Sawa mkuuSalamu ni uungwana tu hakuna jipya,we kama unachoka kuitikia nyosha mkono kuzijibu
Nakusalimianapenda sana Salam
Mkuu ni levels tu za kimaendeleo, salamu sasa tunafikiria iwe kwenye sehemu ya usumbufu, nuisance, punishable by lawNi utoto na ubaguzi unakusumbua.
Kichwani mwako tayari kuna dhana ya kwamba hao watu sio wa level zako ni watu wachini ndomana unaona wanakusumbua.
Naamini ukikutana na jamii ambayo akili yako inahisi ni wenye status yako hata wawe 1000 utasalimiana nao. Au ukutane na watu wenye kipato kizuri hutaona wanakusumbua.
Kuishi mjini kumetufanya tujione tunajua sana kumbe tumejaza ujinga mwingi Kichwani.
Bara walau bado Wana utu,zamani maisha yalikua hivyo tz,mkikutana njiani hamjuani mnasalimiana tu,dar watu Kama mbuzi wanapishana tu Tena hata wakiwa wanaishi jirani,utu na maadili tz vinapururuka kwa kasi,ndiyo maana ubakaji na mauaji yamekua mengiHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Umeona ehe, kuna kitu hakipo sawa kwenye undeshaji wa maisha yetu, wakati ni fedhaHata Mimi sipendi hizo swaga,bi mkubwa wangu ukiongozana nae huwa ananimaliza maarifa kabisa!anasalimia Hadi kuku
Jamii ambazo hazijathiriwa sana na usasa au umagharibiKuishi kiasili unamaanisha nini?
Hupendi salamu, ila umeanza na "habari wana jf" hufikirii kama utatupotezea muda kukujibu!?
Hakuna wachafu kama watu wa Dar.....uHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Wamo humu? Huoni pia unapoteza nishati yako na muda kupeleka ujumbe kwa wasiohusika? Hamchekani!Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Haya uliyoandika yana uhusiano gani na huu uzi, au unataka kuzitangaza tabia zako?Hakuna wachafu kama watu wa Dar.....u
Shoga kwenu kulawitiana nyinyi
Mnajiona wajanja sana
Tutawatambua kwa comments zaoWamo humu? Huoni pia unapoteza nishati yako na muda kupeleka ujumbe kwa wasiohusika? Hamchekani!
Dah sisi kwenye tunafundishwa kua tupende kusalimiana sanaa ata kma umepita na kupituka ukirudi msalimie muislamu mwenzako tenaHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?