Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwajua wanawake aitaki uende darasani, anataka aonekane alivyokuwa mrembo kwenye mahala pakupiga kazi. Rais maskini wa fikra sana huyu. Tanzania nchi yangu yenye maajabu ya karne.Rais George Bush wa Marekani aliambiwa na waanndishi wa habari kwamba kiwango cha kukubalika kwake, yani, "approval rating", kiko chini sana, akaulizwa kama hilo linamtatiza na analifanyia kazi vipi.
Rais akajibu kwamba yeye huwa hajishughulishi kuangalia approval rating, kwani ana kazi nyingi sana za muhimu za kufuatilia, na watu wanaomkubali watamkubali kwa kazi yake tu, na wasiomkubali, hata akijaribu kuwapendeza inawezekana ana pishana nao kifalsafa pakubwa sana.
Rais alionesha kwamba, hasumbuliwi na maneno madogo madogo yanayohusiana na muonekano wake, kuliko mambo ya msingi ya utendaji kazi wake.
Hili ni jambo la msingi. Kila dakika anayotumia rais kujikita kwenye kuuza sura, ni dakika ambayo haitumii kuangalia mambo ya msingi.
Inawezekana wapiga picha hawafanyi kazi yao vizuri, hilo si jambo ambalo rais anatakiwa kulipa headlines katika mazungumzo ya kitaifa. Hilo ni jambo la kuongea vikao vya ndani kifupi tu.
Kwa kujikita kuendekeza mazungumzo hayo, Rais Samia amejionesha anajali sana mambo ya muonekano kuliko mambo ya msingi.
Na ndiyo maana hata mambo ya maendeleo yanakuw magumu, kwa sababu Rais anapenda picha za kuonesha maendeleo ku;liko maendeleo yenyewe.
Hili si suala la wanawake, marais wote wa Tanzania wameuza sura.Kuwajua wanawake aitaki uende darasani, anataka aonekane alivyokuwa mrembo kwenye mahala pakupiga kazi. Rais maskini wa fikra sana huyu. Tanzania nchi yangu yenye maajabu ya karne.
Wasombaji wamehamia UKAWA eti?Baada ya awamu ya kwanza ya Kikwete wananchi wengi wanaokwenda kwenye mikutano ya kiserikali wanavutwa yeye si wa kwanza. Kwa Magufuli walikuwa wanasombwa kwa malori kupelekwa wilayani.
Aachane na hao waandishi kama hana imani nao Raisi awe anatembea na kamera yake anajipiga mwenyewe akiwa na umati amesimama juu ya gari na kurusha mitandaoni atakuwa amemaliza fitinaRais Mhe. Samia Suluhu Hassan ameonyesha wazi kutoridhika na utendaji kazi wapiga picha walioko kwenye msafara wake kwa kushinda kupiga picha nzuri zinazoonyesha umati wa watu wanaofika kumpokea.
Rais Samia akiwa Njombe amelazimika kuwaagiza wapiga picha kupanda juu ya magari ili waweze kuchukua picha za umati wa watu na kuzifikisha kwenye umma ili kuondoa uzushi unaosambazwa kwenye mitandao kwamba mikutano yake haina watu wanaokwenda kumpokea zaidi ya maafisa wa Serikali tu.
"Watu wa kamera pandeni juu ya gari chukueni huu umati wa watu labda hawawaoni ndio maana wanaandika na kila mkifika kila kituo chukueni umati wa watu" amesema Rais Samia.
Sote tunajiuliza iweje hao wapiga picha washindwe kutekeleza majukumu yao hadi kufikia hatua ya Mkuu wa nchi kuwalalamikia kwamba wanashindwa ku Cover mikutano yake vizuri.
Je tukisema wapiga picha hao wanaendesha hujuma nzito dhidi ya ziara za Rais ili aonekane kwenye umma hapokelewi na watu wa kutosha au tutakuwa tumekosea?
Mnaofahamu zaidi tuambizane.
Hatogombea Hilo liko wazi, tatzo Hasa ni muda uliobaki Hadi kufika 2025 pareeeefu sana, ni safari inayochosha akili na mwili.2025 wala asigombee. Hana haiba ya leadership. Kina Mwigulu wanamgeuza geuza kama chapati.
Yaani uuvizie umati kuupiga picha.?!Kulikuwa hakuna haja ya kuwaita wapande juu ya magari ili kupata picha.
Umati unaonekana tu hata ukiwa chini.
Watu wana njaa, maisha yamepanda mno, ashughulikie hilo,
Ndiyo kwanza Agosti, sijui ikifika Mwezi Disemba hali itakuwaje 🙆Aisee kwa Mazao hata 100,000 mtanunua,hutaki kalime..
Yaani nikulikie mimi wewe unenepeshe kitambo mjini? Kuwa serious.
Itakuwa hivyo hivyo,kwanza mshukuri Bei zimeshuka kidogo maana natamani gunia lifike laki Ili nipige hela ila sioni likifika hata hiyo disemba au mwezi wa 2 unless mvua zizingue.Ndiyo kwanza Agosti, sijui ikifika Mwezi Disemba hali itakuwaje 🙆
Kwa akili yako unadhani kuna taifa linaendeshwa bila tozo au Kodi?Si pekeangu, Uchumi wa tozo na unbabaishaji kwenye nishati vimewaelemea Watanzania.
Atasikia tu.