Kwanini watu wana chuki na Uislam na Waislam kwa mabaya ya Waarabu?

Kwanini watu wana chuki na Uislam na Waislam kwa mabaya ya Waarabu?

Status
Not open for further replies.
Afu alipokufa wafuasi wake wakamuacha wakijua siku ya tatu atafufuka kama Masihi, oyaa aligeuka mzoga mbona walifukia fasta
Huyo masihi alkufufukia wewe uwanja wa Fisi? Maana Hao wanafunzi wake aipokamatwa wote walimkimbia Mark 14;50
 
Wakristo Nchi za kiarabu wamelindwa hadi leo, nani anawaua hawa Wakristo? Si ni Israel? Hutaona si humu wala Nchi za Magharibi wakimkemea Israel na washirika wake, Bali ni propaganda kwenda mbele.

1. Egpty, Kuna wakristo wengi sana wa Copts na wana nguvu Egpty na wanamiliki uchumi mkubwa tu, mfano ni Familia ya Sawaris ambayo ndio familia Tajiri zaidi Africa, na katika Familia Tajiri Duniani.

2. Lebanon Nchi nyengine yenye Wakristo wengi ya kiarabu, wana Katiba zao wenyewe namba ya kuunda Serikali ya mseto na waisilamu, For years wanauliwa na West hao wakristo na kupelekea wakristo wa jiunge na Hezbollah, Syria na Makundi mengine ya kiisilamu.

3. Palestina Nchi nyengine ilikuwa na Wakristo wengi, kuanzia miaka hio ya Crusaders west wanaua Wakristo hilo eneo, ila waisilamu ndio wakawatetea na hadi kulinda makanisa yao. Mpaka leo wakristo na waisilamu wana coexist kwa amani tu.

4. Iraq wakati wa Saddam wakristo walikua wakiishi kwa amani kabisa, wakapewa vyeo vikubwa vikubwa nini kimetokea baada ya Usa kuvamia? Wanauliwa

5. Syria wana wakristo wa kutosha nao waliishi kwa amani tu mpaka 2011 baada ya Uvamizi wa Usa Assyrian Christians wanauliwa kama kuku.

Tafuta source za Wakristo wa Middle East na usisubirie vyombo vya Magharibi vikuambie stori za kutunga, waarabu wengi wakristo na waisilamu zinaenda, na movement zote za Pan Arabs miaka kama 70 iliopita utaona wakristo walikuwa bega kwa bega na waisilamu.

Sehemu kama Oman kuna hadi Indigenous wahindu ambao wana Matemple yao na wanapewa hadi vyeo vya usheikh wanapata haki zote kama Raia wengine.
1. Copts christian in Egypt

Mashambulizi yaliyofanywa na waislamu kwenye makanisa zaidi ya 45 na kuua watu
1707755972208.png


1707756075884.png


Kaa maelezo zaidi unaweza kusoma hapa

2. Lebanon
Mwaka 2018 Hezibollah walishambulia makao makuu ya chama cha kisiasa cha kikristo kwa mawe na risasi.

Hopefully hakukuwa na majeruhi wala vifo.

Mwaka 2019 hao hao Hezibollah walishambulia waandamanaji wa kikristo ambao walikuwa wanaandamana kupinga utawala wa kisiasa wa Lebanon uliokuwa unawakandamiza jamii ya wakristo.

Mwaka 2016 Lebanon lilifanyika shambulio la kujitoa muhamga ambalo lili target maeneo yenye wakazi wengi wa kikiristo.

Watu watano walikufa wakati 15 wakiwa majeruhi.

Mwanzoni mwa mwaka 2021 mchungaji wa kanisa la Katoliki alihojiwa akisema idadi ya vijana wengi wakikristo inazidi kupungua kwa kasi.

Vijana wengi wanakimbia mji wa Beirut kwasababu ya unyanyasaji wanaoupata kutoka kwa jamii ya watu wa kiisilamu. Soma hapa

Mataifa karibia yote ya kiislamu hayana mazingira salama kwa asiye muislamu.
 
Roho mbaya na za uongo za MUNGU

Je, mistari ifuatayo ina maana gani? Je, inamaanisha kwamba MUNGU Mwenyezi aliwafanya watu hawa, zaidi ya mapenzi yao, kuwa waovu na waongo?

1 Samweli 16:16 "Bwana wetu na aamuru watumishi wake hapa wamtafute mtu awezaye kupiga kinubi. Atapiga wakati roho mbaya kutoka kwa Mungu itakapokujilia, nawe utajisikia vizuri."

1 Samweli 18:10 "Kesho yake, roho mbaya kutoka kwa Mungu ikamjia Sauli kwa nguvu. Alikuwa akitabiri nyumbani mwake, na Daudi akipiga kinubi kama kawaida yake. Sauli alikuwa na mkuki mkononi mwake..." MWINGINE ROHO MBAYA KUTOKA KWA MUNGU?! Tena, ni mafumbo tu.

1 Samweli 19:9 "Lakini roho mbaya kutoka kwa BWANA ikamjilia Sauli, alipokuwa ameketi nyumbani mwake, na mkuki wake mkononi mwake. Daudi alipokuwa akipiga kinubi,..." ROHO NYINGINE MBAYA KUTOKA KWA MUNGU?!

1 Wafalme 22:22 “ ‘Kwa njia gani? BWANA akauliza, “ ‘Nitatoka na kuwa pepo wa uongo katika vinywa vya manabii wake wote,’ akasema. “ ‘Utafanikiwa kumshawishi,’ asema BWANA, ‘Nenda ukafanye.

1 Wafalme 22:23 “Basi sasa BWANA ametia pepo wa uongo vinywani mwa manabii wako hawa wote;

2 Mambo ya Nyakati 18:21 “ ‘Nitakwenda na kuwa pepo wa uongo katika vinywa vya manabii wake wote,’ akasema, ‘Utafanikiwa kumshawishi,’ asema BWANA. 'Nenda ukaifanye.'
sema kwa hakika Allah ni mbora kati ya wapotoshi.
 
Ww km ni muilsam naona utakua huujui.Ndugu wa muislam ni muislam hata yale majini yalio sikia quoran ya yakashangaa nao ni ndugu zetu ila kafiri tutakupendaje ww maana hata ukichinja sisi hatuli ww kuniolewa mwanangu sitaki sasa hapo tu unaona tunataka amani ama sisi ndo tumejitenga
Hio ni misingi ya dini na ni sawa na sheria za nchi.Nchi hii inasheria zake na ile inasheria zake.

Rwanda utakuta dereva anakaa left tz anakaa right.Wew ukienda na gari yako iko na dereva yuko right side lazima ufate sheria tu unless ni ukorofi na kukosa hekima.

Swala la kuchinja liliamuliwa vizur kabisa sabab waislam wanamisingi yao na ni lazima kuifata ila imani zingine wao hawanashida na hili hivyo watu wakaona acha kuchinja iwe ya waislam wengine watakula sabab wakichinja wao au akichinja muislam hakuna sheria itakayowazuia kula kilichochinjwa tofauti na sis waislam.

Usilam haujasema tuwachukie watu.Qur an imesema wazi mtawapenda lakini hawatakupendeni na sabab kuu ni mafundisho yenu yanayopinga maslahi yao.

Kuhusu undugu upo wa aina nying kuna undugu wa dam ,undugu wa imani ,undugu wa kirafiki na kadharika.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Chuki inaliopo sio hiyo bhana mbona kaburu anawabagua watu weusi mpaka kesho na kuwaua hivyo hivyo kwa wazungu,tatizo lilipo dini ya uisilamu inaweka wazi imani zote lizopo duniani mfano nyiyi wagaratia amtaki kuambiwa ukweli kuwa mnae muabudu sio mungu bali ni mwana wa mariamu ni kiumbe kama nyiyi hapa ndipo chuki ilipo bhana usizunguke ukweli
Mi sio mgalatia
 
Huko kwenye Imani iliyo asisiwa na waarabu kuna chuki sana dhidi ya wasiofata dini ya hii ya kiarabu
chuki zenu ndiyo zimesababisha nanyi mchukiwe hapa Dunia na watu wote.
 
Yani jamii zote duniani ikiwemo watu weusi kuna wenye matatizo ya akili, kuna wwasio na dini na kuna wahuni.

Lakini jambo akifanya Muarabu: basi huyo moja kwa moja ni muislam, hakuna muarabu asie na dini, hakuna muarabu mhuni au katili au mjinga, chochote anachofanya muarabu basi anafanya kuiwakilisha dini ya kiislam, kwanini?

Ni ujinga kutafsiri uislam kutoka kwa waarabu (generalized), hata waliomganyia madhila makubwa Mtume walikua ni waarabu hao hao tena wengine wa kabila lake alipozaliwa.

Uhusiano wa waarabu na Uislam ni mambo mawili tu:

1. Mtume alikua muarabu
2. Quran imeandikwa kwa kiarabu, tofauti na hapo, muarabu ni muarabu na muislam ni muislam

Acheni chuki za kijinga
Mwarabu alisema wasio waarabu na wanaijifanya waislam ni mbwa wao. Hili unalisemaje? Na aliyesema ni mwislam
 
Waarabu ni wabaguzi sana. Wao wanaweza kwenda kokote wakajenga misikiti yao, lakini hawaruhusu majengo ya kuabudia ya dini zingine kujengwa kwao.
Na siyo Uarabuni tu, hata Zanzibar kuna huo ubaguzi..

View: https://youtube.com/shorts/Gh34U30vi5Q?si=tmCxsKChTXny04QL

Mleta uzi kasema makosa ya waislam sio makosa ya uislam.Hao wanaopinga kujengwa makanisa waulize aya ipi imesema hivyo kwenye qur an.

Qur an inasema msiwapige wale waliopo kwenye nyumba za ibada na wala msibomoe nyumba za ibada.
 
  • Thanks
Reactions: 511
sasa kama tutaamua kulibeba lako kwamba waarabu wapo baadhi ni wapuuzi,tutakuwa na uhakika gani kwamba upuuzi wao hautoku katika maandiko ya kitabu chao cha kidini,ikiwa kila wanachofanya kina rejea ktk dini.
Kama kipi kinarejea katika dini?
 
Wakristo wenye misimamo mikali huwa wanafanya vihoja na mambo ya ajabu ila sio rahisi kufanya ugaidi. Mfano Shakahola, Wasabato masalia, Kibwetere, Jim Jones n.k athari zilienda kwa washirika wao zaidi kuliko watu wa nje.
Ugaidi haupo kwenye uislam be informed
 
Back to square one hakuna nchi za kiislamu kwa sasa , kuna mataifa ya kiarabu taifa la mwisho la kiislamu lilikuwa ottoman empire .

Unaposema mataifa ya kiislamu means nchi inaongozwa kwa kufuata quran na sunna na kiongozi wa juu kabisa wa taifa la kiislamu anaitwa khalifa na si wafalme au maraisi na si nje ya hapo. nikikuambia unitajie nchi yoyote unayoita za kiislamu inayofanana na maelezo hapo juu hautopata hata moja.

Kipindi cha dola ya kiislamu watu wa dini nyingine waliishi vizuri tu na walikuwa wakilipia jizya mara moja tu kwa mwaka tena ni kwa wanaume ambayo hawakutaka kuwa enroled pindi vita vikitokea .

So hizi unazoona kwa sasa si nchi za kiislamu na pia nchi ya kikristo duniani ni moja tu roma ya italia nyingine zilizobaki ni either za kidemokrasia au zinaongozwa kifalme.
Kwanini nchi inayotekeleza adhabu kwa kufuata kitabu cha dini isiwe nchi ya kidini?
 
Huyo masihi alkufufukia wewe uwanja wa Fisi? Maana Hao wanafunzi wake aipokamatwa wote walimkimbia Mark 14;50
Mathayo 28:5-7
[5]Malaika akajibu, akawaambia wale wanawake, Msiogope ninyi; kwa maana najua ya kuwa mnamtafuta Yesu aliyesulibiwa.

[6]Hayupo hapa; kwani amefufuka kama alivyosema. Njoni, mpatazame mahali alipolazwa.

[7]Nanyi nendeni upesi, mkawaambie wanafunzi wake, Amefufuka katika wafu. Tazama, awatangulia kwenda Galilaya; ndiko mtakakomwona. Haya, nimekwisha waambia.
 
Huko kwenye Imani iliyo asisiwa na waarabu kuna chuki sana dhidi ya wasiofata dini ya hii ya kiarabu
chuki zenu ndiyo zimesababisha nanyi mchukiwe hapa Dunia na watu wote.
Shida hamtaki kuelewa siku mkielewa mtahuzunika sana
 
*********************************************
Matthew 19:10-12
New International Version:

10. The disciples said to him, “If this is the situation between a husband and wife, it is better not to marry.”

11. Jesus replied, “Not everyone can accept this word, but only those to whom it has been given. 12. For there are eunuchs who were born that way, and there are eunuchs who have been made eunuchs by others—and there are those who choose to live like eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”
********************************************
Unaona unavyodanganya, wapi alipoongelea "Ushoga," hivi wewe unajua maana ya neno "Eunuch" au una elimu ya St Kayumba au Madrasa.

Uwe mtu anayependa kusoma na kuelewa mambo kuliko kubaki kuwa mtu wa kijiwe anaye kariri tu mambo.
 
Mwarabu alisema wasio waarabu na wanaijifanya waislam ni mbwa wao. Hili unalisemaje? Na aliyesema ni mwislam
Kwaio kama ni muislam alichokisema itakuwa ni sehem ya uislam.Kwaio james delicious kuwa shoga na kuupromote ushoga ni mafundisho ya biblia vip gigy money ?
 
Kwanini nchi inayotekeleza adhabu kwa kufuata kitabu cha dini isiwe nchi ya kidini?
Hivi unafaham kunyonga ni katika sheria za kiislam ila kwa mtu alieua?

Basi Tanzania na nchi nyingine zinazonyonga watu walioua ni za kidini alright?
 
Yani jamii zote duniani ikiwemo watu weusi kuna wenye matatizo ya akili, kuna wwasio na dini na kuna wahuni.

Lakini jambo akifanya Muarabu: basi huyo moja kwa moja ni muislam, hakuna muarabu asie na dini, hakuna muarabu mhuni au katili au mjinga, chochote anachofanya muarabu basi anafanya kuiwakilisha dini ya kiislam, kwanini?

Ni ujinga kutafsiri uislam kutoka kwa waarabu (generalized), hata waliomganyia madhila makubwa Mtume walikua ni waarabu hao hao tena wengine wa kabila lake alipozaliwa.

Uhusiano wa waarabu na Uislam ni mambo mawili tu:

1. Mtume alikua muarabu
2. Quran imeandikwa kwa kiarabu, tofauti na hapo, muarabu ni muarabu na muislam ni muislam

Acheni chuki za kijinga
Hadi muhalalishe Nguruwe ndo tutawaheshimu....
 
Na huu ndio ukweli,siku mkija kuelewa sijui mtasemaje.

Maneno ya sheikh sio qur-an.
Sio kila tendo la muumini ni fundisho la usilam.
Sio kila chenye tittle ya Islamic teachings ni sahih.
Last but not least qur an iko na deepest meaning inahitaji kutuliza akili,unless utakurupuka kumbe umekosea kuelewa,kama ambavyo kuna mtu alisema qur an inasema jua linazama kwenye matope.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom