Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vagina... Upo? Mi nikiliona jina lako sheikh wangu nasisimka sana. Nasema eeeeh.... Inshallah.... Una jina zuri. Mashallah.Kristo wako wengi kwenye biblia , hata nguzo zikiitwa kristo au yule slipokufa alienda hell
Mim uwa nacheka sana.Sayansi inasema mwanamke akiingia period means mwili uko tiyar kubeba mimba ila kichekesho kinakuja pale watu wanapomshangaa mtu anapomuoa kumuoa mtu ambaye mwili upo tiyar kubeba mimba ila wanaona sawa bint kugegedwa nje na mtu asiemuoa.
Hii haipo kwa bahati mbayaChuki au ubaguzi dhidi ya Waislamu mara nyingine unaweza kutokana na kutokuelewa na miseducation, pamoja na sababu nyingine kama vile vyombo vya habari, matukio ya kihistoria, na hali ya kisiasa. Ni muhimu kutambua kwamba kuenea kwa maoni hasi au chuki dhidi ya jamii fulani haikubaliki na inakwenda kinyume na misingi ya haki za binadamu na utofauti wa tamaduni na dini.
Hapa kuna sababu kadhaa zinazoweza kuchangia chuki dhidi ya Waislamu:
1. Ubaguzi wa Kidini:
- Baadhi ya watu wanaweza kuwa na upendeleo au hata chuki dhidi ya dini tofauti, na hivyo wanaweza kuwa na maoni hasi kuhusu Waislamu kwa msingi wa dini yao.
2. Ubaguzi wa Kikabila na Kitamaduni:
- Waislamu wengi wanatoka katika jamii tofauti na za kitamaduni, ikiwa ni pamoja na Waarabu. Ubaguzi wa kikabila au kitamaduni unaweza kuchangia maoni hasi.
3. Ugaidi na Vyombo vya Habari:
- Matukio ya kigaidi yanayofanywa na makundi fulani yanaweza kutoa taswira hasi ya Uislamu kwa jumla. Vyombo vya habari mara nyingine vinaweza kuchochea hofu na chuki kwa kuripoti matukio haya bila kuzingatia muktadha kamili.
4. Ukosefu wa Maarifa:
- Kutokuelewa kuhusu imani za Kiislamu na tamaduni za Waislamu kunaweza kusababisha maoni potofu au ya kupotoshwa.
5. Mzungumzaji wa Kujitenga (Othering):
- Mara nyingine, watu wanaweza kuhisi kutengwa au kuwaona Waislamu kama "wengine," ambao ni tofauti nao. Hali hii inaweza kuchangia kutoelewa na kuleta chuki.
Ni muhimu kukuza elimu, kuelimisha, na kufanya mazungumzo yenye heshima kati ya jamii na dini tofauti ili kupunguza chuki na kusaidia watu kuelewa tofauti zilizopo na kuheshimu utofauti wa tamaduni na dini. Kuelimisha jamii juu ya ukweli wa dini mbalimbali na kukuza mazungumzo ya kuheshimiana ni njia ya kujenga jamii inayokubali na kuheshimu utofauti.
Ujinga hauna kawaida yakuonekana hovyo tafadhali usiudhihirisheSio lazima kitoke kitabibu, tumeona kuanzia Al Qaeda,Isis ,boko haram na wengineo wakitumia Allahu Akbar baada ya kufanya matendo yao ya kigaidi. Jambo hilo linafanya watu waamini kwamba uislam na ugaidi ni pande mbili za kwenye sarafu 1.
Hio nchi ya kiislam iliyomuua mtu kwa kurtadi ni ipi?
Utaweza kusema nchi fulani ni ya kiislam if iko full gear kwenye matumiz ya sheria za kiislam unless ni kutafuta ujiko usio na msingi.Saudia sio nchi ya kiislam bali ni nchi ya waislam ndio maana kuna ruhusa ya pombe na mambo mengine ambayo uislam umeyakataza.
Utuambie sas hizo aya wanazozitumia kufanyia ugaidi?Waarabu wanaofanya matukio ya ugaidi kwa asilimia 90+ ni waislamu na wanatumia quran kuhalalisha ugaidi wao
Lete uthibitisho acha bla bla.Kama inafata qur an na sunnah njoo na uthibitisho qur an na sunnah zimeruhusu pombeKatiba ya saudi arabia ni quran na sunnah.
Uislamu umeanzia saudi arabia na hata nguzo ya tano ya uislamu inafanyika kwenye ardhi ya saudi arabia
Makao makuu ya uislamu ni saudi arabia
Nchi ya saudi arabia inaua watu kwa kuritadi
Wapi imeandikwa mtu asietaka kuingia kwenye uislam achinjwe?kwahiyo wakiwa hawataki ndio wachinjwe??
Hata wenyewe hawabishi, si unamuona mwamba hapo juu anatetea kabisa akiuliza kwani "hawawezi kuolewa?"Siyo kweli. Haiwezekani mtu mzima na akili timamu akaoa katoto kadogo hivyo. Atakafanya nini sasa? Hii ni kumchafua mtume. Mtaenda motoni nyie. Mtoto wa miaka 6? Daaah.... Huo si ushetani, ubakaji na unajisi.
Huyo mtoto ni 13 are you mad?
Lete uthibitisho acha bla bla.Kama inafata qur an na sunnah njoo na uthibitisho qur an na sunnah zimeruhusu pombe
9, vipi lakini? Wamependezea? Sasa Mwamba Mudi ndiyo alioa kama hakoHuyo mtoto ni 13 are you mad?
Chuki ni uchafu wa moyoYani jamii zote duniani ikiwemo watu weusi kuna wenye matatizo ya akili, kuna wwasio na dini na kuna wahuni.
Lakini jambo akifanya Muarabu: basi huyo moja kwa moja ni muislam, hakuna muarabu asie na dini, hakuna muarabu mhuni au katili au mjinga, chochote anachofanya muarabu basi anafanya kuiwakilisha dini ya kiislam, kwanini?
Ni ujinga kutafsiri uislam kutoka kwa waarabu (generalized), hata waliomganyia madhila makubwa Mtume walikua ni waarabu hao hao tena wengine wa kabila lake alipozaliwa.
Uhusiano wa waarabu na Uislam ni mambo mawili tu:
1. Mtume alikua muarabu
2. Quran imeandikwa kwa kiarabu, tofauti na hapo, muarabu ni muarabu na muislam ni muislam
Acheni chuki za kijinga
Wewe unafikiri hao wakina Musa waliongea kiswahili ??waliongea kiebrania , watu wote walitangaza imani kwa lugha zao za asili, ila vihere here ndio wakatafisiri ili wajue kuna niniKulikua na ulazima gani wa Mtume kua Mwaraba na kutumia lugha ya kiarabu kuforce Uislam? Na kwaninin mkacopy dini za watu? matunguli ya Babu zenu mnamwachia nani?
Shida mmegoma kuelewa kabisa.Swala la mtume kumuoa aisha linautata wapo wanaosema sio sahih. But kwa mujibu wa sayans mwanamke yupo tiyar kuolewa baada ya kuvunja uongo sabab mwili upo tiyar kubeba mimba.Your done wapi wewe? Hebu rudi hapa.
View attachment 2902042
Kwahiyo unataka kusemaje? Chuki iendelee dhidi ya Waislam na kiarabu chao au waabudu kiswahili na waache kujinasbisha na waarabu?Wewe unafikiri hao wakina Musa waliongea kiswahili ??waliongea kiebrania , watu wote walitangaza imani kwa lugha zao za asili, ila vihere here ndio wakatafisiri ili wajue kuna nini
Qur an imeteremshwa kwa kiarabu sas nataka sehem kweny hio aya unioneshe neno la kiarabu lenye maana LUGHA YENU.Maneno yako wazi TUMEITEREMSHA KWA LUGHA YENU KIARABU ila unabadilisha kwa uongo uongo. Sikushangai maana Quran imewaruhusu kusema uongo. Kudanganya ili kuulinda uislamu
Uongo huo Mnaita Taqiyya
Quran iliandikwa kiarabu, na Biblia iliandikwa kiebrania, ni kichaa pekee ndio anaweza kufikiri vitabu viliandikwa kiingereza au kiswahiliKwahiyo unataka kusemaje? Chuki iendelee dhidi ya Waislam na kiarabu chao au waabudu kiswahili na waache kujinasbisha na waarabu?