The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Nakulazimisha kufanyaje? Nakuonyesha tuu anavyozidi kuupiga mwingi.Nakuona unavyolazimisha,
Hatutaki sasa, Fanya utakalo Ila hatutaki
Makamba atatoka tuu....ni suala LA muda.Nakulazimisha kufanyaje? Nakuonyesha tuu anavyozidi kuupiga mwingi.
Hamtaki wewe na nani? Kwani toka mumeanza kusema hamtaki kipi mumebadili? πππππ
Ndo mda unazidi kwenda hivyo bado yupo na huna cha kufanya.Makamba atatoka tuu....ni suala LA muda.
Ukiona mayowe kila kona jua panafuka moshi.
Exactly,wanamchukia pia sababu muislamu,Sasa Rais Samia hasiwasikilize kabisa Hawa Wala nguruwe na Chuki zao binafsi
Mbingu inawataka watu dizaini ya Mwendazake,ndio maana kawahi siti huko.Makamba hata mbingu hazimtaki. Anacheza sana na maisha ya watanzania wengi.
Utatoka tu makamba acha kujifariji.Ndo mda unazidi kwenda hivyo bado yupo na huna cha kufanya.
Usimcheke aliyemaliza safari jihurumie wewe mpumbavu unayedhani utaishi milele.Mbingu inawataka watu dizaini ya Mwendazake,ndio maana kawahi siti huko.
Hizo ni ndoto za mchanaWengi wasiomtaka Makamba Ni kundi la sukuma gang, ambao wameumia kuondolewa msukuma mwenzao Kalemani kwenye hiyo wizara, kwaiyo walitamani arudishwe msukuma mwingine ,
Na wengine wanamchukia Makamba sababu ya dini yake, na pia wanashaka nae huenda kutokana na uchapakazi wake January Makamba na hile hali yakutokuwa na skendo, Kuna uwezekano mwaka 2039 Samia akimaliza muda wake January akasimamishwa na Chama kugombea urais
Dah.....kumbe 48yrs Ni mzee tayariπ³ Bora umenishtuaπ€NB: Makamba siyo kijana, ameshazeeka. Ana zaidi ya miaka 48 sasa.
Mbona wewe hujihurumii kutwa kucha kuwaza marehemu Ili akusaidie nini?Usimcheke aliyemaliza safari jihurumie wewe mpumbavu unayedhani utaishi milele.
Mkuu hii inatokana na sababu kuwa mti wenye matunda ndio ambao hurushiwa mawe. Pia ni eneo ambalo ndipo wanyama na ndege wala matunda utawakuta hapo.
Tulia wewe Simbilisi.Wewe ndiyo mdini utakuwa, auna hoja kaa kimy
Anajiona ni mwenye akili kuzid yeyote apa Bongo,kumbe bure kabsa kichwan,kazi yao ni kulamba asali tuSababu kubwa ni kwamba January ni mnjamjanja, pia amekua mwepesi wa kutafuta justifications badala ya solutions kwenye matatizo yanayo wagusa waTanzania wenye maisha ya chini moja kwa moja.
Ni waziri kijana anaedhani kwamba anaakili na yupo smart na anawaona waTanzania kama mazuzu.
Nimeona nieleze kwa kifupi kabisa.
Ushahidi uko wazi tu hatumtaki. Ni mpigaji mwenye uchu wa madaraka tuToa ushahidi Boss
Si kawaida kuwakuta nyoka wengi wakiwa wamejazana katika mti mmoja. Na pia kumbuka dhumuni la kuupiga mawe mti wenye nyoka ni kwa kutaka matokeo hasi, yaani kumuua kiumbe huyu hatari kwa maisha ya wanadamu na kisha biashara huishia hapo.Hata mti wenye nyoka kupiga mawe pia.