Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Kwaiyo Bora Sabaya na makondamakamba, mwigulu and nape......ingekuwa nchi inayotawaliwa na chama makini.....wala wasingekuwa wanasikika kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo Bora Sabaya na makondamakamba, mwigulu and nape......ingekuwa nchi inayotawaliwa na chama makini.....wala wasingekuwa wanasikika kabisa
Wai chato katambikwemakamba, mwigulu and nape......ingekuwa nchi inayotawaliwa na chama makini.....wala wasingekuwa wanasikika kabisa
Exactly,wanamchukia pia sababu muislamu,Sasa Rais Samia hasiwasikilize kabisa Hawa Wala nguruwe na Chuki zao binafsiKalemani ukiacha dhambi yake ya kunyofoa camera CCTV tukio la Lissu alifanya mambo makubwa Wizara ya Nishati.
Tatizo lake kubwa au dhambi yake kuu kwasasa ni kabila lake na dini yake.Kabla ya mwezi March 2021 hiyo ilikuwa ni sifa kuu na kigezo muhimu za kuwekwa Wizara nyeti na muhimu.
Tanzania bila Katiba mpya sifa za mtu zinabadilika kulingana atokako kiongozi mkuu wa Nchi.
Ngongo kwasasa Dodoma.
Dada Kama Taifa la Tanzania linaongozwa na vibaka,Hama Nchi bibieWajibu wa viongozi ni kutatua changamoto katika Taifa na siyo kutangazia uma kuwa maisha yatakuwa magumu kutokana na changamoto.Taifa la Tanzania linaongozwa na vibaka.View attachment 2170258
Sabaya ndio alikuwa yupo vizuri kichwani?! Sukuma gang mmevurugwa haswaani hopeless hamna kitu kichwani.
Wewe ni mtu wa hovyo sana, Tz hii inaudini??Exactly,wanamchukia pia sababu muislamu,Sasa Rais Samia hasiwasikilize kabisa Hawa Wala nguruwe na Chuki zao binafsii
Tulizana ukweli usemwe!!Huo utafiti uliufanya fanyaje?
Hao wengi kwako ni wachache kwetu. Punguani wahed.
Ebu orodhesha makosa ya January Makamba hata matano tu, ambayo yanafanya mumchukie!, Kama sio mna chuki TU binafsi na udiniWewe ni mtu wa hovyo sana, Tz hii inaudini??
Wizara ya maji inaongozwa na mkristo au Buddha?
Je, wizara ya miundombinu?
Waziri mkuu vipi, vipi kwa katibu mkuu kiongozi, Je kwa Jaji na wizara zingine nyingi.?
Jinga sana wewe?
Suala la dini ni uwongo na mada mfuWengi wasiomtaka Makamba Ni kundi la sukuma gang, ambao wameumia kuondolewa msukuma mwenzao Kalemani kwenye hiyo wizara, kwaiyo walitamani arudishwe msukuma mwingine ,
Na wengine wanamchukia Makamba sababu ya dini yake, na pia wanashaka nae huenda kutokana na uchapakazi wake January Makamba na hile hali yakutokuwa na skendo, Kuna uwezekano mwaka 2039 Samia akimaliza muda wake January akasimamishwa na Chama kugombea urais
Mkuu, suala la udini labuda unalo wewe,Ebu orodhesha makosa ya January Makamba hata matano tu, ambayo yanafanya mumchukie!, Kama sio mna chuki TU binafsi na udini
sabaya ni nani? wewe na sabaya mmngekutana na kuamua kumaliza tofauti zenu. amtunze mtoto wenu. otherwise msamehe utapata mwanaume mwingine....Sabaya ndio alikuwa yupo vizuri kichwani?! Sukuma gang mmevurugwa haswaa
Linganisha Makamba na Kalemani kwanzaYaani kwa sababu Makamba ni muislam na aliyemteua ni muislam kwako wewe huo ni udini lakini alipoteuliwa msukuma na mkiristo na aliyeteua ni msukuma na mkiristo wewe hukuona kama huo ni udini na ukabila!
Tuombe MUNGU hali ni mbaya sn mkuuKalemani ukiacha dhambi yake ya kunyofoa camera CCTV tukio la Lissu alifanya mambo makubwa Wizara ya Nishati.
Tatizo lake kubwa au dhambi yake kuu kwasasa ni kabila lake na dini yake.Kabla ya mwezi March 2021 hiyo ilikuwa ni sifa kuu na kigezo muhimu za kuwekwa Wizara nyeti na muhimu.
Tanzania bila Katiba mpya sifa za mtu zinabadilika kulingana atokako kiongozi mkuu wa Nchi.
Ngongo kwasasa Dodoma.
Alienda uarabuni mwaka jana akaishia kupiga picha na waarabu eti wawekezaji wa mafuta sijui niniHiki ndio ninachofikiri !
Si kwamba watanzania wa hali ya chini hawamtaki Makamba Jr bali wanakereketwa na namna anavyoshughulikia kero katika wizara husika .
Kwa mfano ; Kukatika katika kwa umeme na kuathiri zaidi watanzania wa hali ya chini sababu inaweza kuwa uchakavu wa miundombinu ambayo inaweza kuwa na mantiki kabisa ! Au kupanda kwa bei/gharama za nishati sababu inaweza kuwa kuongezeka kwa gharama za uzalishaji na soko la nishati duniani na hoja hii kuleta mantiki kabisa .
Sasa ndugu Makamba Jr yeye anaishia hapa na kukubali hizi sababu kama kizingiti cha mwisho ! Watanzania wengi ni masikini yeye kama kiongozi anatakiwa kutafuta na kufanya kila jitihada kwa kutumia “Leverages” zilizopo kwenye wizara yake ili kuweza kuleta nafuu kwa mtanzania wa chini .
Si kwamba watanzania hawaoni kuwa maisha yamepanda hata katika nyanja ya kiulimwengu bali wanataka kuona juhudi zaidi,ubunifu zaidi na kujitoa kwa dhati kwa viongozi .
KURA YANGU NAPIGA KWAKO.Sababu kubwa ni kwamba January ni mnjamjanja, pia amekua mwepesi wa kutafuta justifications badala ya solutions kwenye matatizo yanayo wagusa waTanzania wenye maisha ya chini moja kwa moja.
Ni waziri kijana anaedhani kwamba anaakili na yupo smart na anawaona waTanzania kama mazuzu.
Nimeona nieleze kwa kifupi kabisa.