Kwanini watu walioajiriwa serikalini wengi wana uwezo mdogo wa akili?

Kwanini watu walioajiriwa serikalini wengi wana uwezo mdogo wa akili?

Angalia isije ikawa ni wivu wako unakusumbua..

But tukija in reality ni kweli kabisa wana uwezo mdogo hi ni kutokana na kulemaa..View attachment 3197313
mkuu ckuhz tunapata waswas na uwezo wako wa kufikiri unawezaje kumchanganya huyu bidada kwenye uzi kama huu. hatujapenda kwakweli. ututake radhi kwanza.

kwa niaba ya mkuu mzabzab & Co. nipende kusema hujatutendea haki kabisa huyu mmama sijui mdada alideserve uzi wake unaojitegemea.

hii nchi uhuru umezidi😆
 
Wengi wameamua tu kutokujisumbua mana serikali ni "shamba la bibi". Wakiwa private wanajishughulisha sana tu.

Huu ndio ukweli. Kwao wafanye kazi au wasifanye hakuna tofauti. Wameamua kuwa kwenye mapumziko. Wakisubiri study tours na perdiem za meeting na mitoko mingine
 
Ni mifumo tu.

Hata wewe uliekuepo private sectors na badae ukahamishiwa kikazi huko, utakua kama wao tu.
 
dude kama hili hakikisha umeshiba magimbi au viazi vitam vya njano unalibinua hlf chomeka vidole vya miguu mule unapoingizia shuka🤯 ebho nlijisahau kumbe hapa sio MMU😳
Blaza kede hilo fuvu lako tukitoa mawazo ya ngono unabaki na nini mkuu
 
Kwa hio mwalimu mkuu kakosa akili ya kupima kiti na ukubwa wa makalio yake. Yaani badala abadili kiti anaendelea na kiti alichokikuta. Hivyo hivyo kwa mambo mengine no innovation, aliyoyakuta anafanya vile vile hata miaka 10.
Huyu alitaka aniue juzi hapo baada ya kuniambia "" mwanangu nije kwa juu""

Na mimi nikakubali alafu gafla nikakosa pumzi ila huku nilikuja kusema ishu ya dawa ya mbuu
😄😄😄😄
 
mkuu ckuhz tunapata waswas na uwezo wako wa kufikiri unawezaje kumchanganya huyu bidada kwenye uzi kama huu. hatujapenda kwakweli. ututake radhi kwanza.

kwa niaba ya mkuu mzabzab & Co. nipende kusema hujatutendea haki kabisa huyu mmama sijui mdada alideserve uzi wake unaojitegemea.

hii nchi uhuru umezidi😆
Yaaan hii comment imechekesha mrembo flan hapa kwenye gari daaah...

Kede mbona una mawazo ya hovyo hivo..
Kwahyo hapo ilibidi kuwe na uzi special
 
Back
Top Bottom