Wachina wanashindana na wabongo kuuza urembo na earphones Kariakoo [emoji1787]Sasa ndugu yangu unataka watu wakimbilie kwenye nchi ambazo standard ya maisha ipo chini?
Tukubali ya kwamba ulaya magharibi na marekani ndiyo nchi zenye standard ya juu ya maisha. Viwanda vya kutosha kwahiyo kazi zipo na fedha ipo, huduma za kijamii zipo katika standard nzuri, sasa unataka mtu aende China wakati wachina wenyewe wanakuja kufanya biashara ya umachinga huku?
Nakubali mzeeNchi za nje zipo nyingi ila kiwanja ni kimoja tu-USA [emoji1258]. Land of the free, home of the brave.
Yataje hayo maeneo bora zaidi tuyajueKila mtu Ana dreams zake na Dream ndio zinakupeleka mahala fulani, but definitely wanaoangalia ubora wa maisha, Elimu, Afya na vitu vingine muhimu zaidi kwa Binadamu yapo maeneo bora zaidi.
Urusi wakanywe viroba mkuu?Kumekuwa na wimbi la watu kukimbia mataifa yao duniani kote hususani Afrika na wengine wakiwa tayari kufia baharini ili wafike Ulaya na Marekani.
Najiuliza kwanini watu hao hawakimbilii China, Russia na washirika wao? Wataalamu tujuzeni inakuwaje kila mtu anaona Ulaya na Marekani ni peponi kuliko mataifa mengine ya mashariki?
Putin mwenyewe amekimbizia mabint zake Switzerland, siyo St. Petersburg, wala China, wala South Africa, wala India (BRICS).Asikudanganye kenge yoyote !!!
Maisha yapo western Europe na America !!! Atake bisha abishe mpaka ajinyee ukweli ndio huo!!Matajiri wa urusi " oligarch" wanakaa ulaya na marekani.
Mfano ni aliyekua mmilikinwa Chelsea!!.
Niliwahi kwenda UK nikaishi Kule wiki 13,sikutamani kurudi Africa!!
Kwanini sijawahi kuwaza kuishi nchi nyingine? 🤔
Kwamba nimezoea kuteseka 🤔
Amini kwambaHuko kwingine vijijini.USA na Ulaya ndo dunia ya kwanza
Kiwanja unatoboa hata kama huna fani yoyote. Ilimradi uwe na nguvu na bidii ya kufanya kazi na uwe na akili timamu bila kusahau English ya kuombea maji
Kiukweli wewe tembea sana ila kama ikiwa bado haujaitembelea usa wewe bado itakuwa bado haujatembeaSio lazima uishi ila hakikisha umekanyaga nchi ya ahadi hata mara moja- USA. Huko vichochoroni Dubai sijui China sijui South Africa hata walanguzi wanaenda kila siku.
Kiukweli wewe tembea sana ila kama ikiwa bado haujaitembelea usa wewe bado itakuwa bado haujatembea
Kiukweli wewe tembea sana ila kama ikiwa bado haujaitembelea usa wewe bado itakuwa bado haujatembeaSio lazima uishi ila hakikisha umekanyaga nchi ya ahadi hata mara moja- USA. Huko vichochoroni Dubai sijui China sijui South Africa hata walanguzi wanaenda kila siku.
NDIYO MAANA WAZIRI MOLLEL ALISEMA YAANI 50ML YA WATANZANIA 80% WAJINGA!!!!!!
Nimeshataja mifano huko juu mkuu, comment no 72 unaweza kubofya hapaYataje hayo maeneo bora zaidi tuyajue
Sababu ndio tuna ambiwa kila kicho kizuri kipo ULAYA na US au CANADA na Vibaya na maisha DUNI yapo DUNIA ya tatu.Kumekuwa na wimbi la watu kukimbia mataifa yao duniani kote hususani Afrika na wengine wakiwa tayari kufia baharini ili wafike Ulaya na Marekani.
Najiuliza kwanini watu hao hawakimbilii China, Russia na washirika wao? Wataalamu tujuzeni inakuwaje kila mtu anaona Ulaya na Marekani ni peponi kuliko mataifa mengine ya mashariki?
Hebu fikiria, halafu uniambie niende China au sijui India thubutu, tutazamia meli kwenda ulaya magharibi au marekani ambako uchumi wao umepea na kusambaa kwa mtu mmoja mmoja.Wachina wanashindana na wabongo kuuza urembo na earphones Kariakoo [emoji1787]
Kwahiyo mtu kusema anaenda kufanya biashara china ni ujinga? Daah! Tuhuma za upinde zifikiriwe KWa kinaHii ndio akili ya kijinga watanzania waliyobaki nayo, kwa kadri unavyo concrete kujadili mambo ya hovyo na kijinga, ndivyo yanavyo ku mold kuwa hivyo. Kwa hiyo wote wanaokuja USA ni upinde?
Kwenye ukweli huwa nasema ukweli ila kwenye upuuzi lazma nikandeUnawakubali US kiaina