Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

Kalemani ukiacha dhambi yake ya kunyofoa camera CCTV tukio la Lissu alifanya mambo makubwa Wizara ya Nishati.

Tatizo lake kubwa au dhambi yake kuu kwasasa ni kabila lake na dini yake.Kabla ya mwezi March 2021 hiyo ilikuwa ni sifa kuu na kigezo muhimu za kuwekwa Wizara nyeti na muhimu.

Tanzania bila Katiba mpya sifa za mtu zinabadilika kulingana atokako kiongozi mkuu wa Nchi.

Ngongo kwasasa Dodoma.
Exactly,wanamchukia pia sababu muislamu,Sasa Rais Samia hasiwasikilize kabisa Hawa Wala nguruwe na Chuki zao binafsi
 
Tatizo ni record iliowekwa na mtangulizi wake; mtangulizi wake ni kama alipiga marufuku mgao wa umeme, pia ile report ya bwawa la umeme la mwalimu Nyerere, Kaleman aliset hadi tarehe ya kuanza kujaza bwawa kwa maji, yeye amekuja na story, vinavyo endelea kwasasa watu wanatafsiri kama ujanja ujanja; in fact aliyemshauri jamaa kukaa ile wizara alimpoteza sana, inaua ndoto zake kabisa za kuja kua raia namba 1
 
Exactly,wanamchukia pia sababu muislamu,Sasa Rais Samia hasiwasikilize kabisa Hawa Wala nguruwe na Chuki zao binafsii
Wewe ni mtu wa hovyo sana, Tz hii inaudini??

Wizara ya maji inaongozwa na mkristo au Buddha?

Je, wizara ya miundombinu?

Waziri mkuu vipi, vipi kwa katibu mkuu kiongozi, Je kwa Jaji na wizara zingine nyingi.?

Jinga sana wewe?
 
Wewe ni mtu wa hovyo sana, Tz hii inaudini??

Wizara ya maji inaongozwa na mkristo au Buddha?

Je, wizara ya miundombinu?

Waziri mkuu vipi, vipi kwa katibu mkuu kiongozi, Je kwa Jaji na wizara zingine nyingi.?

Jinga sana wewe?
Ebu orodhesha makosa ya January Makamba hata matano tu, ambayo yanafanya mumchukie!, Kama sio mna chuki TU binafsi na udini
 
Wengi wasiomtaka Makamba Ni kundi la sukuma gang, ambao wameumia kuondolewa msukuma mwenzao Kalemani kwenye hiyo wizara, kwaiyo walitamani arudishwe msukuma mwingine ,

Na wengine wanamchukia Makamba sababu ya dini yake, na pia wanashaka nae huenda kutokana na uchapakazi wake January Makamba na hile hali yakutokuwa na skendo, Kuna uwezekano mwaka 2039 Samia akimaliza muda wake January akasimamishwa na Chama kugombea urais
Suala la dini ni uwongo na mada mfu

Suala la wasukuma nalo ni ujinga tuu, kwani wanaomchukia na kutokumwamini wote ni wa sukuma?

Ukiondoa utawala wa awamu ya tano, ni utawala upi tena uliona wasukuma kuwa mawaziri na je walilalamika ni kwa nini hawapewi uwaziri

Unadhani ni kwa nini iwe Leo wasukuma kulilia uwaziri,

Ujinga mtupu unaoandika hapa
 
Ebu orodhesha makosa ya January Makamba hata matano tu, ambayo yanafanya mumchukie!, Kama sio mna chuki TU binafsi na udini
Mkuu, suala la udini labuda unalo wewe,

Na unamatatizo kwa sababu Wizara nyingi kwa sasa zinaongozwa na watu wa dini unayodhani wanamchukia huyo jamaa kwa sababu ya dini yake

Kwanini wao wasichukiwe.?
 
Kwani watu wanataka mtu (urafiki) au performance ?

Na je unaona since Makamba na Before Makamba katika Wizara ya Nishati performance imeshuka au imepanda ?

Nadhani hapo utapata jibu lako
 
Yuko vizuri wizara ya nishati! Anafafanua vizuri changamoto, mkweli anajiamini, nimependa!
 
Yaani kwa sababu Makamba ni muislam na aliyemteua ni muislam kwako wewe huo ni udini lakini alipoteuliwa msukuma na mkiristo na aliyeteua ni msukuma na mkiristo wewe hukuona kama huo ni udini na ukabila!
Linganisha Makamba na Kalemani kwanza
 
Kalemani ukiacha dhambi yake ya kunyofoa camera CCTV tukio la Lissu alifanya mambo makubwa Wizara ya Nishati.

Tatizo lake kubwa au dhambi yake kuu kwasasa ni kabila lake na dini yake.Kabla ya mwezi March 2021 hiyo ilikuwa ni sifa kuu na kigezo muhimu za kuwekwa Wizara nyeti na muhimu.

Tanzania bila Katiba mpya sifa za mtu zinabadilika kulingana atokako kiongozi mkuu wa Nchi.

Ngongo kwasasa Dodoma.
Tuombe MUNGU hali ni mbaya sn mkuu
 
Hiki ndio ninachofikiri !

Si kwamba watanzania wa hali ya chini hawamtaki Makamba Jr bali wanakereketwa na namna anavyoshughulikia kero katika wizara husika .

Kwa mfano ; Kukatika katika kwa umeme na kuathiri zaidi watanzania wa hali ya chini sababu inaweza kuwa uchakavu wa miundombinu ambayo inaweza kuwa na mantiki kabisa ! Au kupanda kwa bei/gharama za nishati sababu inaweza kuwa kuongezeka kwa gharama za uzalishaji na soko la nishati duniani na hoja hii kuleta mantiki kabisa .

Sasa ndugu Makamba Jr yeye anaishia hapa na kukubali hizi sababu kama kizingiti cha mwisho ! Watanzania wengi ni masikini yeye kama kiongozi anatakiwa kutafuta na kufanya kila jitihada kwa kutumia “Leverages” zilizopo kwenye wizara yake ili kuweza kuleta nafuu kwa mtanzania wa chini .

Si kwamba watanzania hawaoni kuwa maisha yamepanda hata katika nyanja ya kiulimwengu bali wanataka kuona juhudi zaidi,ubunifu zaidi na kujitoa kwa dhati kwa viongozi .
Alienda uarabuni mwaka jana akaishia kupiga picha na waarabu eti wawekezaji wa mafuta sijui nini
 
Sababu kubwa ni kwamba January ni mnjamjanja, pia amekua mwepesi wa kutafuta justifications badala ya solutions kwenye matatizo yanayo wagusa waTanzania wenye maisha ya chini moja kwa moja.

Ni waziri kijana anaedhani kwamba anaakili na yupo smart na anawaona waTanzania kama mazuzu.

Nimeona nieleze kwa kifupi kabisa.
KURA YANGU NAPIGA KWAKO.
 
Back
Top Bottom