Kwanini watu wana chuki na Uislam na Waislam kwa mabaya ya Waarabu?

Status
Not open for further replies.
WAJINGA WANAFIKIRI WAARABU NDO UISLAMU.
 
Wewe hizi unazoandika ni historia.
 
Hakuna dini ya ovyo duniani kama wavaa vipedo
 
Dini ni moja tu hakuna kitabu kilisema hiyo wanayoifuata ni dini isipokuwa kitabu cha Quran tu , kimeweka wazi
Kitabu hicho si kimeandikwa na watu tu!! Au ndio unataka kuleta hadithi ya kwamba "Kimeshushwa" hakuna kitu kama kushushwa.
 
majini umeyakuta wapi?
 
shida kubwa ni mapokezi yanayotoka kwa viongozi wao maana hii chuki haikuanza leo ni muda sana ila miaka ya nyuma ilikuwa ni siri kubwa sana ila kwa sasa wameweka wazi chuki zao
 
Dini ni moja tu hakuna kitabu kilisema hiyo wanayoifuata ni dini isipokuwa kitabu cha Quran tu , kimeweka wazi
Na Wakristo hawafuati Dini. Wanamfuata Kristo. Ndo tofauti yake. Na Mungu ni tofauti. Quran hiyo hiyo Muhamad anasema anapokufa hajui anaenda wapi na hajui atafanywa nini kutokana na maisha aliyoishi. Vuta jamvi hapa vagina tukae mi ndo topics nazipenda hizi. Kuzungumzia Uislamu na Ukristo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…