Kwa hiyo mkifiwa na watoto hamta huzunika sababu mtoto hajakuachia madeni? Kuhuzunika au kulia hakutokani na hali ya uchumi bali kunatokana na ukaribu na uhusiano wa dhati na marehemu.
sure sasa hawa waafrika wengine utakuta mmoja kavalia dela ilo kapoteza na ndala mara katembea peku yaan taflan akiwaza mzee baba kasepa hana maisha tena lazma uchungu uzidi ila hawa wa mafuru unaskia my Daddy alkua Yanga 😃 hello yanga mpoo eeh kasindikizia hna kamkono kupungia wana yanga hahahaa life is so sweet mchaw bando