Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Sasa kuna emergency gani hapa Tanzania, una akili ya bundi?
Tukatae dawa zao zote zilipo huko kwenye pharmacySasa kuna emergency gani hapa Tanzania, una akili ya bundi?
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.
Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.
Mapendekezo yangu
1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
Wengi wangapi?
Mimi ninawafahamu wengi wanaotaka iletewe hata leo hii wachanjwe.
Kwa emergency gani iliyopo?Umeshaambiwa ni kwa emergency use mbona hamtaki kuelewa kuweni wafuatiliaji wa mambo
La muhimu serikali itengeneze mazingira watu waweze kupata chanjo, wasiweke vigingi.
Ndivyo ulivyo mjinga.nina wiki sasa tangu nipige chanjo na nipo mzima kabisa
Wewe ndio mjinga. Anachokueleza ni kitu sahihi kabisa.Hivi lakini mtu anawezaje kuwa mjinga hivi? Au ni kitu umerithi?
Haya ma propaganda ya chanjo yameshika kasi baada ya rais kufariki, ndo maana kuna watu wana wasiwasi....Wewe ndio mjinga. Anachokueleza ni kitu sahihi kabisa.
Hao wazungu wanajichanja chanjo za maigizo (placebo) ili kusudi na nyie muingie mkenge wawadunge chanjo halisi zenye sumu.
Mtadungwa masumu kwa ujinga wenu na kutojitambua.
Na sio bahati mbaya. They killed our President.Haya ma propaganda ya chanjo yameshika kasi baada ya rais kufariki, ndo maana kuna watu wana wasiwasi....
Unaongea kama hatutumiagi dawa ya mzungu hata moja kwa hiyo tokea uzaliwe hujawi kupigwa chanjo nakutumia dawa za wazungu acha unafkiNdivyo ulivyo mjinga.
Hata wakikuharibu seli za mwili wako utaendelea kukenua tu... ooh ati niko mzima!
Nani amekwambia lazima uchanjwe, ikija wewe tulia; mimi nitachanjwa na mama zangu. Wewe na mama yako usijeKama una hamu sana na chanjo nenda kachanje wewe na mama zako!
Usiwachochee watu wakadungwe sumu!
Hata kama wanaohitaji ni 10 wasinyimwe fursa, uhai hauna mbadala.Si suala la kutetea bali kuhitaji.
Walidanganywa na kupotoshwa na mwendazake!Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.
Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.
Mapendekezo yangu
1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
Ni kwa sababu wameaminishwa mambo mengi ya uongo kuhusu Covid 19 na chanjo zakeBaada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.
Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.
Mapendekezo yangu
1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
Eti makundi yaliyo kwenye hatari zaidi!Tume imesisitiza chanzo itolewe kwa hiari tu kwa wale watakaohitaji kuchanjwa hususani makundi yaliyo kwenye hatari zaidi kama watumishi wa afya
Sawa, nenda ukachanjwe na mama yako!mimi nitachanjwa na mama zangu
Hayo madawa yote huwa ni sumu tupu!Unaongea kama hatutumiagi dawa ya mzungu hata moja kwa hiyo tokea uzaliwe hujawi kupigwa chanjo nakutumia dawa za wazungu acha unafki
Umejiaminisha siyo, unajua madhara ya miaka 5 hadi 10? kuna mmoja kavimba ulimi umetokeza nje na hiyo imetokea baada ya miezi kupita. Unaelewa kitu kinachoitwa autoimmunity na hypersensivity, acha kabisa.....kwa taarifa yako kadri watu watakavyoendelea kurudia kuchanja tuseme chanjo ya pili, ya tatu, ya nne ndo tutashuhudia mtiti unaotokana na autoimmune na hypersensitivity reactions. Watu wanaelimishwa hizo chanjo hazijapewa muda wa kutosha kuwa kwenye majaribio wanaleta ujuaji, haya kazi iendelee.....