mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
Huyo jamaa aliyeimba mwanzo anaitwa nani?bado yupo hai?kama unamjua jina nitajie.Anaonekana alikuwa mhamasishaji mzuri sanaHistoria inasema Maréchal papa Mobutu wa iliyokuwa Zaire ambayo sasa ni DR Congo alipenda kila alipo au alipoenda azungukwe na umati, bendi, sarakasi, kwaya na kazi zote zisimame kwa siku hiyo aliyokuwa ana tukio au ziara huku chama chake cha Mapinduzi MPR kilihakikisha nchi inasimama kwa attention yote ielekee kwa bwana mkubwa mfalme wa machifu wote wa Zairoise video clip inaonesha hapa chini
Sent using Jamii Forums mobile app