Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Kqa hiyo unatuambia kuwa magufuli naye ameamua kupendelea kwao ili kuuenzi utamaduni huo? Tutamtofautishaje na wengine walioulea utamaduni huo?au nae ni wale wale?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara alipendelea kitu gani? Nitajie mfano hai wa Mwaliimu aliopendelea kwao.Mara kwao, tena yeye ndiye aliyeanzisha huo mtindo wa kupendelea watu wa eneo lake alikotoka.
Haelewi huyo, achana nae.Pengine we bado ni mtoto mdogo na haujui wakina Mkono walikimbia nchi na kurudi baada ya Nyerere kufariki.
Hizi ni takwimu za tanapa na wizara ya utalii, sasa ningetegemea ukaja na takwimu kupinga hili, sijaziona.
Mara alipendelea kitu gani? Mambo Nitajie mfano hai wa Mwaliimu aliopendelea kwao.
Katika hiyo list yako, Tabora iondoeMikoa ya Tabora, Kigoma, Katavi na Rukwa ni mikoa pekee ambayo kwa kiwango kikubwa sana imetelekezwa na awamu zote.
Ukifika mikoa hiyo unafiikiri wanaoishi huko siyo watanzania, viongozi hufika wakati wa kampeni tu.
Mkuu ulitaka mkoa wa Mara usiwepo? Au uwe mwanza? Unataka serengeti iwe Arusha au Kenya?Alianzisha Mkoa wa Mara, Serengeti akaiweka kwao!
Mkuu ulitaka mkoa wa Mara usiwepo? Au uwe mwanza? Unataka serengeti iwe Arusha au Kenya?
Watu wa Kibondo kwa nini nao wasihoji kutokana na ubovu wa barabara zao hasa nyakati za mvua? Huku wakisikia na kuona ktk vyombo vya habari ya kuwa wenzao wanakula mema ya nchi.View attachment 1285596
Mtu yeyote mwenye akili timamu atawekeza kwenye mikoa hiyo ya kanda ya ziwa na mikoa kama Tabora n.k
Kwani wapiga kura wasukuma na wanyamwezi ni zaidi ya theruthi mmoja ya wananchi wote wa Tanzania wanaostahili kupiga kura.Wengi wape.
Hivi unaofahamu Tanzania vizuri au ni zile story wakati ukiwa Gisenyi?Kila kitu, kuanzia kuwaanzishia Mkoa wao wa Mara ambao haukuwepo wakati anakabidhiwa nchi mpaka kupendelea na kunyanyua watu wake kama Mkono, Warioba na wengineo.
Siyo swala la mimi kutaka au kutotaka kwani sijawahi hata kufika huko Mara, ila ni kwamba Mkoa wa Mara haukuwepo na ulianzishwa na Nyerere ambaye Mara ni kwao, kama vile Mwinyi alivyoanzisha Kisarawe kwao.
Sasa hizo sababu za kuanzishwa kwake kila Raisi pia atakupa sababu za kupendelea kwao, Mwinyi na Kisarawe, Mkapa Mtwara corridor, daraja la Mkapa, Daraja la Umoja, Kikwete Bagamoyo, Magufuli Geita.
Shell ndiyo nini? Au unamaanisha filling stations au petrol stations?Kilimanjaro inayosakamwa Sana na watu wa lake zone, haijawahi hata kutoa Rais jamani. Tofauti kubwa ni akili na Elimu. Lake zone somesheni watoto wenu Sana. Jengeni shule badala ya viwanja vya ndege na madaraja. Hayo madaraja mnatujengea sisi Wapare, Wachagga, Wameru, Wambulu na Waarusha. Tutaleta mitaji huko kujenga hotel, migahawa, bar, yard za magari, Sheli halafu mtaishia kuwa watumwa wetu.
..mengine UMEONGOPA.
..daraja la mto Rufiji lilianza kujengwa wakati wa Mzee Mwinyi.
..pesa za mradi wa barabara ya Kusini zilitolewa na Kuwait Fund na waziri wa ujenzi wakati huo alikuwa Nalaila Kiula.
..baadaye Kuwait Fund wakalegalega wakaja wafadhili wa Saudi Fund.
..Ujenzi wa barabara ya kusini uliendelea wakati wa Mzee Mkapa na Mzee Kikwete.
Kwani yeye MunguKqa hiyo unatuambia kuwa magufuli naye ameamua kupendelea kwao ili kuuenzi utamaduni huo? Tutamtofautishaje na wengine walioulea utamaduni huo?au nae ni wale wale?