Kwanini Watoto wa Kike wa Marehemu Mafuru hata hawalii Msibani na hawana Wasiwasi tofauti na Misiba yetu Sisi Uswahilini ambapo hulia kwa Kukufuru?

Kwanini Watoto wa Kike wa Marehemu Mafuru hata hawalii Msibani na hawana Wasiwasi tofauti na Misiba yetu Sisi Uswahilini ambapo hulia kwa Kukufuru?

Na utajiri ule aliupataje?
Nikwambie tu serikalini kwa level yaje huwezi kuwa masikini,wakurugenzi wa idara tu ni matahiri sembuse mkurugenzi wa Taasisi,tena tume,amewahi kuwa mkurugenzi wa NBC,mshahara si chini ya milioni 30,yaani kwa miaka 20 serikalini hajawahi kupokea mshahara chini ya mioni 20.
20,0000,000*12=240,000,000 kwa mwaka
240,000,000*20 =4,800,000,000

Huo ni mshahara tu,bado pisho bado mikopo bado madili,rushwa nk.
Net wealth yake haiwezi kupungua 10 billion
 
Nikwambie tu serikalini kwa level yaje huwezi kuwa masikini,wakurugenzi wa idara tu ni matahiri sembuse mkurugenzi wa Taasisi,tena tume,amewahi kuwa mkurugenzi wa NBC,mshahara si chini ya milioni 30,yaani kwa miaka 20 serikalini hajawahi kupokea mshahara chini ya mioni 20.
20,0000,000*12=240,000,000 kwa mwaka
240,000,000*20 =4,800,000,000

Huo ni mshahara tu,bado pisho bado mikopo bado madili,rushwa nk.
Net income yake haiwrzi kupungua 10 billion
Umejibu vyema, na kwa sehemu kubwa unatokana na kwenye bold.
 
Muda wote nawatizama sioni hata anayelia au aliye na wasiwasi na Maisha yake ya baadae baada ya Baba Kufariki.
"Kwanini Watoto wa Kike wa Marehemu Mafuru hata hawalii Msibani na hawana Wasiwasi tofauti na Misiba yetu Sisi Uswahilini ambapo hulia kwa Kukufuru?"

Kwa kusema 'watoto wa kike', kwani alikuwa na watoto wa kiume na walikuwepo msibani?!
 
Kuna watu huwa hawalii lakini wanaumia sana ndani kwa ndani, ndipo baadae unakuta mtu anakuwa mlevi kupindukia n.k
Pia ilinitokea mimi ingawa ndiye niliyekuwa Kipenzi cha roho haswa kwa Mshua kuliko Watoto wengine wote kama ilivyokuwa kwa Yusufu Bwana ndoto.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Siwezi kumpeleka Mtu mzima hospital

Lakini wewe upo hai na mateso yako tunayaona na bahati nzuri kesho utapona kwani lunatics mna misimu yenu

Mwezi mchanga ushaisha
Matatizo yote haya unayosema kuwa ninayo hata Mama yako Mzazi anayo tena ya Kunizidi Mimi hivyo anza Kumtibu Yeye Kwanza na akishapona uje Kwangu sawa?
 
"Kwanini Watoto wa Kike wa Marehemu Mafuru hata hawalii Msibani na hawana Wasiwasi tofauti na Misiba yetu Sisi Uswahilini ambapo hulia kwa Kukufuru?"

Kwa kusema 'watoto wa kike', kwani alikuwa na watoto wa kiume na walikuwepo msibani?!
Idiot.
 
Hawana shida yeyote sasa sisi huwa tunalia tutafanyaje haya
Muda wote nawatizama sioni hata anayelia au aliye na wasiwasi na Maisha yake ya baadae baada ya Baba Kufariki.
Muda wote nawatizama sioni hata anayelia au aliye na wasiwasi na Maisha yake ya baadae baada ya Baba Kufariki.

Muda wote nawatizama sioni hata anayelia au aliye na wasiwasi na Maisha yake ya baadae baada ya Baba Kufariki.

Ukiona hivo ujue hawakua karibu sana na Baba yao.Nitatoa mfano toka wadogo chekechea wamekaa boarding,Primary wamekaa booarding,Secondary boarding chuo boarding ! Hapa mapenzi hakuna anamuona baba au mama kama watu wa kawaida tu hakuna ile Bond ya mzazi na mtoto hizo ndio athari za kupeleka watoto boarding tangu wajkiwa wadogo mapenzi ya dhati yanakosekana ! wala sio uhakika wa pesa kama watu wanavodhani.
Kweli mkuu kama kweli walikua wanaishi pamoja na Baba yao kila siku wanakua nae pamoja akienda kazini wanamuona na akirudi wanampokea au wanamkuta Nyumbani au Usiku wanakaa pamoja na kula pamoja Nyumbani lazima wangelia. Watoto walio lelewa wakiwa pamoja kila siku na Wazazi lazima wangelia maana wanajua hawata muona tena na walizoea kula pamoja kumuomba pesa za shule nk.
 
Hahahahaaaa

Kamfufue umpeleke kwa dokta
Nashukuru Mwenyezi Mungu bado Mama yangu Mzazi yuko Hai ila natoa Pole pia kwa wale ambao Mama zao wametangulia mbele za Haki kwani kwa hii Post yako umefanya Dhihaka Kubwa kwa Wafu wote huku ukisahau kuwa hata Wewe ni Mfu / Marehemu mtarajiwa uliyejaa Upumbavu, Ushamba na ukiwa ni Mpiga Mluzi Mwandamizi.
 
Nashukuru Mwenyezi Mungu bado Mama yangu Mzazi yuko Hai ila natoa Pole pia kwa wale ambao Mama zao wametangulia mbele za Haki kwani kwa hii Post yako umefanya Dhihaka Kubwa kwa Wafu wote huku ukisahau kuwa hata Wewe ni Mfu / Marehemu mtarajiwa uliyejaa Upumbavu, Ushamba na ukiwa ni Mpiga Mluzi Mwandamizi.
Kesho unapona

Kichaa cha mwezi hiki
 
Mabinti wanamuiga mama yao alivyo.
Kama mjane halii wala nini watoto walie sababu gani ?!

Siku hizi upendo umepoa sana aisee asikwambie mtu.
 
Back
Top Bottom