Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hujui japo tuna ID feki lkn humu pia kuna watu washaupata ustarhaha,,,ustaa ni ustaa tu,,kumbe hata wa jf hawareply pia?
-Wanachosema kwamba hawajibu ili kutokujenga ukaribu na fans zao hii inawasaidia endapo wakitangaza show wanapata wateja wengi,kitendo cha kujibu jibu reply za fans zinawashushia hadhi ya uselebu hivyo kuonekana cheap(not expensive) na ndio maana utaona baadhi ya master kama kina beyonce hawana hata follower hata mmoja yaana hata jay-z hamfollow hapo ndio utapata picha akili za hawa mastar kwamba hazifanyi kazi.
Kwasababu ya kuwa salama na acc zao mara nyingi ni mitego ya wale wataalam wa IT,tendo la kumjibu au kumfollow au kumcheki inaweza ikawa ndio umeshaiuza acc yako bila malipo wala makubaliano.
Inategemea na sms unayomuandikia kama ya deal atajibu kama ya kiwaki(Wack sms) anaipotezea.Daah kumbe ndio inakuwa hivyo brother.....vp kuhusu message ambayo ipo private yeye na fan wake? hilo pia hawajibu?