Kwanini Watanzania wengi hawaiamini Mahakama?

Kwanini Watanzania wengi hawaiamini Mahakama?

Leo nilikuwa mahakamani ambapo nilikutana na mtu mmoja aliyenimbia kuwa ana kesi yake mahakamani lakini hana Imani kama mahakama itatenda haki.

Kwa uzowefu wangu ni kwamba watu wengi hawana Imani na mfumo wa mahakama ila hawana la kufanya kwa kuwa ni lazima mashauri yao yaamuliwe mahakamani.

Ni kwa nini watanzania wengi hawana imani na mifumo ya mahakama?
Ni ukichaa kuamini mahakama za afrika hasa tz? Tuna wanasheria wapumbavu sana wanaoziongoza mahakama zetu, aliyekamatwa na kitoweo cha swala jela miaka 20 wakati aliyelitia hasara taifa ya shilingi bilioni 5 ameambiwa aende jela mikaka mi3 au alipe faini ya tsh mil8, yakitoka hapo yanajiita wanasheria wasomi, PUMBAVU ZAO
 
Leo nilikuwa mahakamani ambapo nilikutana na mtu mmoja aliyenimbia kuwa ana kesi yake mahakamani lakini hana Imani kama mahakama itatenda haki.

Kwa uzowefu wangu ni kwamba watu wengi hawana Imani na mfumo wa mahakama ila hawana la kufanya kwa kuwa ni lazima mashauri yao yaamuliwe mahakamani.

Ni kwa nini watanzania wengi hawana imani na mifumo ya mahakama?
Jukwaa la sports
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
Kuna kizazi hakijawahi kabisa kukisoma hicho kitabu ingawa Bado kipo madukani.
 
Mahakama ipo kwaajili ya kuwatetea wanaCCM
 
Back
Top Bottom