Mtoto mmoja wa hayati Jaji.. namjua alisoma boarding tangu akiwa nursery mpaka chuo ulaya unategemea kuna bond hapo.
Hii ni kweli mm nilipofiwa na mzazi sio hio nilikuwa nacheka tu Ila Baada ya Mwaka Sasa nimeanza kuwa na misongo wa mawazo sana.Kuna watu huwa hawalii lakini wanaumia sana ndani kwa ndani, ndipo baadae unakuta mtu anakuwa mlevi kupindukia n.k
Hio kauli yako imeniudhi sana kwasababu nimepitia kufiwa pia. Mkumbuke maghufuli mkapa alipofariki magu na ubabe wake wote alilia, siku kijazi anazikwa magu alilia pia,Matusi ya nini tena ndugu?
Hana hoja. Akili na uwezo wa kufikiria mdogo sana sana! Wanaishi kwa hisia hao..Matusi ya nini tena ndugu?
Ni Sawa nikutake radhi Ila Nina experience ya kuondokewa na mtu na mpaka sijawahi kuwa Sawa moyoniKila mtu anahaki yakuelewa atakacho ili Hali havunji Sheria au kufunja heshima ya mtu hapa tunatoa mawazo Yani hoja kwa hoja (argumentation) sioni haja ya ku_panic. Mimi ninavyo elewa watu hatufi ni mwili ndio unaharibika ila roho inaishi. Duniani tupo ku perform certain things then tunaondoka hivyo.
Hata Mimi nimefiwa naelewa, hebu vutapicha kama watu tusingekua tunakufa ilihali tunazaliana na bado miili inazeeka ingekuaje. Ndio maana tuliandaliwa kuchukua majukumu tokea wadogo na tunajukumu lakuanda wengine kuchukua majukumu thus it.Ni Sawa nikutake radhi Ila Nina experience ya kuondokewa na mtu na mpaka sijawahi kuwa Sawa moyoni
Ni vile tu tunajikaza kiume alafu Nimejifunza kumiliki mali. Alafu wapendwa wako hawapo inatia upweke achana na wale wanakupenda sababu hauna kitu
Ni kweli mkuu, jamii zetu zimetengenezwa namna hiyo kuwa mwanaume atapigana na kuteseka kwa ajili ya watu wengine..Na ndio sababu ya wanaume kufa mapema kuacha wajane, wanaume wa hizi familia za kawaida wamegeuzwa punda wa familia, yani mtu ni kama anasindikiza wengine duniani.
Kudadeki kesho ni ijumaa lazima nitoke out nikakemee pepo la umaskini.
Hivi unajua kuwa umenifanya Nicheke sana Mkuu? Yaani kila nikisoma hii Post yako najikuta naangua tu Kicheko Mkuu.
Hawana shida yeyote sasa sisi huwa tunalia tutafanyaje haya maisha..
Baba kaacha madeni na mpo watoto 7 na nyumba mnaishi ya kupanga...kilio chake sio cha Nchi hiiHawana shida yeyote sasa sisi huwa tunalia tutafanyaje haya maisha..
Unajiliwaza tuTujitahidi san kujenga bond na Madogo popote pale tuwapo na Chance mimi kwenye Holiday za wanangu huwa najitahidi kadri niwezavyo Nipate muda wa kukaa nao na Incase nikawa na Jambo sensitive huwa nasafiri nao walau Kujenga Bond mana unakaa Miezi ata minne hujawaona madogo ni hatari
Huwezi ku train hisiaKulia haimaniishi MTU kaumia au kaguswa na msiba .
Kwa watoto ambao wapo well trained wanakuwa wanafunzwa how to handle the situation .
Maumivu huwa wanakuwa nayo Ila kulia Kama wafanyavyo waswahili ile inakuwa haipendezi we need to be strong.