kumtongoza msichana ni tabia isiyo nzur??Niliwahi kuwa kwenye mahusiano na binti wa kizanaki, akadai kuwa Makongoro amewahi kumtaka kimapenzi nikahisi ni uongo, ila nimeanza kumuamini baada kuona comment yako. Watoto wa wakubwa huwa wanakuwa na tabia ambazo sio nzuri.
Ok, lkn wahenga walisema "mtoto wa nyoka ni nyoka"?Ndio muelewe tukisema nyerere alikuwa mzalendo wa kweli. Anamapungufu yake kama binadamu ila alikiwa ni mzalendo sana kwa taifa lake.
Ndio maana hata watoto wake hakutaka wajihusishe na siasa kwasababu sio biashara ya familia kama hawa wa sasa ambao baba mama mtoto wote wanataka madaraka.
Siasa ni moja ya kazi miongoni mwa kazi nyingi ndani ya jamii za watu. Mtu anaweza akachagua kufanya siasa au kutofanya siasa. Wahenga waliwahi kusema kuwa "Ni rahisi kumsukuma Punda kufika mtoni, lakini si rahisi kumlazimisha ayanywe maji ya mtoni."Wanabodi, Salaam!
Kwa wabobezi wa saikolojia na sosholojia naombeni mniambie kwa nini tangu tupate Uhuru kisha kuungana Zanzibar na Tanganyika familia za Mwinyi na Karume tushapata marais mara mbili (Ally Hassan Mwinyi, Hussein Ally Hassan Mwinyi na Abeid Karume na mwanaye Aman Abeid Karume
Kwa familia ya Mwl Nyerere tangu ang'atuke nadhani mwaka 1985 hadi leo hakuna mtoto hata mmoja aliyeweza hata kufurukuta na kuingia kwenye tatu bora ya wagombea urais nchini - hata Madaraka Nyerere juzi tu kura za maoni kwa nafasi ya ubunge zilimtupa mbali kisha kamati kuu ya CCM haikurudisha jina lake.
Sasa, hii hali ya watoto wa mwasisi wa taifa hili kutopenya kwenye vinyanganyiro vya nafasi za uongozi zinatokana na nini?
Na wewe umezeeka sasa, story yoka imetusaidia nin wala haiendani na uziLakini Mwalimu alikuwa na watoto wengi mmoja wao alikuwa classmate Mkwawa High school, alikuwa Emily Magige, kama sikosei alisoma shahada ya Engineering USDM miaka ya sabini
Sio huyo tu kaka zake walikuwa wanajeshi maofisa wenye ujuzi.
Mtoto wa nyerere kafariki..???? Nchi mbona haijaliiiRIP Rose
JPM uchungu na nchi my foot!😁😁😁CIA wanahakikisha ujamaa ule haurudi ila wamechelewa kuwa kuna wengine kina jpm tayari wanauchungu na nchi hii!
Hivi hili swali lilijibiwa kweli ?Wakuu naombeni mnijuze, licha ya kusoma sana na baba yao kuwa mpigania uhuru wa Taifa hili, kwanini watoto wa mzee mchonga wapo wapo tu, hawana nyadhifa kubwa, hawana mbele wala nyuma? Hali ni tofauti kwa watoto wa Mzee ruksa, Mzee Karume, JK na wengineo kwanini?
Tafakari kabla ya kuuliza .Wa Mkapa wana zipi
Badala ya kujenga lichama lenu linaloelekea kaburini,mmekalia majungu!!!Tafakari kabla ya kuuliza .
Lipi silijui? Hebu nijulisheJambo usilo lijua ni sawa usiku wa giza, dhambi ya Adam mimi leo nalipia gharama yake, watoto wanalipa gharama na watanzania pia tunalipa gharama.
aliyekudanganya kafa .Badala ya kujenga lichama lenu linaloelekea kaburini,mmekalia majungu!!!