Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
mkuu ckuhz tunapata waswas na uwezo wako wa kufikiri unawezaje kumchanganya huyu bidada kwenye uzi kama huu. hatujapenda kwakweli. ututake radhi kwanza.Angalia isije ikawa ni wivu wako unakusumbua..
But tukija in reality ni kweli kabisa wana uwezo mdogo hi ni kutokana na kulemaa..View attachment 3197313
Pia kikokotoo kipya kimewavunja moraleWengi wameamua tu kutokujisumbua mana serikali ni "shamba la bibi". Wakiwa private wanajishughulisha sana tu.
Wengi wameamua tu kutokujisumbua mana serikali ni "shamba la bibi". Wakiwa private wanajishughulisha sana tu.
Wataje wachache ama idara zao wanazohudumuSerikali Ina useless people wengi Sana .
Hakuna kitu wanaweza hawa watu wa serikalini .
Huduma zao 90% ni ovyo Sana .
ajira ni utumwa unafanya kazi kwa kanuni na maelekezo fullstopSerikali Ina useless people wengi Sana .
Hakuna kitu wanaweza hawa watu wa serikalini .
Huduma zao 90% ni ovyo Sana .
TANZANIA huwa haitumii vigezo vya ufaulu kwa waajiriwa au watumishi wapya.Serikali Ina useless people wengi Sana .
Hakuna kitu wanaweza hawa watu wa serikalini .
Huduma zao 90% ni ovyo Sana .
Muache mwalimu wa wTu πππHuyo ndo alitaka kukuua mshenzi ππ...... Dory Angelia sana
ππππππ Hivi kuna jamaa alisema et sasa hivi huna tabia za hovyo..Naomba namba zake ili nilipe ada hata kama sina mtoto hapo shuleni kwake...π
Fanya ww kwa kutumia akili apo ulipo inatoshaSerikali Ina useless people wengi Sana .
Hakuna kitu wanaweza hawa watu wa serikalini .
Huduma zao 90% ni ovyo Sana .
Blaza kede hilo fuvu lako tukitoa mawazo ya ngono unabaki na nini mkuudude kama hili hakikisha umeshiba magimbi au viazi vitam vya njano unalibinua hlf chomeka vidole vya miguu mule unapoingizia shukaπ€― ebho nlijisahau kumbe hapa sio MMUπ³
Huyu alitaka aniue juzi hapo baada ya kuniambia "" mwanangu nije kwa juu""Kwa hio mwalimu mkuu kakosa akili ya kupima kiti na ukubwa wa makalio yake. Yaani badala abadili kiti anaendelea na kiti alichokikuta. Hivyo hivyo kwa mambo mengine no innovation, aliyoyakuta anafanya vile vile hata miaka 10.
Yaaan hii comment imechekesha mrembo flan hapa kwenye gari daaah...mkuu ckuhz tunapata waswas na uwezo wako wa kufikiri unawezaje kumchanganya huyu bidada kwenye uzi kama huu. hatujapenda kwakweli. ututake radhi kwanza.
kwa niaba ya mkuu mzabzab & Co. nipende kusema hujatutendea haki kabisa huyu mmama sijui mdada alideserve uzi wake unaojitegemea.
hii nchi uhuru umezidiπ
Acha kutudhalilishaSerikali Ina useless people wengi Sana .
Hakuna kitu wanaweza hawa watu wa serikalini .
Huduma zao 90% ni ovyo Sana .
Kama pale TCRA..Serikali Ina useless people wengi Sana .
Hakuna kitu wanaweza hawa watu wa serikalini .
Huduma zao 90% ni ovyo Sana .
Sweetheart..Dah! Uko wapi.....
Umesema ukweli mtupu. Mfano hai, tulishajiuliza kwa nini F4 failure ndio wanapelekwa kwenye majeshi?Wenye akili.watapindua nchi
Dory angelia sana....... Achana na mizee ina stress mzee π πMuache mwalimu wa wTu πππ