Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Ndo maana mnatamani kugawana vocha?Watanzania wanaipenda na kuiamini CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana mnatamani kugawana vocha?Watanzania wanaipenda na kuiamini CCM.
beep = deepMaisha ni magumu awamu hii ya six mpaka wananchi tunatamani kugawana vocha lakini haifai.
Yaani ukiweka vocha ya buku jirani anakugongea hata mia mbili tu ya kudeep lakini ndio haiwezekani.
Hivi Magufuli huwa anakutia huko ndotoni,maana haipiti sekunde hujamtaja?Magufuli ndo alianzisha maisha magumu hata we mwalimu unalijua hilo.
Imagine huyo ni mwalimu.beep = deep
Hivi nyie misukule ya mwendazake kwanini mnapenda matusi sana? Halafu matusi yenu yote huhusiana na mambo ya Zinaa kama alivyokua akipenda huo utani yeye mwenyewe KAYAFA why?Hivi Magufuli huwa anakutia huko ndotoni,maana haipiti sekunde hujamtaja?
Grow up
Mtaan mambo ovyo Sasa atashoboka na siasaHiyo tabia mnayo sana Chadema.
Rais wangu inampasa kujitutumua haswa kupunguza ukali wa maisha wananchi wapate matabasamu kwenye hayo mapicha yatakayotokea.
Mbona hata sahii ndio kinachofanyika.Mama amesahau strategy za Jiwe za kubeba wanafunzi, malori na ma trecta ya wakulima kwenye mikutano.
Yaani mkutano wa Mbeya mjini anaanda malori kutoka Chunya, mbalizi, njombe[emoji1787][emoji1787]
Umeandika kishabiki sana punguza wivuRais Samia Suluhu amedai kwamba , Waandishi wa habari wanaandika kwamba kwenye ziara yake inayofanyika Nyanda za Juu Kusini watu wanaohudhuria ni wachache , Jambo analoliona kama ni Upotoshaji , Kwake yeye anaamini Umati ni mkubwa wa kutisha , amewaomba waandishi waandike uhalisia , huku akiwataka Wapiga picha wapande juu ili wapige vizuri picha za umati unaohudhuria mikutano yake .
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu hili ni jambo Jipya tangu niifahamu Tanzania , sijawahi kusikia Rais wa Tanzania akilalamikia kuhusu taarifa za ziara zake kupotoshwa na wanahabari na wapiga picha .
Hivi Ikulu haina Wapiga picha ambao wanaweza kunogesha
ziara ya Rais hata kwa Propaganda za uongo , kama enzi za akina Michuzi ?
Kwahiyo Magufuli alipookufa aliagiza watu wabebwe kwenye malori ili waje uwanja wa taifa kuvunja mageiti ili mwamuone alivyokufa??Kama huna la kusema kaa kimya nalo ni jambo jema,Magufuli ni habari nyingine inawekana ndo maana amekufa.Angekuwa fala angekuwe hai mpaka leo.Lazima mama awe mkali, nguvu inayotumika kujaza watu kisha watu waseme ziara zake hazina watu ni tatizo kwake. Hiyo ndio tatizo la kuingia madarakani kwa kupora uchaguzi, inabidi kujaza watu kwa shuruti ili kuhadaa umma kuwa unakubalika. Huu mchezo Magufuli ndio alikuwa kinara, na sasa mama naye kazama kwenye huo huo utapeli.
Uchumi mgumu badala ya elfu 10 wanapewa buku tano.Mbona hata sahii ndio kinachofanyika.
Sema watu huenda hawana muitikio hata wa kupanda hayo malori.
Wafuasi wake walitaka kushow offKwahiyo Magufuli alipookufa aliagiza watu wabebwe kwenye malori ili waje uwanja wa taifa kuvunja mageiti ili mwamuone alivyokufa??Kama huna la kusema kaa kimya nalo ni jambo jema,Magufuli ni habari nyingine inawekana ndo maana amekufa.Angekuwa fala angekuwe hai mpaka leo.
Kwani ccm ishawaki kuwa na hiyo Political Influence?? Nakwambia hivi bila vyombo vya dola ccm ni sawa na Chauma tu.President Samia anakosa political decked na political influence hii ni kutokana na aina ya uongozi wake kwa maisha yalivyo magumu na yeye kutwa nzima kulalamika badala ya ku-find solution nani mwenye akili timamu atakwenda kumsikiliza ?zaidi ya vijana wake wa uvccm.
Ulivyoandika Kudeep nikajua tu we ni sukuma group🤣🤣Maisha ni magumu awamu hii ya six mpaka wananchi tunatamani kugawana vocha lakini haifai.
Yaani ukiweka vocha ya buku jirani anakugongea hata mia mbili tu ya kudeep lakini ndio haiwezekani.