Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hakuna siku nimeona huzuni kama siku nimeenda machinjioni (Mbalizi-Mbeya), sasa pale kweny karo la kuchinjia, ng'ombe anapelekwa mzobemzobe anavutwa mkia kutokana na zile damu kweye karo anateleza akianguka tu jamaa mmoja mbavu anakuja anamvuta mdomo yule ng'ombe shingo inajikaza, anakuja yule mchinjaji (Dingi mmoja wa kiislam) anapitisha kisu kikali mara moja tu damu zinaanza kumwagika huku ng'ombe anarusharusha miguu, Sasa kunakuwa na ng'ombe wengine ambao hawajachinjwa wako pembeni ukiwaona wanakuwa na hofu hadi wanajiharishia....na wanyama wanajua kifo na wanakiogopa sana.
Aisee inatisha sana wangekuwa wanawaficha wale wengine sio poa kabisa na siwezu shuhudia aiseee