Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Sio hawana akili
Hawa watu Wana akili sana tu, maana hata wamiliki wa consultants firms nyingi ni hao hao watu wa Serikali
Tatizo kubwa nilionalo Kwa watu wengi wa Serikali ni kufanya kazi Kwa mazoea, kukosa vitendea kazi na mazingira duni ya kufanyia kazi.
Nina jamaa zangu wanafanya kazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
Lakini hawana vitendea kazi, wapo na wanalipwa Mishahara Kila mwisho wa Mwezi na Serikali hiyo hiyo
Hawa watu Wana akili sana tu, maana hata wamiliki wa consultants firms nyingi ni hao hao watu wa Serikali
Tatizo kubwa nilionalo Kwa watu wengi wa Serikali ni kufanya kazi Kwa mazoea, kukosa vitendea kazi na mazingira duni ya kufanyia kazi.
Nina jamaa zangu wanafanya kazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
Lakini hawana vitendea kazi, wapo na wanalipwa Mishahara Kila mwisho wa Mwezi na Serikali hiyo hiyo