work discipline.

The late Dr Ferdinand Masau, founder of the Tanzania Heart Institute (THI), is the sad and tragic case of how far Tanzania has to go to accept a wave of new minds that will change the country and its resources into a trillion dollar economy .

New+Document.jpg

At the red:Lazy guys wants to elect Lowasa expecting him to stop corruption
 
Mkuu, tangu nchi hii ipate uhuru imeongozwa na CCM tu lakini bado watu kama akina Ritz, Simiyu wanaipenda CCM. Nadhani hali hii ya umasikini inawaridhisha
 
1..wanasiasa kuiibia hela serikali
2...KUWA NA RAISI DHAIFU, ASIYEWAJIBIKA WALA KUWAJIBISHA ALIOWATEUA
3..katiba mbovu
4...ajira za kujuana..,
5...kuwa na jeshi la kipuuzi lisilo na wasomi linalotumiwa na wanasiasa
6....
7...
 
imani za kishirikina zimetawala sana kwa mfumo mzma wa viongozi wetu wanashndwa kuwajibika wana shdana kwenda kwa waganga wa jadi
 
Rasilimali zote hizo zinatumika na zinaingiza pesa lkn tu masikini mi najitahdi kutafakari sipati jibu mnisaidie wana jf,nikijarbu kujifananisha na majiran zetu kenya na rwanda wametuacha kwa mbali sana kimaendeleo na rasilimali zao kidogo ni kwann?
 
Tatizo ni hiki chama cha mafisadi.Bila ccm kutoka madarakani tutaendelea kulalamika siku hadi siku!
 
"Tanzania ni Nchi tajiri yenye watu maskini tokana na Nchi kukosa Elimu bora kwa watu wake,siasa bora,uongozi bora wenye viongozi bora wanaowajibika kwa nafasi zao,pamoja na sera mbovu za matumizi ya ardhi"
 
Back
Top Bottom