Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Siku moja namlipa hela kuna kazi alifanya mbele ya wenzie wacha hawatapeli na kukataa kwamba sikumlipaFarao always lazima awe na moyo mgumu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku moja namlipa hela kuna kazi alifanya mbele ya wenzie wacha hawatapeli na kukataa kwamba sikumlipaFarao always lazima awe na moyo mgumu...
Ndugai yule Alie wai kua spika wa bunge...Mbona Ndugai anaitwa Belzebuli?
Jesus navasJesus wapo wengi Brazil
HApa bongo nazungumziaJesus wapo wengi Brazil
Haaahaa majina haya ongopi...,😀😀😃Siku moja namlipa hela kuna kazi alifanya mbele ya wenzie wacha hawatapeli na kukataa kwamba sikumlipa
Hitaji kubwa la moyo wangu ni maisha mazuri...mengine yanafuataMwenyez MUNGU akujalie...hitaji la moyo wako..
Majina makubwa watu wanaogopa.....,..HApa bongo nazungumzia
Mbona akina Muhammad wapo!!?Majina makubwa watu wanaogopa.....,..
Huwezi hakika...We unaweza kumuita mwanao Id amin?
Ndio Mkuu karibu unauhitaji wa niniKwaio ww ni mkuu wa madalali Tz
Muhammad subuana wataala....Mbona akina Muhammad wapo!!?
WanawakeNdio Mkuu karibu unauhitaji wa nini
Nipe specification kesho ukutane naeWanawake
Mrefu kwenda chini hivi afu ngozi ya kichwa ina walakini wa nyweleNdugai yule Alie wai kua spika wa bunge...
MmhMrefu kwenda chini hivi afu ngozi ya kichwa ina walakini wa nywele
Mm ni mromani katolikiNipe specification kesho ukutane nae
Delila sio DeriraDerira
Yupo pia Kaburiwazi mwingine KufakunogaKuna mtu anaitwa kaburi[emoji848]