Kwanini watu wanachukia sana Ugali. Kwani ugali una kosa gani jamani?, Wanasayansi njoeni basi mtupe Elimu

Ugali ni cheap food.
Kitu chochote kikiwa cheap kinapoteza mvuto.

Lakini hata anayechukia ugali hawezi kula chakura akipendacho mfululizo.
 
Ugali ugali ndo chakula cha kila siku
 
Ugali uupige na nyamachoma, ndimu na kachumbari ya kwenda.

Ugali ule na kambale alioungwa na nazi 🤣

Ugali na kitimoto rosti acha kabisa.
Yesssss ugali una mboga zake bwanaa
 
Cha kushangaza,

Nilivyoanza kuishi morogoro na dar es salaam, nilishangaa sana watu kudharau dona na kusema ni chakula cha masikini. Eti dona inanenepesha.

Halafu ni kama ugali unachukiwa zaidi huku dar es salaam kuliko mikoani.
Tuna ubaguzi wa rangi mpaka kwenye ugali 😂😂😂.
 
Nadhani tungeongeza ubunifu katika mapishi yetu. Hivi waafrika kabla ya ukoloni tulikuwa tunakula nini, mbona vyakula vyote tunavyokula vina asili ya nje? Ugali unaonekana jau kwa sababu ya jinsi tunavyoupika. Tuuongezee ubunifu.
 
Bado hamjasema wazee bado hamjasema! Alisikika mwanaume wa dar mmoja pale kibaha
 

Attachments

  • 20241005_171740.jpg
    746 KB · Views: 6
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…