Kwanini watu wa kamera wanaruhusiwa kuhujumu ziara ya Rais Samia?

Kwanini watu wa kamera wanaruhusiwa kuhujumu ziara ya Rais Samia?

Mwacheni Rais wetu,, mama kanyaga twende!! Unafanya vyema sana kuliko mtangulizi wako katika mengi umeweza!!

Achana na Push gang wanahangaika sana bado kulinda legacy,,
 
Rais Samia Suluhu amedai kwamba , Waandishi wa habari wanaandika kwamba kwenye ziara yake inayofanyika Nyanda za Juu Kusini watu wanaohudhuria ni wachache...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwanza Ncheke.

Waliozoea mafuriko ya kutengeneza

Wao walimtemga Lissu na vyombo vya habari jamaa akakomaa hivyo hivyo na watu walifurika.

Ameanza kuvuna mavuno
 
Mama amesahau strategy za Jiwe za kubeba wanafunzi, malori na ma trecta ya wakulima kwenye mikutano.

Yaani mkutano wa Mbeya mjini anaanda malori kutoka Chunya, mbalizi, njombe🤣🤣
Hiyo tabia mnayo sana Chadema.

Rais wangu inampasa kujitutumua haswa kupunguza ukali wa maisha wananchi wapate matabasamu kwenye hayo mapicha yatakayotokea.
 
Nilikuwepo Simba Day watu wa sensa walipewa nafasi ya kuhamasisha walipokuja na kuanza kuongeza na kusema mama Samia house mhitikio ulikuwa hafifu.mno. kiukweli watu wamemchoka
 
Hiyo tabia mnayo sana Chadema.

Rais wangu inampasa kujitutumua haswa kupunguza ukali wa maisha wananchi wapate matabasamu kwenye hayo mapicha yatakayotokea.
Hehehe aliyezoea si umemsikia? Ana hisi wapiga picha wana mhujumu.

Kifupi CCM imechokwa.

Wananchi wameanza kuwagundua janja janja zenu.
 
Magufuli ndo alianzisha maisha magumu hata we mwalimu unalijua hilo.
Maisha ni magumu awamu hii ya six mpaka wananchi tunatamani kugawana vocha lakini haifai.

Yaani ukiweka vocha ya buku jirani anakugongea hata mia mbili tu ya kudeep lakini ndio haiwezekani.
 
Hehehe aliyezoea si umemsikia? Ana hisi wapiga picha wana mhujumu.

Kifupi CCM imechokwa.

Wananchi wameanza kuwagundua janja janja zenu.
Ccm ni habari nyingine ndugu.

Kila siku inazidi kuimarika.

Huo mchezo wa kujazana kwenye malori mnao huko Chadema.
 
Lazima mama awe mkali, nguvu inayotumika kujaza watu kisha watu waseme ziara zake hazina watu ni tatizo kwake. Hiyo ndio tatizo la kuingia madarakani kwa kupora uchaguzi, inabidi kujaza watu kwa shuruti ili kuhadaa umma kuwa unakubalika. Huu mchezo Magufuli ndio alikuwa kinara, na sasa mama naye kazama kwenye huo huo utapeli.
 
M
Ccm ni habari nyingine ndugu.

Kila siku inazidi kuimarika.

Huo mchezo wa kujazana kwenye malori mnao huko Chadema.
Mliingia madarakani kwa kupora uchaguzi wananchi wakawatazama wakasema hiiiii hiiii.....bhagosha.
 
Maisha ni magumu awamu hii ya six mpaka wananchi tunatamani kugawana vocha lakini haifai.

Yaani ukiweka vocha ya buku jirani anakugongea hata mia mbili tu ya kudeep lakini ndio haiwezekani.
Vocha ya buku unataka kugawana na wenzako halafu unashinda hapa kushabikia upuuzi tu🤣
 
Ccm ni habari nyingine ndugu.

Kila siku inazidi kuimarika.

Huo mchezo wa kujazana kwenye malori mnao huko Chadema.

CDM watoe wapi hela ya kubeba watu na malori? Ukiona watu kwenye mkutano wa CDM ujue wamejitokeza kwa mapenzi yao, sio hao wa CCM inayotumika nguvu ya dola kujaza wanafunzi, watumishi wa umma nk.

Kimsingi hizi ziara inatumika nguvu kubwa ya pesa na dola ili kufanikisha mafuriko fake. Hili ndio tatizo la kuingia madarakani kwa kunajisi uchaguzi.
 
CDM watoe wapi hela ya kubeba watu na malori? Ukiona watu kwenye mkutano wa CDM ujue wamejitokeza kwa mapenzi yao, sio hao wa CCM inayotumika nguvu ya dola kujaza wanafunzi, watumishi wa umma nk.

Kimsingi hizi ziara inatumika nguvu kubwa ya pesa na dola ili kufanikisha mafuriko fake. Hili ndio tatizo la kuingia madarakani kwa kunajisi uchaguzi.
Watanzania wanaipenda na kuiamini CCM.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mama amesahau strategy za Jiwe za kubeba wanafunzi, malori na ma trecta ya wakulima kwenye mikutano.

Yaani mkutano wa Mbeya mjini anaanda malori kutoka Chunya, mbalizi, njombe🤣🤣
Asubiri shule zifunguliwe na walimu warudi kwenye zoezi la sensa
 
Maisha ni magumu awamu hii ya six mpaka wananchi tunatamani kugawana vocha lakini haifai.

Yaani ukiweka vocha ya buku jirani anakugongea hata mia mbili tu ya kudeep lakini ndio haiwezekani.
Uzuri ni CCM ile ile... halafu ujue nilifikiri nyie wa CCM kuna favor flani mnapata kumbe sivyo?

Huu mfumo wa unyonyaji kauanzisha Magufuli.
 
Back
Top Bottom