#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

Mbona wajinga wengi tu sio Tz pekee. Iletwe wachanjwe tu , UKIMWI Mbona watu hawalazimishwi kutumia kinga wanapiga mumo kwa mumo na kujisifu wamewapelekea mto
 
Kwa hiyo ndani ya mwaka mmoja majaribio ya chanjo yakakamilika.....mbona unanisumbua kujibu huu upupu...
 
Mbona hamuweki mgomo kama mnavyotaka kugomea chanjo?
 
Acha uongo, maambukizi yanazidi kushuka siku hadi siku.
Ingia mtandaoni tafuta data za wiki yote hii uone kama unachoongea nincha kweli.
 
Kwa hiyo Sasa biashara ya malimao na tangawizi ikiwa pamoja na nyungu ndiyi Basi !!??
 
Mimi naongea naweka na evidence, wewe unaleta porojo.......kabishane kwenye vijiwe vya kahawa huko.
 
Hayo ndo maswali wasomi wetu hawakutaka kujiuliza badala yake wanasema tu chanjo ziruhusiwe kuletwa, na bado wengine wameandaliwa kuanza kubwabwaja kwenye TV kutetea chanjo.
Hovyo kabisa.
 
Wanataka kuwafanya wazee wetu, wagonjwa wa pesha na kisukari, wanajeshi wetu, madaktari na wauguzi na watumishi wa serikali kama panya wa majaribio ya chanjo, a big NO.
 
Huu uletwaji wa chanjo umekua wa haraka mno mara tu baada ya kifo cha magufuli, ni kama everything was choreographed, kila kitu walipanga, wamechukua maamuzi ya haraka mno tena katika kipindi ambacho corona sio Kali sana kama kipindi cha nyuma.

Ila hakunaga siri chini ya jua , ipo siku kila kitu kitawekwa wazi.R.I.P magufuli . They killed him so they can use him a weapon kuwa ni kweli corona inaua na Boss wenu imemuua Ndo Tuogope sasa. Wananchi tumenyamaza kimya ila sio wapumbavu
 
Mbona india wamechanjwa ila wanakufa kama mdondo
Mkuu hiyo chanjo haitoi kinga ya kueleweka ndo maana utatakiwa kuchanja kila mara, angalau miezi sita......huu ni mkenge wanaotaka kuingiza nchi zetu kwa sababu ukishachanja watu wanakuwa wanaingiza na virusi ambavyo vitasababisha mlipuko mkubwa kama wa India, tukifikia hali hiyo tutapaniki na kuagiza au kuomba chanjo kwa gharama kubwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…