Kwanini Watanzania wengi hufukuza ama kupiga wanyama bila sababu?

Ni ujinga tu....hapa mtaani kwetu kuna watoto walikuwa wanatoka shule siku moja nikawaluta wanasalandia mbwa wangu aliyekuwa kwenye kibanda chake tena ndani ya geti wameshika mawe wamtungue. Nikawavizia na nikabahatiak kumkamata mmoja. Nikamuingiza ndani na kumfungulia mbwa amrarue na alimng'ata vizuri tu. Akaenda kwao kisha akarudi na wazazi wake kuja kulalamika na kunishitaki. Nikawaambia ukweli kilichotokea, baba wa mtoto kwa ujinga alionao alkasema eti huu ni mtaa wa Kiislam unafuga mbwa wa nini? Nikamjibu tu vibaka wengi wa hapa mtaani ni waislam Mze baba akanishangaa, wakaenda nishitaki Polisi Mabatini ila kesi haikufika mbali, ilifutwa. Yule dogo ni mwaka sasa hajathubutu kuja kurusha mawe tena, yuko tu makovu yake ya kujitakia.
 
Roho ya Huruma,na roho ya ukatili hujidhihirisha vile tunavyoishi na hawa wanyama kwa hyo na rahisi kumtambua mtu ni wa aina gani vile anavyo mtreat mnyama
Utotoni kulikuwa na michezo ya watoto kwenda kuwinda mijusi then kuwachezea na kuwaua.

Mzee alinifundisha si vizuri kuua kiumbe bila sababu. Walikuwa wananiita mlokole. sababu nilikuwa nikiwakataza nikisema sio vizuri.😂
 
Kwahiyo ata nyoka tusimuue?..panya je? ....sema hii tabia mbaya kweli, kuna siku nilimbutua mbwa mpaka leo namuonea huruma
 
Ukitaka kujua wabongo wengi ni sadists angalia wanavyoshangilia raia wa Ukraine kuuwawa wakati karibu dunia yote inasikitishwa na mauaji yanayoendelea huko.
 
🐒🤣👇

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…