Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Unaweza kuteremsha kutoka Chini?Juu unasema wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuteremsha kutoka Chini?Juu unasema wewe
Kwa hiyo ndiyo maana huwa mkiulizwa "hapo vipi?", huwa mnajibu "hapo sawa?"Shida mmegoma kuelewa kabisa.Swala la mtume kumuoa aisha linautata wapo wanaosema sio sahih. But kwa mujibu wa sayans mwanamke yupo tiyar kuolewa baada ya kuvunja uongo sabab mwili upo tiyar kubeba mimba.
Unaona ujinga wakoWakati DP world wakipigwa vita wasipewe bandari huko misikitini mlikuwa mnasemaje vile?
Qur an imeteremshwa kwa kiarabu sas nataka sehem kweny hio aya unioneshe neno la kiarabu lenye maana LUGHA YENU.
Lete picha ya muddy sas niamini9, vipi lakini? Wamependezea? Sasa Mwamba Mudi ndiyo alioa kama hako
Saudi hawafuati kitabu , nakupa mfano kuna mwanawachuoni (mtu aliyesoma elimu ya dini ya kiislamu) wa kishia ka majina Nimr Baqir al-Nimr aliuwawa nchini saudi arabia mwaka 2016 kwa sababu tu alionesha kupinga uongozi wa saudi.Kwanini nchi inayotekeleza adhabu kwa kufuata kitabu cha dini isiwe nchi ya kidini?
Sas hio ulioleta ni tafsir au kuna mwehu mahali kaokota smartphone nazungumza nae.Mpumbavu kweli. Hujui kama Quran imetafsiriwa.. mimi nioneshe neno la kiarabu je mimi ni mwarabu.
Mimi nakupa mstari wa kiarabu na tafsiri yake ya kiswahili. Ama waliotafsiri quran ni waongo ?
Waarabu wanaofanya matukio ya ugaidi kwa asilimia 90+ ni waislamu na wanatumia quran kuhalalisha ugaidi wao
Ukisoma report yako ni ya 2013 same time wakati wa machafuko ya Egpty na kutolewa Hosni Mubarak kuja morsi, Nchi haikua stable1. Copts christian in Egypt
Mashambulizi yaliyofanywa na waislamu kwenye makanisa zaidi ya 45 na kuua watu
View attachment 2901974
View attachment 2901976
Kaa maelezo zaidi unaweza kusoma hapa
Ushauri wangu nimekupa usitafute source za Wakristo wa Middle East kupitia West, kwa zaidi ya miaka 1000 west wanaua Wakristo wa Middle East haya mambo hayajaaza leo wala Jana Yameanza hata kabla Mtume hajazaliwa.2. Lebanon
Mwaka 2018 Hezibollah walishambulia makao makuu ya chama cha kisiasa cha kikristo kwa mawe na risasi.
Hopefully hakukuwa na majeruhi wala vifo.
Mwaka 2019 hao hao Hezibollah walishambulia waandamanaji wa kikristo ambao walikuwa wanaandamana kupinga utawala wa kisiasa wa Lebanon uliokuwa unawakandamiza jamii ya wakristo.
Mwaka 2016 Lebanon lilifanyika shambulio la kujitoa muhamga ambalo lili target maeneo yenye wakazi wengi wa kikiristo.
Watu watano walikufa wakati 15 wakiwa majeruhi.
Mwanzoni mwa mwaka 2021 mchungaji wa kanisa la Katoliki alihojiwa akisema idadi ya vijana wengi wakikristo inazidi kupungua kwa kasi.
Vijana wengi wanakimbia mji wa Beirut kwasababu ya unyanyasaji wanaoupata kutoka kwa jamii ya watu wa kiisilamu. Soma hapa
Mataifa karibia yote ya kiislamu hayana mazingira salama kwa asiye muislamu.
Sas hio ulioleta ni tafsir au kuna mwehu mahali kaokota smartphone nazungumza nae.
Sijui unavuta bangi
Umejuaje hao ni waisilamu ama wakristo? Kuna vikundi 12 Palestina vilivamia Israel hio siku, Hamas ni kimoja wapo ila kulikua na wengine pia.Sawa lakini umewahi kuona wapi wakristo wamefanya uhalifu na wana chant Allahu Akbar?
kwani juu ni wapi na chini ni wapi kwenye ulimwengu?Unaweza kuteremsha kutoka Chini?
Vagina... Upo? Mi nikiliona jina lako sheikh wangu nasisimka sana. Nasema eeeeh.... Inshallah.... Una jina zuri. Mashallah.
Sijui unasoma Biblia ipi Masihi yupo mmoja. Unasema Mtume alienda Motoni? Sababu tu kuwa alisema hajui aendako? Umekufuru. Kila siku tunakumbushana kumswalia mtume kumbe wewe humswalii?
Mbona nchi za kislam mbali sana hapa bongo tu muislam mweusi haruhusiwi kugusana na mwarabu wakati wa kuswali wanatengwa kabisa humo misitikini wakigusana viganja vya miguuKabla ya kulalalamika waislamu wanachukiwa au uislamu unachukiwa.
Ulishawahi kuangalia wasio waislamu jinsi wanavyoishi na kuwa treated kwenye mataifa ya kiislamu?
Kwenye nchi za kiislamu, asiye muislamu anaweza kuabudu, kujenga nyumba ya ibada kwa uhuru, na kupata kazi kwa usawa kulingana na vigezo vyake vya kitaaluma??
Sijui unasoma Biblia ipi Masihi yupo mmoja. Unasema Mtume alienda Motoni? Sababu tu kuwa alisema hajui aendako? Umekufuru. Kila siku tunakumbushana kumswalia mtume kumbe wewe humswalii?
Ni yupi ??
Hao wote wanauliwa na nani?Wakristo Nchi za kiarabu wamelindwa hadi leo, nani anawaua hawa Wakristo? Si ni Israel? Hutaona si humu wala Nchi za Magharibi wakimkemea Israel na washirika wake, Bali ni propaganda kwenda mbele.
1. Egpty, Kuna wakristo wengi sana wa Copts na wana nguvu Egpty na wanamiliki uchumi mkubwa tu, mfano ni Familia ya Sawaris ambayo ndio familia Tajiri zaidi Africa, na katika Familia Tajiri Duniani.
2. Lebanon Nchi nyengine yenye Wakristo wengi ya kiarabu, wana Katiba zao wenyewe namba ya kuunda Serikali ya mseto na waisilamu, For years wanauliwa na West hao wakristo na kupelekea wakristo wa jiunge na Hezbollah, Syria na Makundi mengine ya kiisilamu.
3. Palestina Nchi nyengine ilikuwa na Wakristo wengi, kuanzia miaka hio ya Crusaders west wanaua Wakristo hilo eneo, ila waisilamu ndio wakawatetea na hadi kulinda makanisa yao. Mpaka leo wakristo na waisilamu wana coexist kwa amani tu.
4. Iraq wakati wa Saddam wakristo walikua wakiishi kwa amani kabisa, wakapewa vyeo vikubwa vikubwa nini kimetokea baada ya Usa kuvamia? Wanauliwa
5. Syria wana wakristo wa kutosha nao waliishi kwa amani tu mpaka 2011 baada ya Uvamizi wa Usa Assyrian Christians wanauliwa kama kuku.
Tafuta source za Wakristo wa Middle East na usisubirie vyombo vya Magharibi vikuambie stori za kutunga, waarabu wengi wakristo na waisilamu zinaenda, na movement zote za Pan Arabs miaka kama 70 iliopita utaona wakristo walikuwa bega kwa bega na waisilamu.
Sehemu kama Oman kuna hadi Indigenous wahindu ambao wana Matemple yao na wanapewa hadi vyeo vya usheikh wanapata haki zote kama Raia wengine.