Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?
Mbona sababu nyingi tu zilishatolewa humo kwenye mitandao, bungeni na sehemu nyingi mbali mbalikuhusu under perfomance ya huyu waziri. Sababu hizi ni pamoja na zifuatazo:

1. Amesema kukatika katika kwa umeme kutaendelea hadi mwaka 2025 watakapomaliza kununua na kufunga transformers na vikombe kwenye line zote za tanesco. Na kwamba hii ni sayansi ambayo wananchi hawapaswi kuhoji.

2. Hayo matransformers na vikombe vinanunuliwa kutoka ulaya kwa matrillion ya pesa badala ya kuyanunua kutoka kwenye viwanda vya hapa nchini hususani vile vya TANLEC kama tulivyokuwa tunafanya hapo awali. Hata nguzo sasa zinanunuliwa kutoka nje badala ya zile za Mufindi ambazo sasa wanasema hazina ubora wa kimataifa.

3. Kakodi software ya tekohama kutoka kwenye kampuni ya magari ya Mahindra iliyo nchini India kwa gharama ya dola 30 milioni kila mwezi/ mwaka (?). Hii haina tofauti na capacity charges tulizokuwa tunakamliwa na makampuni ya umeme.

4. Kanunua nje winch la mabillion ya pesa la kubeba milango ya tani 26 kwa ajili ya kufungwa kule kwenye bwawa la umeme la Nyerere (JNHPP) ili bwawa hilo lijazwe maji mwezi Novemba 2021. Hadi sasa winch hilo halijafika na sasa anasema hata likifika halitaweza kufanya kazi hiyo kwani msingi wa pale mageti hayo yanapopaswa kuwekwa haufai. Msingi huo unahitaji matengenezo makubwa na hivyo bwawa hilo litaanza kujazwa maji mwaka 2024 kwani haya ni mambo ya sayansi!

5. Katika mikoa mingi tu hapa nchi wananchi hawaoni hayo mavikombe na matransfomer yakifungwa. Sana sana wanaona yale ya zamani yakitengenezwa pale panapotokea hitilafu kama zamani. Hata CAG hataweza katika ukaguzi wake kubainisha vikombe na transformers za zamani na zile mpya zilizonunuliwa kutoka ughaibuni.

6. Uzalishaji kwenye viwanda vyetu umekuwa wa kusuasua kwa sababu ya ukosefu wa umeme. Hii inapelekea bidhaa nyingi kupanda bei. Pia inazuia wawekezaji wapya wa viwanda kuja nchini kwetu. Hivyo ile ilani ya ccm ya Tanzania ya viwanda ifikapo 2025 inakuwa ni ndoto ngumu kuwa kweli.

7. Adhima ya kuwa na umeme kwa vijiji vyote na vitongoji vyote ifikapo 2022 imeshindikana kwani umeme hautoshi.

8. Installed capacity ya mitambo yetu ya kuzalisha umeme tuliyo nayo ni MW 1,700 kwa siku. Matumizi yetu hayazidi MW 1,200 kwa siku. Sababu zinazotolewa kwa nini tuna uhaba wa umeme tangia Januari na Maharage wachukue uongozi hazieleweki na zimekuwa zinabadilika kila kukicha.

9. Huko kwenye nishati ya mafuta nako hakufurahishi. Mpango wa kufufua au kujenga oil refineries zetu hapa nchini umetupiliwa mbali. Mpango wa kuchimba mafuta yetu kwenye maeneo yaliyokwisha kubainika hapa nchini nao umetupiliwa mbali etc etc. Pia wananchi hawaoni namna bora inayochukuliwa na wizara hii kukabiliana na upandaji mkubwa wa bei ya mafuta uliosababishwa na mlipuko wa uviko kumalizika na vita ya Urusi vs Ukraine.
 
Poor performance hana tofauti na Mwigulu, kigwangala
 
Infact viatu vya hio Wizara havijamtosha....

Alipoingia ghafla ndio matatizo yakaanza,, na majibu yake juu ya hoja za wanaouliza yamekuwa hayaridhishi sana..

Atumbuliwe tu,, au ahamishwe wizara kama kawaida ya Serikali.... Wanapeana wizara kwa majaribio
 
January ni mhanga tu wa uchafuzi wa Siasa..Kila mtu ana makosa Yake nchi hii....Sema ndio hivyo yeye yake yanaonekana sana na kuangaziwa sana kwasababu pia ya chuki tu binafsi...
 
Waziri wa Mchongo....[emoji1787][emoji1787]
 
Shida ya Feb Manyuzi ni kuwatumia watu mapema kujionyesha atatosha nafasi ya upresidaa 2030 ilihali nafasi hiyo makada wengi ndani ya chama wanainyemelea,kwa hiyo lazima achafuliwe mapema mno ili apotee kwenye ulingo wa kisiasa,ngoja tusubiri muda utajieleza tu
 
Mbona sababu nyingi tu zilishatolewa humo kwenye mitandao, bungeni na sehemu nyingi mbali mbalikuhusu under perfomance ya huyu waziri. Sababu hizi ni pamoja na zifuatazo:

1. Amesema kukatika katika kwa umeme kutaendelea hadi mwaka 2025 watakapomaliza kununua na kufunga transformers na vikombe kwenye line zote za tanesco. Na kwamba hii ni sayansi ambayo wananchi hawapaswi kuhoji.

2. Hayo matransformers na vikombe vinanunuliwa kutoka ulaya kwa matrillion ya pesa badala ya kuyanunua kutoka kwenye viwanda vya hapa nchini hususani vile vya TANLEC kama tulivyokuwa tunafanya hapo awali. Hata nguzo sasa zinanunuliwa kutoka nje badala ya zile za Mufindi ambazo sasa wanasema hazina ubora wa kimataifa.

3. Kakodi software ya tekohama kutoka kwenye kampuni ya magari ya Mahindra iliyo nchini India kwa gharama ya dola 30 milioni kila mwezi/ mwaka (?). Hii haina tofauti na capacity charges tulizokuwa tunakamliwa na makampuni ya umeme.

4. Kanunua nje winch la mabillion ya pesa la kubeba milango ya tani 26 kwa ajili ya kufungwa kule kwenye bwawa la umeme la Nyerere (JNHPP) ili bwawa hilo lijazwe maji mwezi Novemba 2021. Hadi sasa winch hilo halijafika na sasa anasema hata likifika halitaweza kufanya kazi hiyo kwani msingi wa pale mageti hayo yanapopaswa kuwekwa haufai. Msingi huo unahitaji matengenezo makubwa na hivyo bwawa hilo litaanza kujazwa maji mwaka 2024 kwani haya ni mambo ya sayansi!

5. Katika mikoa mingi tu hapa nchi wananchi hawaoni hayo mavikombe na matransfomer yakifungwa. Sana sana wanaona yale ya zamani yakitengenezwa pale panapotokea hitilafu kama zamani. Hata CAG hataweza katika ukaguzi wake kubainisha vikombe na transformers za zamani na zile mpya zilizonunuliwa kutoka ughaibuni.

6. Uzalishaji kwenye viwanda vyetu umekuwa wa kusuasua kwa sababu ya ukosefu wa umeme. Hii inapelekea bidhaa nyingi kupanda bei. Pia inazuia wawekezaji wapya wa viwanda kuja nchini kwetu. Hivyo ile ilani ya ccm ya Tanzania ya viwanda ifikapo 2025 inakuwa ni ndoto ngumu kuwa kweli.

7. Adhima ya kuwa na umeme kwa vijiji vyote na vitongoji vyote ifikapo 2022 imeshindikana kwani umeme hautoshi.

8. Installed capacity ya mitambo yetu ya kuzalisha umeme tuliyo nayo ni MW 1,700 kwa siku. Matumizi yetu hayazidi MW 1,200 kwa siku. Sababu zinazotolewa kwa nini tuna uhaba wa umeme tangia Januari na Maharage wachukue uongozi hazieleweki na zimekuwa zinabadilika kila kukicha.

9. Huko kwenye nishati ya mafuta nako hakufurahishi. Mpango wa kufufua au kujenga oil refineries zetu hapa nchini umetupiliwa mbali. Mpango wa kuchimba mafuta yetu kwenye maeneo yaliyokwisha kubainika hapa nchini nao umetupiliwa mbali etc etc. Pia wananchi hawaoni namna bora inayochukuliwa na wizara hii kukabiliana na upandaji mkubwa wa bei ya mafuta uliosababishwa na mlipuko wa uviko kumalizika na vita ya Urusi vs Ukraine.
Comment Bora KABISA Hii,
nipe ruksa yako niifanye ni Uzi unaojitegemea mkuu[emoji120][emoji4]
 
Kwa hiyo ndiyo sababu watu wengi wanampinga mtandaoni? Nakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa ni migawo ya umeme ya kufa mtu lakini watanzania walikuwa kimya tu. Leo kaja Makamba, umeme umekatikakatika kidogo imekuwa nongwa juu ya nongwa! Kwetu huku Kisiwani tungesema Makamba ana damu ya kunguni na siyo kwamba si mtendaji mzuri!
Sukuma gang
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Mh. Makamba anavyochukiwa ni kama ilivyo kwa Mh. Rais Mama yetu mpendwa Samia. Makosa aliyoyafanya Mh. Makamba yameanzia kwa Mh. Rais Mama Samia. Mtiririko wa makosa iko kama ifuatavyo:
1. Mama alimtengua Kalemani kwa vijembe (hapa Mama alipaswa amhamishie Kalemani wizara nyingine ili akashindwe huko ili amtumbue). Hapa inasemekana timu ya wajanja waliona Kalemani ana uadilifu na uthubutu kama wa Dkt Magufuli, hivyo waliona wakiendelea kumuacha basi anaweza kuwa Dkt Magufuli ajaye, wakaona wamtoe.
2. Mh. Makamba alipoingia wizarani aliingia kwa mbwembwe za kumdharau Dkt Kalemani huku akijua Dkt Kalemani alipendwa sana na watanzania masikini kwa kazi yake hapo wizarani. Mh. Makamba alipaswa kufuta kosa la Mh. Rais kwa kuingia wizarani bila kujiona yeye ndiye mtu sahihi na kwamba Dkt Kalemani ni aliharibu wizara. Alipaswa kuingia pale na kuwa mkimya huku akimsifia mtendaji aliyetangulia Dkt Kalemani, etc
3. Mh. Makamba alishiriki fitina ya kumfitini Dkt Magufuli (audio ipo mitandaoni), hivyo anaonekana ni msaliti, mwizi, hana maadili, kabebwa na jina la Baba yake etc.

Ila yote na yote Mh. Makamba ni mzalendo ila inawezekana yupo compromised na mafisadi
 
Angalia speed ya REA, kukatika katika umeme, bei ya kufunga umeme nk Sasa unaona shirika limeleta unafuu kwa wananchi au tabu tupu
 
Back
Top Bottom