Kwanini watu hawawapi watoto wao majina haya?

Herode
Farao
Pilato
Nebucadreza
Etc...
Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........

Wasalaam
πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
Anzaa kuwapa wakwako maana hata wewe ni mtuuu
 
Mkuu mm ni MWANAUME siwezi kuolewa....
Hapa tunajadili kwanini watu wengi hawapendi kuyatumia majina Fulani...😊
Asante Kwa mchango wako Chizi Maarifa
Daaaah..... Wewe ni mwanaume? Unapata wapi muda wa kukaa kufikiria jambo la kike kama hili? Ndo maana sasa hivi tunapata shida sana kugombana na mapapai. Haya bwana.
 
Daaaah..... Wewe ni mwanaume? Unapata wapi muda wa kukaa kufikiria jambo la kike kama hili? Ndo maana sasa hivi tunapata shida sana kugombana na mapapai. Haya bwana.
Akili zako kama jina lako
Yaan wew ni CHIZI ukoo wako au Baba ako maarifa
Chizi MaarifaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…