Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

Screenshot_20220327-204344_Gallery.jpg

waongo waongo sana
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Mkuu hii inatokana na sababu kuwa mti wenye matunda ndio ambao hurushiwa mawe. Pia ni eneo ambalo ndipo wanyama na ndege wala matunda utawakuta hapo.
 
N
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Nani amekwambia hamtaki?Huku uswahilini umeme ukikatika tunanyamaza.Ukirudi tunapaza sauti ya juu na kusema..."huuuuuuoooooooooooooooo"!Tunacheza singeli kidogo halafu tunarudi ndani kula ugali kwa matembele.
 
JM ana maneno mengi yasiyo na athari chanya kwa jamii.

Wizara ngumu kapewa haiwez, bora apelekwe wizara za kisiasa siasa , umeme unakatika katika hovyo lazma waziri husika alaumiwe.
 
Hii wizara tukiacha ukabila na udini Kalemani alipaweza sn kupita kiasi hata kama alikuwa na madhaifu yake lakini siyo kama Makamba
Yaani kwa sababu Makamba ni muislam na aliyemteua ni muislam kwako wewe huo ni udini lakini alipoteuliwa msukuma na mkiristo na aliyeteua ni msukuma na mkiristo wewe hukuona kama huo ni udini na ukabila!
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
"Watanzania" wengi wanamtaka Nani?
 
Sensa ya mwaka gani ndio inaonesha watanzania wengi hawamtaki au ni nyie wapiga zumari nyuma ya keyboard ndio mmeconclude?
Mwenyekiti wa mtaa usie na akili. Ndio maana wenzio wamekuwa mawaziri wewe umebaki kuwa mshusha bendera uwani kwako.
Ila CCM inawakomesha sana, yaani mmetengwa kwa ajili ya kuwalinda wakubwa zenu na kuwalamba viatu alafu nyie mmebaki pangu pakavu
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Aliwekwa hyo wizara makusud kumalizwa kisiasa na ndoto zake za urais.. hahahah. Watu wanamipango mikali
 
Mwenyekiti wa mtaa usie na akili. Ndio maana wenzio wamekuwa mawaziri wewe umebaki kuwa mshusha bendera uwani kwako.
Ila CCM inawakomesha sana, yaani mmetengwa kwa ajili ya kuwalinda wakubwa zenu na kuwalamba viatu alafu nyie mmebaki pangu pakavu
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Huo utafiti uliufanya fanyaje?

Hao wengi kwako ni wachache kwetu. Punguani wahed.
 
Haaaaa, jibu hoja usipanic bro, tunaongelea inshu nyingine kabisa ww unaparamia kwingine, anzisha thread yako ipe jina mwenyekiti asiye na akili tutaichangia pia, hoja hujibiwa kwa hoja man
Kotapini ya baiskeli
Kuingia kwa nyundo, kutoka kwa nyundo
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Huu utafiti umefanya lini? Watanzania wangapi walionyesha kumkataa? Ninapataga sana shida na hizi generalization, yaani umekutana na watu mia unasema watanzania wengi wamesema hivi. Sasa unamuuliza hao watanzania wengi umewagundua kwa utafiti upi? Nchii hii ina watu milioni 60
 
makamba, mwigulu and nape......ingekuwa nchi inayotawaliwa na chama makini.....wala wasingekuwa wanasikika kabisa
 
Kwa hiyo ndiyo sababu watu wengi wanampinga mtandaoni? Nakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa ni migawo ya umeme ya kufa mtu lakini watanzania walikuwa kimya tu. Leo kaja Makamba, umeme umekatikakatika kidogo imekuwa nongwa juu ya nongwa! Kwetu huku Kisiwani tungesema Makamba ana damu ya kunguni na siyo kwamba si mtendaji mzuri!
Tatizo limagufuli kwa miaka mitano liliwaonjesha watanzania kuwa inawezekana kuwa na UMEME usiokatikakatika.
Zamani tulizoea tu kama tunavyozoea TOZO kwa sasa.
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Wengi wasiomtaka Makamba Ni kundi la sukuma gang, ambao wameumia kuondolewa msukuma mwenzao Kalemani kwenye hiyo wizara, kwaiyo walitamani arudishwe msukuma mwingine ,

Na wengine wanamchukia Makamba sababu ya dini yake, na pia wanashaka nae huenda kutokana na uchapakazi wake January Makamba na hile hali yakutokuwa na skendo, Kuna uwezekano mwaka 2039 Samia akimaliza muda wake January akasimamishwa na Chama kugombea urais
 
Back
Top Bottom