Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Leo nilikuwa mahakamani ambapo nilikutana na mtu mmoja aliyenimbia kuwa ana kesi yake mahakamani lakini hana Imani kama mahakama itatenda haki.
Kwa uzowefu wangu ni kwamba watu wengi hawana Imani na mfumo wa mahakama ila hawana la kufanya kwa kuwa ni lazima mashauri yao yaamuliwe mahakamani.
Ni kwa nini watanzania wengi hawana imani na mifumo ya mahakama?
Kwa uzowefu wangu ni kwamba watu wengi hawana Imani na mfumo wa mahakama ila hawana la kufanya kwa kuwa ni lazima mashauri yao yaamuliwe mahakamani.
Ni kwa nini watanzania wengi hawana imani na mifumo ya mahakama?