Kwanini watu wana chuki na Uislam na Waislam kwa mabaya ya Waarabu?

Status
Not open for further replies.
Shida mmegoma kuelewa kabisa.Swala la mtume kumuoa aisha linautata wapo wanaosema sio sahih. But kwa mujibu wa sayans mwanamke yupo tiyar kuolewa baada ya kuvunja uongo sabab mwili upo tiyar kubeba mimba.
Kwa hiyo ndiyo maana huwa mkiulizwa "hapo vipi?", huwa mnajibu "hapo sawa?"
 
Qur an imeteremshwa kwa kiarabu sas nataka sehem kweny hio aya unioneshe neno la kiarabu lenye maana LUGHA YENU.

Mpumbavu kweli. Hujui kama Quran imetafsiriwa.. mimi nioneshe neno la kiarabu je mimi ni mwarabu.

Mimi nakupa mstari wa kiarabu na tafsiri yake ya kiswahili. Ama waliotafsiri quran ni waongo ?
 
Mimi sina chuki na uislamu kwa sababu ya mabaya ya waarabu maana mabaya yao naadithiwa tu kama ninavyoadithiwa mabaya ya wazungu

1.Mimi nachukia uislamu kwa sababu ya baadhi ya waislamu wa hapa jamii forum
2.nauchukia uislamu kwasababu ya matendo ya baadhi ya waumini wao

Mf, wale walio lipua waumini wa kanisa katoliki pale Arusha

Wale walio vamia supamaketi pale Nairobi
Wale walio lipua ubolozí pale dar na Nairobi

3. Nachukia uislamu kwa sababu ya tabia ya kulazimisha wamefunga wao wanakulazimisha na wewe ufunge
Wanalazimisha hakuna kujenga kanisa
Kulazimisha watu wafuate matakwa yao.
 
Kwanini nchi inayotekeleza adhabu kwa kufuata kitabu cha dini isiwe nchi ya kidini?
Saudi hawafuati kitabu , nakupa mfano kuna mwanawachuoni (mtu aliyesoma elimu ya dini ya kiislamu) wa kishia ka majina Nimr Baqir al-Nimr aliuwawa nchini saudi arabia mwaka 2016 kwa sababu tu alionesha kupinga uongozi wa saudi.

Hakuna sehemu kwenye quran utakuta eti umuuwe mtu kwa sababu ya kutopendezwa na uongozi wako .

Kingine saudi wameruhusu pombe na mpaka sasa wameshatengeneza ma disco mengi tu na yanatumika Hakuna sehemu kwenye quran utakuta hayo yameruhusiwa , ni wa quran ipi wanayoitumia wao?
 
Mpumbavu kweli. Hujui kama Quran imetafsiriwa.. mimi nioneshe neno la kiarabu je mimi ni mwarabu.

Mimi nakupa mstari wa kiarabu na tafsiri yake ya kiswahili. Ama waliotafsiri quran ni waongo ?
Sas hio ulioleta ni tafsir au kuna mwehu mahali kaokota smartphone nazungumza nae.
Sijui unavuta bangi
 
1. Copts christian in Egypt

Mashambulizi yaliyofanywa na waislamu kwenye makanisa zaidi ya 45 na kuua watu
View attachment 2901974

View attachment 2901976

Kaa maelezo zaidi unaweza kusoma hapa
Ukisoma report yako ni ya 2013 same time wakati wa machafuko ya Egpty na kutolewa Hosni Mubarak kuja morsi, Nchi haikua stable
Ushauri wangu nimekupa usitafute source za Wakristo wa Middle East kupitia West, kwa zaidi ya miaka 1000 west wanaua Wakristo wa Middle East haya mambo hayajaaza leo wala Jana Yameanza hata kabla Mtume hajazaliwa.

West wamechanganya Ukristo na Mila zao za Kigiriki na Kiroma, then wanaforce wakristo wote wafuate ndio maana ukaona mgawanyiko wa Katoliki na Orthodox, Makanisa ya Mashariki kama Ya Kirusi na middle East mara kwa mara yamekua targeted na hao west kwenye Genocide mbalimbali.

Hapo Lebanon kwani Serikali inaundwa na nani? Maraisi wengi wa hio Nchi ni Wakristo na Huyu ni MICHAEL Aoun alikuwa Raisi wa Lebanon ka sum up vizuri tu

Hapa akielezea kuhusu kwanini Wakristo wa Lebanon wanaungana na Hezbollah

"We chose this long-term political option, because we knew that the interests of the West do not lie with us. Its interests lie with Israel, on one hand, and with the oil, on the other hand. We are not included among its interests at present. The only thing it cares about is resolving the problem of Israel at our expense, through the naturalization of the Palestinians in Lebanon, and pleasing the oil-producing countries, because its material interests lie there. Therefore, we had to choose a policy of coordination with all elements of Lebanese society, and with our neighboring countries, in order to build strong, solid, and mutual relations. Lebanese society in general, and the Christians in particular, are not used to this, and therefore, it has aroused fear and concern. However, our confidence in ourselves, in the choice we made, and in our views have made it possible for us to stand before you, and to ask you to give the efforts we are undertaking a chance. A short while ago, in Doha, we saw the results. All the Christians in the Middle East, all the Christians in the Middle East are fleeing, while the Christians of Lebanon are returning. The forecasts of the entire world. For 25–35 years, we have been reading that the Christians in the Middle East are becoming extinct. Western policies have led the Christians in the Middle East towards extinction. Western policies have not left a single Christian in Palestine and the holy places. Western policies have not left a single Christian in Iraq. They intended to get rid of us by marginalizing us, and by treating us as a superfluous element in society."[95]

So si kweli kwamba Hezbollah wanashambulia Wakristo unless ni Mossad na Makundi mengine ya Wasaliti.

Wakristo wa Middle East hawajaondoka kwa ajili ya Waisilamu bali Sababu ya Usa na washirika wake, ndio maana hata Migrant wakristo wanaokimbia Middle East wanaenda South America na sio Usa na Ulaya, wameitransform South America kuja kuipa Nguvu Middle East baadae.

Jifunze Ukristo Wa Middle East kupitia Wakristo wenyewe wa Middle East na sio west,

Pitia hapa kwa real feedback

View: https://www.reddit.com/r/AskMiddleEast/comments/vbwj67/christian_of_the_middle_east_is_this_true_if_so/
 
Sawa lakini umewahi kuona wapi wakristo wamefanya uhalifu na wana chant Allahu Akbar?
Umejuaje hao ni waisilamu ama wakristo? Kuna vikundi 12 Palestina vilivamia Israel hio siku, Hamas ni kimoja wapo ila kulikua na wengine pia.
 
Vagina... Upo? Mi nikiliona jina lako sheikh wangu nasisimka sana. Nasema eeeeh.... Inshallah.... Una jina zuri. Mashallah.

sawa Chizi

Christ” or Khristos (Χριστός) means “anointed one” and comes from khrio (χρῑ́ω) meaning “to rub” (i.e., with oil), from the Proto-Indo-European *gʰer-. There is a Sanskrit cognate of Khristos
 
Sijui unasoma Biblia ipi Masihi yupo mmoja. Unasema Mtume alienda Motoni? Sababu tu kuwa alisema hajui aendako? Umekufuru. Kila siku tunakumbushana kumswalia mtume kumbe wewe humswalii?

Ni yupi ??
 
Mbona nchi za kislam mbali sana hapa bongo tu muislam mweusi haruhusiwi kugusana na mwarabu wakati wa kuswali wanatengwa kabisa humo misitikini wakigusana viganja vya miguu
Muda mwingine wakikuta nafasi halafu sio mwarabu wanaambiwa kuna mtu hapo ili mradi wasichangamane nao
 
Sijui unasoma Biblia ipi Masihi yupo mmoja. Unasema Mtume alienda Motoni? Sababu tu kuwa alisema hajui aendako? Umekufuru. Kila siku tunakumbushana kumswalia mtume kumbe wewe humswalii?

Matthew 16:, 20 NDIPO ALIPOWAKATAZA SANA WANAFUNZI WAKE WASIMWAMBIE MTU YE YOTE ya kwamba yeye ndiye Kristo”.


Kazi kwako , CHIZI
 
Sasa we unataka upendwe na watu waliomkufuru hadi Mungu wao? Ambao Hawaombi wala kutaka msaada kwa jina la Mungu ila kwajina la mwanadam mwenzao
 
Hao wote wanauliwa na nani?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…