The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Mods kuna Uzi kama huu humu jukwaani,kwa nini msiunganishe?Rais Samia Suluhu amedai kwamba , Waandishi wa habari wanaandika kwamba kwenye ziara yake inayofanyika Nyanda za Juu Kusini watu wanaohudhuria ni wachache , Jambo analoliona kama ni Upotoshaji , Kwake yeye anaamini Umati ni mkubwa wa kutisha , amewaomba waandishi waandike uhalisia , huku akiwataka Wapiga picha wapande juu ili wapige vizuri picha za umati unaohudhuria mikutano yake .
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu hili ni jambo Jipya tangu niifahamu Tanzania , sijawahi kusikia Rais wa Tanzania akilalamikia kuhusu taarifa za ziara zake kupotoshwa na wanahabari na wapiga picha .
Hivi Ikulu haina Wapiga picha ambao wanaweza kunogesha
ziara ya Rais hata kwa Propaganda za uongo , kama enzi za akina Michuzi ?
Mwisho wapigapicha wake ndio wanapotosha,kama aliwachukua wale wale wa Sukuma gang anategemea nini?
Badili safu hiyo.