Kwanini watu duniani wanakimbilia Ulaya na Marekani kuliko China, Urusi na washirika wake?

Kwanini watu duniani wanakimbilia Ulaya na Marekani kuliko China, Urusi na washirika wake?

hoja kuu ya mleta mada ni kwamba marekani ni kimbilio la wengi compared to its fellow superpowers na kawazidi kwa mbali sana hata uki consider factor nyingine kama population na geographical area kama ulivyosema.
Wewe ndo umeongea hivyo na sio mtoa mada, huu hapa uzi wa mtoa mada

Kumekuwa na wimbi la watu kukimbia mataifa yao duniani kote hususani Afrika na wengine wakiwa tayari kufia baharini ili wafike Ulaya na Marekani.

Najiuliza kwanini watu hao hawakimbilii China, Russia na washirika wao? Wataalamu tujuzeni inakuwaje kila mtu anaona Ulaya na Marekani ni peponi kuliko mataifa mengine ya mashariki?

Mtoa mada mada specific ameitaja Urusi na swali lake lilisema hawakimbilii huko, ila Data za UNHCR kama nilivyoweka commemt ya juu zinaonesha duniani ni nchi ya 4 kupokea wageni, pia Ukitoa Usa na Ujerumani nchi zote zilizobakia za Ulaya/N.A hazifikii Urusi.
 
Mifano tofauti tofauti
1. Wewe ni mfanyabiashara una bidhaa zako unahitaji Dunia nzima wazione utavutiwa zaidi kwenda Dubai kuliko Ulaya.

2. Ni mwanafunzi unataka Elimu nzuri kwa Bei nafuu Urusi ina make sense zaidi st Petersburg Ada ni nafuu kuliko Oxford ama Havard, na haitofautiani sana na Kwetu wakati ni katika vyuo bora Duniani.

3. Wewe ni Tajiri unataka sehemu ambayo utaishi Elimu bora, Afya, na standard nzuri ya Maisha Uswis huko Kuna miji special ya hawa watu.

4. Ni mjasirimali una mpango wa kuanzisha biashara, viwanda, ama kutengenezewa Bidhaa sehemu kama China ni kuzuri.

5. Unapenda kusoma elimu ya Dini muisilamu Egpty ama Saudi, Mkristo Milan Catolica etc.


6. Mchezaji mpira utataka Best Academies kama Ajax Uholanzi etc

Issue ambayo haitaki kuzungumzwa hapa ni Uvivu, kutokua responsible, kupenda vya Bure, Tabia ambayo wa Africa wengi tunayo, mtu Anaetaka vya Bure Bure hawezi kuwaza kwenda China ama Brazil ila ukiwa Fighter utafuata dreams zako na kutoboa.
 
Kule kuna kazi nyingi za bwelele bwelele tena haswa hizi blue collar jobs maana watoto wa kiume wameshalegezwa marinda na wa kike kutwa wanashinda na dildo tu.

Unaowaona wanakimbilia huko wanaenda kwenye kazi za kipuuzi kama kufagia barabara, kupanga bidhaa supermarkets, kuovya vyombo kwenye hotels na restaurants pamoja na kufanya usafi, kuzibua vyoo, kulea vibibi, kazi za delivery Mc’Donalds and the likes, kuendesha malori na kazi nyingine za kishetani kama kucheza porn. Kazi za namna hii zinapatikana huko sababu vijana wakakamavu waliotakiwa wazifanye marinda hayapo tena.
 
Inafuatana na unaenda kufanya Nini.

Kwa sisi wafanya biashara, chimbo letu ni China.

Kwa wale tulipiga military science, school yetu ni Russia.

Over!

Swali Kwa nyie mnaenda USA. Are you upinde?[emoji23]
Sijawahi kuona mtu aliyeenda Urusi halafu akarudi Bongo ametoboa, jamaa zangu walioko huko Urusi yaani njaa tupu....
 
Kumekuwa na wimbi la watu kukimbia mataifa yao duniani kote hususani Afrika na wengine wakiwa tayari kufia baharini ili wafike Ulaya na Marekani.

Najiuliza kwanini watu hao hawakimbilii China, Russia na washirika wao? Wataalamu tujuzeni inakuwaje kila mtu anaona Ulaya na Marekani ni peponi kuliko mataifa mengine ya mashariki?
Wanaenda kuliwa ndogo
 
Mkuu huyo mhindi mwenye pesa nyingi Middle East utajiri kaupatia huko huko, soma Historia yake hapa


Sio yeye tu wengi hela wamezipatia hapo na sababu ni easy kuijua Miaka yote hiyo Dubai hakukua na kodi ni rahisi kuanzisha biashara na watu wengi kuja kununua,

Hata USA sababu unayoona Mabilionea wengi wanakimbilia Kuna majimbo ni Tax Free, same kwa Ulaya Nchi kama Monaco Mabilionea kibao wanahamisha ofisi huko.

Wahindi wanatengeneza vitu India wanapeleka Dubai wanauzia Africa na Dunia kwa ujumla, utajiri wanaupatia pale pale na sio kwamba wanaenda Dubai kustarehe kama unavyodhani.

Mkuu, watu wa namna hii USA wako mamilioni kwa mamilioni tena huku wamekuja wenyewe tu sio kwa mjomba au ndugu kama huyo muhindi wako. Mfano, Shahid Khan mzaliwa wa Pakistan, Billionaire na owner wa Jacksonville Jaguar na PL tema Fulham.

US mtu yeyote anaweza kuwa yeyote, case in point Obama. Huko Dubai au China unaweza kuta mtu ambaye ana damu ya nje kwenye uongozi? Si Obama tu, watu wengi sana wapo in the political sphere ambao wamezaliwa nje ya US kabisa. Omar Ilhan kazaliwa Somalia ila sasa ni congresswoman wa Minnesota. UK wana PM mhindi. Hata bongo hatuwezi mpa mgeni uongozi wa juu.

Huwezi fananisha usawa wa fursa kwa kila mtu in the western countries na nchi zingine that's a fact, nikianza kuorodhesha hapa sitamaliza. If given the chance watu wote wangekuwa in the western countries ni vile visa za huko ni ngumu compared to sehemu kama middle east ila kwa fursa ni mbingu na ardhi.
 
Tofauti ya western life ni ndogo sana sio kama unavofikilia kama upo bongo na unahisabu uturuki pia ni western nakubaliana na wewe,Ushafika Scandinavian wewe?? Au Germany The Netherlands UK NK

Nishafika na nipo huku right now. Ni kweli tofauti ni ndogo ila kiwanja ni kimoja tu. Kiwanja ni kiwanja.
 
Mkuu, watu wa namna hii USA wa mamilioni kwa mamilioni tena huku wamekuja wenyewe tu sio kwa mjomba au ndugu kama huyo muhindi wako. Mfano, Shahid Khan mzaliwa wa Pakistan, Billionaire na owner wa Jacksonville Jaguar na PL tema Fulham.

US mtu yeyote anaweza kuwa yeyote
Hili ni panga linalokata kote kote yes mtu yoyote anaweza kuwa yoyote including
-Homeless wasio na nyumba wanaolala nje na kwenye madaraja
-masikini wasio na uwezo hata wa kujitibu ama kupata elimu nzuri
-wagonjwa wanaokuwa Exploited na System (1/3 ya kila mtu anaefariki Usa ni sababu ya lishe mbovu)
-wanajeshi wanaojiua kila baada ya dakika kadhaa etc.

Mtu anaetoka Ulaya anaweza kutembea kifua mble vs Middle East nchi za Ghuba ila Usa hapana, kila bilionea mmoja unayeoneshwa kuna masikini kibao ambao amewakanyaga na kuwadhulumu haki zao akisaidiwa kisheria.

Hizo Nchi kama Saudi, Dubai (Uae), Qatar na nchi nyingine za Asia kama Singapore, Brunei, Malyasia na wengineo wamefanikiwa kiasi kikubwa kutokomeza umasikini, hakuna mabilionea wengi lakini pia hakuna masikini.

Saudia na Nchi nyengine za Ghuba kama ilivyo Ulaya ukiwa huna kazi umetoka Chuo unalipwa Sar 2000 kila mwezi kama Pocket money hii ni kama 1,200,000 ya Tanzania.

Mimi Binafsi nina ndugu wengi tu walizamia Usa, ila hakuna hata mmoja aliebakia baada ya kupata Uraia wa Usa wengine wamekwenda Nchi za Kiarabu na wengine wapo Canada wanatafuta maisha bora,

, case in point Obama. Huko Dubai au China unaweza kuta mtu ambaye ana damu ya nje kwenye uongozi?
Hukuti, same kwa Usa, huwezi kuta mjamaa ama mtu mwenye philosophy Tofauti na wanayoiamini akawa Raisi, Kila nchi ina namna yake ya kutafuta kiongozi, na sidhani kama mtu anazamia Usa akawe kiongozi.
Si Obama tu, watu wengi sana wapo in the political sphere ambao wamezaliwa nje ya US kabisa. Omar Ilhan kazaliwa Somalia ila sasa ni congresswoman wa Minnesota. UK wana PM mhindi. Hata bongo hatuwezi mpa mgeni uongozi wa juu.
Pia jambo jengine ufahamu viongozi wengi ni puppets hasa Usa, kuna kuwa na watu nyuma wanaorun show, nitakupa mfano hapo Usa silaha zinanunuliwa kama Karanga, mwanafunzi akifikisha miaka 18 kashavuta ngada yake anaenda dukani anaunua Bunduki anaenda shule anamiminia risasi wanafunzi wenzake na walimu.

Ingia hii website wana record events

Kuanzia tarehe 1 mpaka 3 siku 3 tu hizo kuna Mass shooting 8, yani karibia kila siku mtu ananunua bunduki na kumiminia wenzake risasi,

Kwa akili tu ya kawaida kwanini wanaruhusu watu kuuana hivyo? Ukifuatilia zaidi Viwanda vya silaha vina nguvu kushinda hao maraisi na wabunge, Vinauza silaha hadi kwa maadui wa marekani na maisha yanaendelea kama kawaida. Hio ni Nchi inayoendeshwa na Mabilionea ndio maana hadi kesho Kodi wengi hawalipi.
Huwezi fananisha usawa wa fursa kwa kila mtu in the western countries na nchi zingine that's a fact nikianza kuorodhesha hapa sitamaliza. If given the chance watu wote wangekuwa in the western countries ni vile visa za huko ni ngumu compared to sehemu kama middle east ila kwa fursa ni mbingu na ardhi.
Ingekua Fursa zote zipo huko Leo hii wasingekimbilia China Kupeleka viwanda, wasingekuja Africa Kufuata Rasilimali, wasingeenda Middle East kufuata Mafuta etc.

Kama unakaa unasubiria TV na Internet ikusaidie ubongo wako kufikiri of course utakuwa na mawazo kama haya, ila kama unafikiria Nje ya Box utajua Fursa na Opportunity zipo wapi duniani, Hasa kwa Wanaume ma Fighter.
 
Kumekuwa na wimbi la watu kukimbia mataifa yao duniani kote hususani Afrika na wengine wakiwa tayari kufia baharini ili wafike Ulaya na Marekani.

Najiuliza kwanini watu hao hawakimbilii China, Russia na washirika wao? Wataalamu tujuzeni inakuwaje kila mtu anaona Ulaya na Marekani ni peponi kuliko mataifa mengine ya mashariki?
Sasa ndugu yangu unataka watu wakimbilie kwenye nchi ambazo standard ya maisha ipo chini?
Tukubali ya kwamba ulaya magharibi na marekani ndiyo nchi zenye standard ya juu ya maisha. Viwanda vya kutosha kwahiyo kazi zipo na fedha ipo, huduma za kijamii zipo katika standard nzuri, sasa unataka mtu aende China wakati wachina wenyewe wanakuja kufanya biashara ya umachinga huku?
 
Kuwa homeless US ni kujitakia nobody will tell me otherwise. Huwezi kuta mmatumbi au immigrant in that case kawa homeless US hata kama kafika jana. Nipo US I know what I'm talking about and I've been fortunate enough kufika nchi zingine.

Kama ndugu zako wamekimbia US kwa kukosa fursa nachelea kusema ni uzembe wao au labda waseme walipata fursa zenye maslahi zaidi nje which is understandable depending on your skillset, experience etc.

Welfare system ya kutunza maskini, unemployed na watu wenye hali ngumu hata US ipo. Watu wamekulia kwenye nyumba section8, nyumba nzuri kuliko za Masaki bongo huku wanalipiwa na serikali.

Kupeleka kazi China is simply outsourcing. Hata wewe ukiwa busy kwako unatafuta housemaid wa kukusaidia kazi za ndani wakati wewe unaendelea kufanya mambo ya msingi zaidi. Kama kazi inafanyika China at an affordable price kwanini ifanyike US? Iphone ingetengenezwa US hakuna mtu angeafford ila inabuniwa huku inakuwa manufactured China that's a win-win situation. Moreover, US has more than 11 million open positions right now. Kama kuna uhaba wa wafanyakazi kiasi hiki mtu unakosaje kazi hadi unakua homeless? Kuna nchi ina open position nyingi kiasi hiki?

US Job Openings Surge Past 11 Million as Fed Zeros In on Labor

Regarding gun violence, that's unfortunate. Hakuna anaeruhusu watu kuuwana ila inatokea but that has nothing to do with fursa zilizopo. Out of 10 people duniani 8 ndoto yao ni kuwa nchi ya maziwa na asali 🇺🇲.
 
Sababu jua linachomoza east linazamia west. So watu wanafuata jua.
 
Inafuatana na unaenda kufanya Nini.

Kwa sisi wafanya biashara, chimbo letu ni China.

Kwa wale tulipiga military science, school yetu ni Russia.

Over!

Swali Kwa nyie mnaenda USA. Are you upinde?[emoji23]
Military Science dadekiii...[emoji23]
 
Which means, matendo ya JAMBAZI jahili huyo yanahalalishwa na hao OMBA2. Nasikia waziri wa fedha anataka kwenda tena kuiomba hiyo misaada AGAIN! 🙂
Ndio maana yake. Maana Jambazi Jahili Hilo linaamini kuwa Hawa Bado hawajajua Mbaya wao ndio maana hawaweki mitego ya kumkamata au hata kuvunja Uhusiano naye na kisha kuweka mikakati ya kulinda nyumba yao wenyewe. Mara nyingine ombaomba wanamtegemea jambazi mpaka kwenye ulinzi wa nyumba .

Kule Kongo Majeshi ya UN kiuhalisia wanalinda wazungu Wezi wanaopora madini na kuongiza Silaha Kwa waasi.
Yaani kule Kongo Ndege za Wahalifu na majahili wa Kizungu zinaleta Bunduki na mabomu halafu zinaondoka na mzigo wa madini ya dhahabu na almasi Huko porini. Wazungu wezi wanalindwa na Majeshi yanayoitwa ya UN Kwa kubadilishana na Silaha za kwenda kuwaua wakongo ,matokeo yake vita haiishi Kongo na Kweingineko Afrika.
 
Inafuatana na unaenda kufanya Nini.

Kwa sisi wafanya biashara, chimbo letu ni China.

Kwa wale tulipiga military science, school yetu ni Russia.

Over!

Swali Kwa nyie mnaenda USA. Are you upinde?[emoji23]

Inaonekana kalio linakuwasha maana bila kuandika kuhusu ushoga husikiri raha kabisa
 
Hao wote uliowataja wapo well-off tayari ndo maana wapo Dubai. Huko unaenda ukisha-make hela sio kutafuta hela. Kila siku nakutana na watu walioishi na kufanya kazi Dubai and they can't be grateful enough kuondoka huko na kuja nchi ya maziwa na asali- USA. Matajiri wanaenda Dubai sababu ya its laidback policy on money laundering refer the Gold Mafia ya Aljazeera.

Huhitaji elimu kutengeneza 1.5M kiwanja, hiyo ni hela ya mboga tu utatengeneza in a wk.

Kiwanja unatoboa hata kama huna fani yoyote. Ilimradi uwe na nguvu na bidii ya kufanya kazi na uwe na akili timamu bila kusahau English ya kuombea maji
 
Back
Top Bottom