Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
waongo waongo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii inatokana na sababu kuwa mti wenye matunda ndio ambao hurushiwa mawe. Pia ni eneo ambalo ndipo wanyama na ndege wala matunda utawakuta hapo.Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,
Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?
Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?
Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo
Je Waziri analifahamu hilo,?
Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Nani amekwambia hamtaki?Huku uswahilini umeme ukikatika tunanyamaza.Ukirudi tunapaza sauti ya juu na kusema..."huuuuuuoooooooooooooooo"!Tunacheza singeli kidogo halafu tunarudi ndani kula ugali kwa matembele.Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,
Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?
Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?
Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo
Je Waziri analifahamu hilo,?
Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Yaani kwa sababu Makamba ni muislam na aliyemteua ni muislam kwako wewe huo ni udini lakini alipoteuliwa msukuma na mkiristo na aliyeteua ni msukuma na mkiristo wewe hukuona kama huo ni udini na ukabila!Hii wizara tukiacha ukabila na udini Kalemani alipaweza sn kupita kiasi hata kama alikuwa na madhaifu yake lakini siyo kama Makamba
"Watanzania" wengi wanamtaka Nani?Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,
Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?
Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?
Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo
Je Waziri analifahamu hilo,?
Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Mwenyekiti wa mtaa usie na akili. Ndio maana wenzio wamekuwa mawaziri wewe umebaki kuwa mshusha bendera uwani kwako.Sensa ya mwaka gani ndio inaonesha watanzania wengi hawamtaki au ni nyie wapiga zumari nyuma ya keyboard ndio mmeconclude?
Aliwekwa hyo wizara makusud kumalizwa kisiasa na ndoto zake za urais.. hahahah. Watu wanamipango mikaliNdiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,
Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?
Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?
Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo
Je, Waziri analifahamu hilo,?
Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Mwenyekiti wa mtaa usie na akili. Ndio maana wenzio wamekuwa mawaziri wewe umebaki kuwa mshusha bendera uwani kwako.
Ila CCM inawakomesha sana, yaani mmetengwa kwa ajili ya kuwalinda wakubwa zenu na kuwalamba viatu alafu nyie mmebaki pangu pakavu
Huo utafiti uliufanya fanyaje?Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,
Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?
Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?
Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo
Je, Waziri analifahamu hilo,?
Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Huu utafiti umefanya lini? Watanzania wangapi walionyesha kumkataa? Ninapataga sana shida na hizi generalization, yaani umekutana na watu mia unasema watanzania wengi wamesema hivi. Sasa unamuuliza hao watanzania wengi umewagundua kwa utafiti upi? Nchii hii ina watu milioni 60Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,
Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?
Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?
Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo
Je, Waziri analifahamu hilo,?
Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Tatizo limagufuli kwa miaka mitano liliwaonjesha watanzania kuwa inawezekana kuwa na UMEME usiokatikakatika.Kwa hiyo ndiyo sababu watu wengi wanampinga mtandaoni? Nakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa ni migawo ya umeme ya kufa mtu lakini watanzania walikuwa kimya tu. Leo kaja Makamba, umeme umekatikakatika kidogo imekuwa nongwa juu ya nongwa! Kwetu huku Kisiwani tungesema Makamba ana damu ya kunguni na siyo kwamba si mtendaji mzuri!
Wengi wasiomtaka Makamba Ni kundi la sukuma gang, ambao wameumia kuondolewa msukuma mwenzao Kalemani kwenye hiyo wizara, kwaiyo walitamani arudishwe msukuma mwingine ,Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,
Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?
Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?
Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo
Je, Waziri analifahamu hilo,?
Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?