Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Sina neno jepesi la kutumia,hivyo nikuombe radhi kwa kutumia neno hili.....
1.ni uwongo unasema watu hawamtaki January.
2.87% ya vijana vyuoni wanamtaka
3.Tanzania hatuna utamaduni wa kuachia ngazi

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Sababu kubwa ni kwamba January ni mnjamjanja, pia amekua mwepesi wa kutafuta justifications badala ya solutions kwenye matatizo yanayo wagusa waTanzania wenye maisha ya chini moja kwa moja.

Ni waziri kijana anaedhani kwamba anaakili na yupo smart na anawaona waTanzania kama mazuzu.

Nimeona nieleze kwa kifupi kabisa.
Mpiga dili. Anafikiri kutolea maelezo mazuri matatizo badala ya utatuzi wake ndio kujua na utendaji bora..bure sana huyo kipara ngoto.
 
Namkubali sana Makamba. Wengi wanaomchukia ni wapinzani wake na sababu ya chuki za ni hofu.

Wanamuogopa sana na wanajua kama kawazidi kila kitu.
 
Sababu kubwa ni kwamba January ni mnjamjanja, pia amekua mwepesi wa kutafuta justifications badala ya solutions kwenye matatizo yanayo wagusa waTanzania wenye maisha ya chini moja kwa moja.

Ni waziri kijana anaedhani kwamba anaakili na yupo smart na anawaona waTanzania kama mazuzu.

Nimeona nieleze kwa kifupi kabisa.

Kijana mwisho ni umri gani . ?
 
Huyu Jamaa anajiona smart balaa nilimwangalia kwenye tension kali ndani ya bunge alikuwa anaongea kaweka mikono mfukoni pfyuuuuu. Pili anajifanya anajibu scientifically sababu alizotoa mwanzo kuhusu kukatika kwa umeme zinabalance na kupiga ramli badala ya science anayojidai kutumia kila anapojibu. Mwisho wizara inaboronga chini yake .watu wake ukipiga simu kuulizia kuunga umeme ni rushwa tupu hawana maana kabisa .it happened to me in less than a month Tanesco wana Rushwa mbaya kwenye mchongo wa gharama zilizoongezeka. Nachukia rushwa from my heart so sipendi kiongozi asiyejali issue za rushwa
 
Mmeshazoea ushenzi wa kijamaa.....kila kitu ni bure au serkali itaingilia na kuwafanyia bure......
Hamtaki kuambiwa ukweli , "There is no such thing as Free Lunch"
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Wengi humchukia huyu jamaa bila sababu zenye ushahidi,lakini mimi naamimi kuwa atawa orive wrong siku za mbeleni
 
Unaupeo mdogo saana wa kuelewa na kupambanua mambo!

Kama ni udini, kwa nini isiwe kwa Aweso, kwa nini isiwe kwa Jafo, kwa nini isiwe kwa ummy, kwa nini isiwe kwa katibu mkuu kiongozi, kwa nini isiwe kwa Majaliwa na wengineo wengi!

Udini unao wewe kichwani mwako, na watanzania wanapoona kiongozi wao hatendi sawasawa, wakisema, ni vizuri hivyo vyeo vikatenganishwa na dini zao,

Kwa sababu uongozi hauna dini we mdini
Umeshindwa kujibu unaleta matusi, acheni udini nchi hii ni ya wote.
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Kama ni lazima Makamba awe waziri basi ampeleke Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo ili awe anakwenda lupaso kila jmosi na jpili atoe porojo zake baada ya game kuisha.

Na tunamkumbusha Samia nchi hii haitawaliwi na familia tatu ya kikwete, makambna na mwinyi.Kwa maoni yangu ya jumla waziri wa nishati anatakiwa awe kijana shupavu na mzalendo.
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Hao ni wapiga domo tu
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Ni sababu aligombea urais so wengi wanajua atagombea tena na cause anabebwa basi anaweza kuwa rais wa jamhuri ya muungani.

So kuna wanaomtaka kama waziri ila wakikumbuka kwamba yupo njiani kuelekea urais wana hate cause hawamtaki kama rais.
 
Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,

Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?

Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?

Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo

Je, Waziri analifahamu hilo,?

Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
tunamtaka labda weye na genge lako.
 
Sababu kubwa ni kwamba January ni mnjamjanja, pia amekua mwepesi wa kutafuta justifications badala ya solutions kwenye matatizo yanayo wagusa waTanzania wenye maisha ya chini moja kwa moja.

Ni waziri kijana anaedhani kwamba anaakili na yupo smart na anawaona waTanzania kama mazuzu.

Nimeona nieleze kwa kifupi kabisa.
siku tukimpa nchi mtu kama makamba, tutakuwa tumeitupa nchi yetu shimoni, anataman kuongoza bt hana nia bali matamanio
 
Back
Top Bottom