roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,609
- 2,751
Hata wachina wanakimbilia ulaya !! Amrika kusini wanakimbilia USA!? Atakaebisha abishe !! Maisha yapo ulaya na AmerikaKwa wa shamba kama wewe ndio hili jibu sahihi kwa uwezo ulipoishia, ila hao Diaspora wengi wakifika hizo nchi wanatoka na kwenda nchi ambazo Human index Development ni kubwa kama Nordic countries japo hali ya hewa si nzuri.
Unaendeshwa na mhemko wa kidinin!??hujui kitu zaidi ya juzuu!?kwani nordin country sio ulaya!?? Hahaha pooooor youKwa wa shamba kama wewe ndio hili jibu sahihi kwa uwezo ulipoishia, ila hao Diaspora wengi wakifika hizo nchi wanatoka na kwenda nchi ambazo Human index Development ni kubwa kama Nordic countries japo hali ya hewa si nzuri.
Hajui anachoongea wauliza waafrika wanavyoteseka DubaiHao wote uliowataja wapo well-off tayari ndo maana wapo Dubai. Huko unaenda ukisha-make hela sio kutafuta hela. Kila siku nakutana na watu walioishi na kufanya kazi Dubai and they can't be grateful enough kuondoka huko na kuja nchi ya maziwa na asali- USA. Matajiri wanaenda Dubai sababu ya its laidback policy on money laundering refer the Gold Mafia ya Aljazeera.
Huhitaji elimu kutengeneza 1.5M kiwanja, hiyo ni hela ya mboga tu utatengeneza in a wk.
We jamaa ni mwehuNajibu tu kwa Faida ya watu wengine.
1. Nchi za Ghuba ndio ziongoza kuwa na wageni wengi kuliko mwenyeji Duniani kote, unakuta mwenyeji wachache kuliko wageni. Ni kimbilio la watu wengi tu, Sema hawachukui watu kiholela
A Recent History of Refugees in Saudi Arabia — Refugee History.
Saudi Arabia is not a party to the main global refugee protection instrument, the 1951 Refugee Convention, nor does it have any specific domestic legal framework pertaining to refugee issues. Thirty-five percent of Saudi-Arabia’s roughly 30 million inhabitants are not citizens – and many come from irefugeehistory.org
Ukiangalia Hapo Saudi ina mamilioni ya Wakimbizi toka Rohingya, Syria, Palestine etc.
2. Watu wanakimbilia maeneo ambayo wanaendana Culture, nitakupa mifano
-wazanzibari na watu wa Pwani Tanzania wengi wanakimbilia Oman
-Nchi za Africa Magharibi na Kaskazini wanakimbilia Ufaransa na Ubelgiji
-Congo sana Ubelgiji
-sisi huku East Africa sana Uingereza na nchi nyengine za kingereza/Common wealth kama Canada, Australia, USA etc.
-Egpty tofauti na wa North Africa wenzao wapo kama Sisi
-Nchi za Asia ya mbali ufilipino, Malyasia, Thailand, Mynamar wanaenda Korea, China Japan etc.
-Nchi za Balkan wanakimbilia Urusi etc.
Leo Kuna Vita Ukraine na Urusi ila wa Ukraine wengi wamekimbilia Urusi kuliko nchi yoyote Ile.
Huko kuna ubaguzi sana.Mkuu jaribu kwenda Russia n China uje utupe ushuhuda hapa
Watu wa hozo nchi mbili ni wanyama wenye umbo la binaadamu
Uko sahihi Ila hakuna taifa raia hawataki kwenda USNajibu tu kwa Faida ya watu wengine.
1. Nchi za Ghuba ndio ziongoza kuwa na wageni wengi kuliko mwenyeji Duniani kote, unakuta mwenyeji wachache kuliko wageni. Ni kimbilio la watu wengi tu, Sema hawachukui watu kiholela
A Recent History of Refugees in Saudi Arabia — Refugee History.
Saudi Arabia is not a party to the main global refugee protection instrument, the 1951 Refugee Convention, nor does it have any specific domestic legal framework pertaining to refugee issues. Thirty-five percent of Saudi-Arabia’s roughly 30 million inhabitants are not citizens – and many come from irefugeehistory.org
Ukiangalia Hapo Saudi ina mamilioni ya Wakimbizi toka Rohingya, Syria, Palestine etc.
2. Watu wanakimbilia maeneo ambayo wanaendana Culture, nitakupa mifano
-wazanzibari na watu wa Pwani Tanzania wengi wanakimbilia Oman
-Nchi za Africa Magharibi na Kaskazini wanakimbilia Ufaransa na Ubelgiji
-Congo sana Ubelgiji
-sisi huku East Africa sana Uingereza na nchi nyengine za kingereza/Common wealth kama Canada, Australia, USA etc.
-Egpty tofauti na wa North Africa wenzao wapo kama Sisi
-Nchi za Asia ya mbali ufilipino, Malyasia, Thailand, Mynamar wanaenda Korea, China Japan etc.
-Nchi za Balkan wanakimbilia Urusi etc.
Leo Kuna Vita Ukraine na Urusi ila wa Ukraine wengi wamekimbilia Urusi kuliko nchi yoyote Ile.
Hujui duhKumekuwa na wimbi la watu kukimbia mataifa yao duniani kote hususani Afrika na wengine wakiwa tayari kufia baharini ili wafike Ulaya na Marekani.
Najiuliza kwanini watu hao hawakimbilii China, Russia na washirika wao? Wataalamu tujuzeni inakuwaje kila mtu anaona Ulaya na Marekani ni peponi kuliko mataifa mengine ya mashariki?
Kila mtu Ana dreams zake na Dream ndio zinakupeleka mahala fulani, but definitely wanaoangalia ubora wa maisha, Elimu, Afya na vitu vingine muhimu zaidi kwa Binadamu yapo maeneo bora zaidi.Uko sahihi Ila hakuna taifa raia hawataki kwenda US
Mkuu huyo mhindi mwenye pesa nyingi Middle East utajiri kaupatia huko huko, soma Historia yake hapaHao wote uliowataja wapo well-off tayari ndo maana wapo Dubai. Huko unaenda ukisha-make hela sio kutafuta hela. Kila siku nakutana na watu walioishi na kufanya kazi Dubai and they can't be grateful enough kuondoka huko na kuja nchi ya maziwa na asali- USA. Matajiri wanaenda Dubai sababu ya its laidback policy on money laundering refer the Gold Mafia ya Aljazeera.
Huhitaji elimu kutengeneza 1.5M kiwanja, hiyo ni hela ya mboga tu utatengeneza in a wk.
China ni robo ya Dunia, hakuna Cha ajabu wakitapakaa dunia nzima, wapo pia wazungu wengi wanazamia Asia wanaenda kufanya kazi kibao hadi umalaya, Asia Kuna destination kibao kuanzia Hong Kong, Singapore, Dubai Na kwengineko.Hata wachina wanakimbilia ulaya !! Amrika kusini wanakimbilia USA!? Atakaebisha abishe !! Maisha yapo ulaya na Amerika View attachment 2576677
Mimi na wewe nani anaendeshwa na mihemko? Rudia kusoma comment yako uliongelea ulaya? Ilikuwa specific nchi za Magharibi, sababu kama hoja ni Ulaya Urusi pia ni Ulaya.Unaendeshwa na mhemko wa kidinin!??hujui kitu zaidi ya juzuu!?kwani nordin country sio ulaya!?? Hahaha pooooor you
Acha upngo waukraine wamekimbilia ulaya, hizo nchi za gulf zina labou force ndogo ndo maana zinachukua wafanyakazi wakafanye kaziNajibu tu kwa Faida ya watu wengine.
1. Nchi za Ghuba ndio ziongoza kuwa na wageni wengi kuliko mwenyeji Duniani kote, unakuta mwenyeji wachache kuliko wageni. Ni kimbilio la watu wengi tu, Sema hawachukui watu kiholela
A Recent History of Refugees in Saudi Arabia — Refugee History.
Saudi Arabia is not a party to the main global refugee protection instrument, the 1951 Refugee Convention, nor does it have any specific domestic legal framework pertaining to refugee issues. Thirty-five percent of Saudi-Arabia’s roughly 30 million inhabitants are not citizens – and many come from irefugeehistory.org
Ukiangalia Hapo Saudi ina mamilioni ya Wakimbizi toka Rohingya, Syria, Palestine etc.
2. Watu wanakimbilia maeneo ambayo wanaendana Culture, nitakupa mifano
-wazanzibari na watu wa Pwani Tanzania wengi wanakimbilia Oman
-Nchi za Africa Magharibi na Kaskazini wanakimbilia Ufaransa na Ubelgiji
-Congo sana Ubelgiji
-sisi huku East Africa sana Uingereza na nchi nyengine za kingereza/Common wealth kama Canada, Australia, USA etc.
-Egpty tofauti na wa North Africa wenzao wapo kama Sisi
-Nchi za Asia ya mbali ufilipino, Malyasia, Thailand, Mynamar wanaenda Korea, China Japan etc.
-Nchi za Balkan wanakimbilia Urusi etc.
Leo Kuna Vita Ukraine na Urusi ila wa Ukraine wengi wamekimbilia Urusi kuliko nchi yoyote Ile.
Russia ndio nchi iliopokea wakimbizi wengi zaidi toka UkraineAcha upngo waukraine wamekimbilia ulaya, hizo nchi za gulf zina labou force ndogo ndo maana zinachukua wafanyakazi wakafanye kazi
Hao unaosemea ni ethnic russia waliokua wanaishi ukraine ya mashariki sio ethnic ukraineRussia ndio nchi iliopokea wakimbizi wengi zaidi toka Ukraine
As of 18 October 2022, according to UNHCR data, the countries receiving the largest numbers of Ukrainians were Russia (2.77 million), Poland (1.5 million), Germany (1 million) and the Czech Republic (0.4 million),[1]
Jengeni mazoea ya kufanya utafiti hata kidogo, hizo ni data za UNHCR wenyewe.
Pia middle East ni kote kote wapo wanaokwenda kama wafanyakazi na wapo wanaokwenda kutafuta opportunities, si rocket science hakuna mfanyabiashara ambaye hataki kufanya biashara sehemu isio na kodi.
Na ndio kwenye Vita ulitakaje? Sio tu Ukraine Russia ni Nchi ya 4 duniani kwa watu wengi kukimbiliaHao unaosemea ni ethnic russia waliokua wanaishi ukraine ya mashariki sio ethnic ukraine
Na ndio kwenye Vita ulitakaje? Sio tu Ukraine Russia ni Nchi ya 4 duniani kwa watu wengi kukimbilia
- United States — 50.6 million
- Germany — 15.8 million
- Saudi Arabia — 13.5 million
- Russia — 11.6 million
- United Kingdom — 9.4 million
- United Arab Emirates — 8.7 million
- France — 8.5 million
- [URL='https://worldpopulationreorldpopulationreview.com/counaustral
Hakuna aliekataa watu hawaendi USA ama Ulaya hoja ni kwamba watu wanakimbilia huko tu kitu ambacho sio kweli.
umeona dominance ya usa hapo lakini? Its massive. Ukiongeza na hao washirika wake ndo hatari.
USA na Europe ndio walio/wanao vuruga amani ya dunia hii.Kumekuwa na wimbi la watu kukimbia mataifa yao duniani kote hususani Afrika na wengine wakiwa tayari kufia baharini ili wafike Ulaya na Marekani.
Najiuliza kwanini watu hao hawakimbilii China, Russia na washirika wao? Wataalamu tujuzeni inakuwaje kila mtu anaona Ulaya na Marekani ni peponi kuliko mataifa mengine ya mashariki?