Kwanini watu wana chuki na Uislam na Waislam kwa mabaya ya Waarabu?

Status
Not open for further replies.
Hii haipo kwa bahati mbaya

vyombo vya magharib vimekuwa msitari wa mbele kuzungumzia chuki hii bila kuweka mipaka wala kujali athari yke nn

na kuonekana uisilam km ni tatizo kwa ulimwengu na jamii za kiarabu lkn ajabu kadiri ya chuki zidi ya uislam inavo enea na ndivo uisilam unavo kua

Ajabu hata hp nchi yt kuna watu wanaamini kumpeleka mtoto madrasa ni km mtoto anapoteza muda kwani anaenda kujifunza lugha ya kiarabu tu hatokuwa la manufaa lolot hivyo sio jambo sahih kwk .
Watu wengi wanaaminishwa(kasumba) jamii za kiisilam ndio jamii maskin kwani hawa wek kipao mbele elimu ya shule, kwngu mm Hilo siamini mfn ukiangalia nchi za masharik ya kati baadhi ya jamii zao zinawapeleka wtoto wadogo kusoma qur an madrasa na wanasoma shule za kawaida vizur tu na maendeleo ya jamii hizo ya kichumi yanakua vzr

lkn hili kwa kwetu limekuwa km ni fimbo inotumika na badhi ya wtu kuwerejeha nyuma jamii za kiislam kusema madrasa ni kuzoretesha maendeleo yao kwa jamii hizo jambo ambalo sio kweli ukiangalia kiundani ndio jamii zilokuwa bunifu kutotgemea kuajiriwa kulingana na elimu ya shule na zinachangia sekta binafsi za kiuchumi kwa asilimia kubwa lkn na hili linatokana mfumo mbovu wa elim .
kosa kubwa waislam linowasumbua vyombo vya habari vya kimataifa vimechukua nafasi kubwa kuwachafua ndio zao ya chuki unazo ziona ulimwengu mzima zidi ya waislam lkn hili ni swala la muda tu saiv wtu wameshaanza kuelewa ukweli na ndio mana unaona mabadiliko makubwa ulaya zidi ya uislam na ulimwengu kwa jumla
 
Sio lazima kitoke kitabibu, tumeona kuanzia Al Qaeda,Isis ,boko haram na wengineo wakitumia Allahu Akbar baada ya kufanya matendo yao ya kigaidi. Jambo hilo linafanya watu waamini kwamba uislam na ugaidi ni pande mbili za kwenye sarafu 1.
Ujinga hauna kawaida yakuonekana hovyo tafadhali usiudhihirishe
 


Katiba ya saudi arabia ni quran na sunnah.

Uislamu umeanzia saudi arabia na hata nguzo ya tano ya uislamu inafanyika kwenye ardhi ya saudi arabia

Makao makuu ya uislamu ni saudi arabia

Nchi ya saudi arabia inaua watu kwa kuritadi
 
Katiba ya saudi arabia ni quran na sunnah.

Uislamu umeanzia saudi arabia na hata nguzo ya tano ya uislamu inafanyika kwenye ardhi ya saudi arabia

Makao makuu ya uislamu ni saudi arabia

Nchi ya saudi arabia inaua watu kwa kuritadi
Lete uthibitisho acha bla bla.Kama inafata qur an na sunnah njoo na uthibitisho qur an na sunnah zimeruhusu pombe
 
Siyo kweli. Haiwezekani mtu mzima na akili timamu akaoa katoto kadogo hivyo. Atakafanya nini sasa? Hii ni kumchafua mtume. Mtaenda motoni nyie. Mtoto wa miaka 6? Daaah.... Huo si ushetani, ubakaji na unajisi.
Hata wenyewe hawabishi, si unamuona mwamba hapo juu anatetea kabisa akiuliza kwani "hawawezi kuolewa?"
 
Kulikua na ulazima gani wa Mtume kua Mwaraba na kutumia lugha ya kiarabu kuforce Uislam? Na kwaninin mkacopy dini za watu? matunguli ya Babu zenu mnamwachia nani?
 
Chuki ni uchafu wa moyo
 
Kulikua na ulazima gani wa Mtume kua Mwaraba na kutumia lugha ya kiarabu kuforce Uislam? Na kwaninin mkacopy dini za watu? matunguli ya Babu zenu mnamwachia nani?
Wewe unafikiri hao wakina Musa waliongea kiswahili ??waliongea kiebrania , watu wote walitangaza imani kwa lugha zao za asili, ila vihere here ndio wakatafisiri ili wajue kuna nini
 
Wewe unafikiri hao wakina Musa waliongea kiswahili ??waliongea kiebrania , watu wote walitangaza imani kwa lugha zao za asili, ila vihere here ndio wakatafisiri ili wajue kuna nini
Kwahiyo unataka kusemaje? Chuki iendelee dhidi ya Waislam na kiarabu chao au waabudu kiswahili na waache kujinasbisha na waarabu?
 
Maneno yako wazi TUMEITEREMSHA KWA LUGHA YENU KIARABU ila unabadilisha kwa uongo uongo. Sikushangai maana Quran imewaruhusu kusema uongo. Kudanganya ili kuulinda uislamu

Uongo huo Mnaita Taqiyya
Qur an imeteremshwa kwa kiarabu sas nataka sehem kweny hio aya unioneshe neno la kiarabu lenye maana LUGHA YENU.
 
Kwahiyo unataka kusemaje? Chuki iendelee dhidi ya Waislam na kiarabu chao au waabudu kiswahili na waache kujinasbisha na waarabu?
Quran iliandikwa kiarabu, na Biblia iliandikwa kiebrania, ni kichaa pekee ndio anaweza kufikiri vitabu viliandikwa kiingereza au kiswahili
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…