shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,150
Swali la hovyo mwezi February ๐๐๐.Vipi kuhusu kufufa madevu, kuvaa kanzu kama waaeabu na kobaz? Maana haya ni sehemu ya utamaduni wa wa waarabu na mmeyafanya kuwa sehemu ya uislam.
Mbona hakuna sehem pameandikwa uislam ni wa waarabu,mnaona shida zenu zilipo sas
Na huu ndio ukweli,siku mkija kuelewa sijui mtasemaje.
Maneno ya sheikh sio qur-an.
Sio kila tendo la muumini ni fundisho la usilam.
Sio kila chenye tittle ya Islamic teachings ni sahih.
Last but not least qur an iko na deepest meaning inahitaji kutuliza akili,unless utakurupuka kumbe umekosea kuelewa,kama ambavyo kuna mtu alisema qur an inasema jua linazama kwenye matope.
Mtoto wa miaka 13 hawezi kuolewa?Niseme tu pole. Ila hata Muhammed alioa mtoto wa miaka 13 Je tumuite Mhuni au Muislam
Na mengi mabaya alifanya yamefunikwa kwa maslahi mapana. Kama Jamaa alifanya mengi ya ajabu anakuwaje awe kioo cha hiyo Imani Otherwise kuna maswali mengi ya kujiuliza
Mnaona sas mlivo na matatizo instead ya kuwachukia na kuwapinga hao al shabab na wengine mnachukia uislam unaokataza kinachofanywa na hao boko haram.Al Shabaab, Boko Haram, sijui Islamic state West Africa sio waarabu ila wamawaua wakristu kwa jina la huyo Allah wenyu. Tunawachukia waislamu kwa sababu hizo sio kwa sababu ya waarabu.
Kila anaesema allah akbar ndio inakua yuko sahihi kwa anachokifanya?Shida ni kwamba hata wakifanya upuuzi huwa wanasema Allah Akbar, mwishowe dunia nzima inahusisha ukatili na dini yao. Hata mashambulizi ya October 7 ya Hamas dhidi ya Israel ambayo mimi naona yalikua sahihi kabisa shida ilikua ni fighters kupiga Allahu Akbar. Ile iliwapotezea marks za support kutoka jamii zote ambazo sio waislam
sema kwa hakika Allah ni mbora kati ya wapotoshi.
Tanzania hatutumii shariaHivi unafaham kunyonga ni katika sheria za kiislam ila kwa mtu alieua?
Basi Tanzania na nchi nyingine zinazonyonga watu walioua ni za kidini alright?
Mathayo 28:5-7
[5]Malaika akajibu, akawaambia wale wanawake, Msiogope ninyi; kwa maana najua ya kuwa mnamtafuta Yesu aliyesulibiwa.
[6]Hayupo hapa; kwani amefufuka kama alivyosema. Njoni, mpatazame mahali alipolazwa.
[7]Nanyi nendeni upesi, mkawaambie wanafunzi wake, Amefufuka katika wafu. Tazama, awatangulia kwenda Galilaya; ndiko mtakakomwona. Haya, nimekwisha waambia.
Nianze kwa kucheka ๐๐๐๐.Surat Yusufu aya ya 2 imeandika hivi
"Hakika Sisi tumemteremshia Mtume wetu haya maneno kwa lugha yenu ya Kiarabu yasomwe na yahifadhiwe, ili muyafahamu, na muwafikishie watu wote"
๏ดฟุฅููููุง ุฃููุฒูููููุงูู ููุฑูุขููุง ุนูุฑูุจููููุง ูููุนููููููู ู ุชูุนูููููููู๏ดพ
[ ููุณู: 2]
Hujaona Neno mtume wetu haya maneno kwa lugha yenu ya kiarabu .
Je wewe mmakonde lugha yenu ni ki arabu ?
Bahati nzuri kila mtu yuko huru kuamini anachohitaji.Am done with you
Wacha kuweka maneno yako , Kama mumezowea kuwadanganya kondom fanyeni huko kanisani kwenye na kwenye biblia zenu mlizozichakachuwapSurat Yusufu aya ya 2 imeandika hivi
"Hakika Sisi tumemteremshia Mtume wetu haya maneno kwa lugha yenu ya Kiarabu yasomwe na yahifadhiwe, ili muyafahamu, na muwafikishie watu wote"
๏ดฟุฅููููุง ุฃููุฒูููููุงูู ููุฑูุขููุง ุนูุฑูุจููููุง ูููุนููููููู ู ุชูุนูููููููู๏ดพ
[ ููุณู: 2]
Hujaona Neno mtume wetu haya maneno kwa lugha yenu ya kiarabu .
Je wewe mmakonde lugha yenu ni ki arabu ?
Your done wapi wewe? Hebu rudi hapa.Bahati nzuri kila mtu yuko huru kuamini anachohitaji.Am done with you
Nianze kwa kucheka ๐๐๐๐.
Be attention na MTUME WETU pamoja na LUGHA YENU na MUWAFIKISHIE WATU WOTE.
Qur an imeshushwa kwa kiarabu sabab ni kupatikana kwa mazingatio.Mazingatio yanayokusudiwa ni haya.
01.Qur an ilishuka kwa kiarabu ili iwe rahisi kwa warabu kuipokea na kuielewa kwa haraka.
02.Zingatio lingine ni matumizi ya lugha ya kiarabu yanatupa zingatio la kuona utukufu wa mungu juu ya uumbaji wa mwanadamu.Mtu anahifadhi kitabu kizima kwa lugha ya kiarabu hii ni maajbu yanayotupa mazingatio juu ya utukufu na ukubwa wa mwenyezi mungu.
SWALI:
Kwanin itumike sentensi muwafikishie watu wote why not muwafikishie warabu wenzenu.
LAST BUT NOT LEAST:
Qur an imesema tumeiteremsha qur an kwa lugha ya kiarabu ili mpate kuzingatia na sio kama ulivyoleta hio tafsir.
NOTE: Nimekujibu kutokana na tafsir yako japo haiko sahih hakuna mahali kweny hio aya kunasomeka MTUME WETU ,LUGHA YENU NA MUWAFIKISHIE WATU WOTE be carefully
Sijui unasoma Biblia ipi Masihi yupo mmoja. Unasema Mtume alienda Motoni? Sababu tu kuwa alisema hajui aendako? Umekufuru. Kila siku tunakumbushana kumswalia mtume kumbe wewe humswalii?Kristo wako wengi kwenye biblia , hata nguzo zikiitwa kristo au yule slipokufa alienda hell
Siyo kweli. Haiwezekani mtu mzima na akili timamu akaoa katoto kadogo hivyo. Atakafanya nini sasa? Hii ni kumchafua mtume. Mtaenda motoni nyie. Mtoto wa miaka 6? Daaah.... Huo si ushetani, ubakaji na unajisi.Your done wapi wewe? Hebu rudi hapa.
View attachment 2902042
Wacha kuweka maneno yako , Kama mumezowea kuwadanganya kondom fanyeni huko kanisani kwenye na kwenye biblia zenu mlizozichakachuwap
Hio nchi ya kiislam iliyomuua mtu kwa kurtadi ni ipi?Tanzania hatutumii sharia
Tunatumia taratibu za katiba ambazo zimependekezwa na wananchi.
Ni sheria ambazo tunauwezo wa kuzibadili kulingana na generation ambayo tunaishi.
Hii ni sheria ya kidemokrasia sio ya dini.
Pamoja kwamba tuna adhabu ya kunyonga bado Tanzania hatuitumii. Mara ya mwisho kutumika ilikuwa miaka 28
Magerezani kuna idadi ya wafungwa zaidi ya 600 wenye hukumu za kunyongwa lakini mpaka saizi wapo na hawajanyongwa.
Juzi tu hapo Tume ilikuwa inajadili kuondoa adhabu ya kifo kutokana na kutotumika.
Sasa ukija kwenye sharia law hiyo room ya majadiliano huipati
Kwa maana Islamic law ni maagizo ya Quran na hauwezi kuifanyia amendment kwasababu itaonekana unakosoa maandiko ya Allah.
Lakini sharia law mtu anaweza kuchinjwa kwa kuukataa tu Uislamu (apostasy)
Sasa nchi ambayo sio ya kiislamu inawezaje kutekeleza adhabu ya kifo kwa kosa la mtu kuuacha Uislamu??