Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

Na bahati mbaya sana yuko kwenye team flan/syatem. Hata kama tutalia machozi ya damu, haezi ng'olewa. Huu ndo wakati wao hawa jamaa. Tufunge mikanda tu mpaka awamu hii iishe
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Huyu kiumbe sijawahi kumuelewa hata dakika moja toka aingie sekta hii,Na nina mashaka soon umeme utapanda bei kwa unit,mark my words.
 
Linganisha Makamba na Kalemani kwanza
Niwalinganishe kwa umri,dini,kabila au kwa kipi? Magufuli aliwajaza wasukuma na wakristo kwenye baraza lake la mawaziri lakini hamkusema kitu ndio kwanza mkawa mnadai vyeo havizingatii dini ya mtu bali inaangalia vigezo vingine.
Wakristo wa Tanzania jaribuni kuwa na subira na uvumilivu.
 
Kwa hiyo ndiyo sababu watu wengi wanampinga mtandaoni? Nakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa ni migawo ya umeme ya kufa mtu lakini watanzania walikuwa kimya tu. Leo kaja Makamba, umeme umekatikakatika kidogo imekuwa nongwa juu ya nongwa! Kwetu huku Kisiwani tungesema Makamba ana damu ya kunguni na siyo kwamba si mtendaji mzuri!
Tulikuwa hatujapata somo la uzalendo toka kwa JPM, sasa wengi wanaelewa haikuwa ni sahihi ilifanywa kusudi. Ni hilo tu! RIEP JPM
 
Huyu kiumbe sijawahi kumuelewa hata dakika moja toka aingie sekta hii,Na nina mashaka soon umeme utapanda bei kwa unit,mark my words.
Daah,

Umeniongezea kitu hapa, maana ni juzi tuu alikuwa akisema kuwa kila kitu kitapanda, maana yake alikuwa akijaribu kutuandaa kwa namna Fulani hivi
 
Halafu sisi tunalilea jitu!Watanzania ni Mapaka🐒🐒🐒
FOeB-xHWQAwQwM7.jpg
16487346329170.jpg
 
Niwalinganishe kwa umri,dini,kabila au kwa kipi? Magufuli aliwajaza wasukuma na wakristo kwenye baraza lake la mawaziri lakini hamkusema kitu ndio kwanza mkawa mnadai vyeo havizingatii dini ya mtu bali inaangalia vigezo vingine.
Wakristo wa Tanzania jaribuni kuwa na subira na uvumilivu.
Unaupeo mdogo saana wa kuelewa na kupambanua mambo!

Kama ni udini, kwa nini isiwe kwa Aweso, kwa nini isiwe kwa Jafo, kwa nini isiwe kwa ummy, kwa nini isiwe kwa katibu mkuu kiongozi, kwa nini isiwe kwa Majaliwa na wengineo wengi!

Udini unao wewe kichwani mwako, na watanzania wanapoona kiongozi wao hatendi sawasawa, wakisema, ni vizuri hivyo vyeo vikatenganishwa na dini zao,

Kwa sababu uongozi hauna dini we mdini
 
Hii wizara inahitaji mtu makini na mtendaji na sio mjanja janja anayependa porojo na show off kama huyo jamaa.

On top of that atuambie kama karejesha zile 1.2 bilion za NSSF .
 
Hii wizara inahitaji mtu makini na mtendaji na sio mjanja janja anayependa porojo na show off kama huyo jamaa.

On top of that atuambie kama karejesha zile 1.2 bilion za NSSF .

Utaambiwa una donge.Makamba alitakiwa kupewa wizara ya Michezo au Wizara ya wakina na Mama na makundi maalumu.
 
Kuna wakati vitendo humtangaza MTU zaidi kuliko nguvu ya maneno kama alivyo huyo jamaa
 
Kwa hiyo naibu waziri wa ardhi anapendwa kuliko Janu?
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Wote uliowataja ni Mawaziri wa hovyo.Ni watu wasioipenda nchi yao na badala yake wanaangalia maslahi yao.Makamba in particular ana more disadvantages.Anajiona mjuaji kumbe hajui,alimnanga Magufuli kipenzi cha Watanzania,na wengi hatukulipenda jambo hili.Mwisho alikuwa karibu sana na Kikwete ambaye wengi tulimuona ni Rais asiyefaa.Hili nalo lilimchafua kwa kiasi kikubwa.
 
Back
Top Bottom