Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuu watakuwa ni wale Sukuma gang..Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ameonyesha wazi kutoridhika na utendaji kazi wapiga picha walioko kwenye msafara wake kwa kushinda kupiga picha nzuri zinazoonyesha umati wa watu wanaofika kumpokea.
Rais Samia akiwa Njombe amelazimika kuwaagiza wapiga picha kupanda juu ya magari ili waweze kuchukua picha za umati wa watu na kuzifikisha kwenye umma ili kuondoa uzushi unaosambazwa kwenye mitandao kwamba mikutano yake haina watu wanaokwenda kumpokea zaidi ya maafisa wa Serikali tu.
"Watu wa kamera pandeni juu ya gari chukueni huu umati wa watu labda hawawaoni ndio maana wanaandika na kila mkifika kila kituo chukueni umati wa watu" amesema Rais Samia.
Sote tunajiuliza iweje hao wapiga picha washindwe kutekeleza majukumu yao hadi kufikia hatua ya Mkuu wa nchi kuwalalamikia kwamba wanashindwa ku Cover mikutano yake vizuri.
Je tukisema wapiga picha hao wanaendesha hujuma nzito dhidi ya ziara za Rais ili aonekane kwenye umma hapokelewi na watu wa kutosha au tutakuwa tumekosea?
Mnaofahamu zaidi tuambizane.
SSH sio mzuri katika suala zima la mtandao wa kumuandika vizuri kumlinganisha na hayati JPM. Hazifahamu na haziwezi zile siasa za kuvimiliki vyombo vya habari na vikawa chini ya amri zake.Hujuma za waziwazi hizi wako ambao wanaumia kweli juu ya urais wa MH. SAMIA, alipaswa kubadilisha timu yote ya mwendazake mara moja, ndio wanaohujumu kwani hamfahamu katika ziara za namna hii hapo baadae hupunguza UGUMU wa kampeni maana mama anakwenda kila chochoro nyanda za juu kusini huku akifungua miradi mingi kweli tena mizito lakini maredioni hatuoni zile taarifa zilizotufikia wakati huu kama ilivyokuwepo wakati hule.
Weeeeeeeeeeeeee..!!!2025 wala asigombee. Hana haiba ya leadership.
Hapo kwenye namba 3 ndio palikuwa panafanya niende mikutano ya jiwe coz kuna jamaa alikuwa ni mwanatimu ya ulinzi wa jiwe alafu namfahamu vzrSI KILA NYOMI INAMAANISHA KUPENDWA. Kuna wengine huwa wanakuja eneo husika kwa sababu zingine nje ya kutaka kumsikiliza, mfano;
1. Mtu anataka kumuona LIVE aliyesema UKIZINGUA NAKUZINGUA
2. Mwingine anataka kujua idadi ya magari kwenye msafara
3. Mwingine anataka kujua ulinzi wa rais unafananaje
etc
Aisee. Kuna kaziHuyu mama huyu
Sasa mbona Kuna umati ila kwenye picha za mitandaoni haonyeshi,hiyo ndio concern ya Rais..Kulikuwa hakuna haja ya kuwaita wapande juu ya magari ili kupata picha.
Umati unaonekana tu hata ukiwa chini.
Watu wana njaa, maisha yamepanda mno, ashughulikie hilo,
Ukimaanisha nini? Watu walikuwa wachache au wengi? Maana video ziko YouTube unaweza kuona..Niliona kwenye ITV walijaribu kuhariri alipokuwa Kyela ila la, picha ilikuwa ikichezacheza tofauti na picha ya mama, nilichoka.
Kwa Tzn hii ya wajinga,picha za umati ni muhimu sana..Kama anafanya kazi za kueleweka kwa ajili ya watanzania inatosha wala hakuna haja ya umati,anajistukia.
Aisee kwa Mazao hata 100,000 mtanunua,hutaki kalime..Debe la Mahindi 18,000/- hadi 23,000/
Petrol 3,456/-
Debe la mchele 38,000/- hadi 45,000/- n.k
Mita ya Umeme kutoka 27,000/- hadi kufikia 370,000/-kwa new connection
Kwa mfumko huo wa gharama za maisha alafu unategemea watu watajaa kwenye mikutano yako, wafate nini kama umeshindwa kuudhibiti?
Rais halilii nyomi analilia ukweli ndio maana hao Wana habari wapo..Raisi kama ana fanya kazi yake ana anzaje kulilia nyomi ye si apite zake tu kimya kimya