Kwanini watu wanahoji Rais Magufuli kupeleka maendeleo Chato na Geita kwa ujumla?

Kwanini watu wanahoji Rais Magufuli kupeleka maendeleo Chato na Geita kwa ujumla?

Nimeshaelezea hilo unaweza peruzi kusoma kama ukipenda.
Ishakuwa usiku. Ila kupendelea home sio mbaya. ila tuweke mkakati, kila baada ya miaka 5 raisi ni zamzam mkoa kwa mkoa. Akitoka huyu 2020 raisi atoke Kigoma. Then afuate wa Kusini Lindi/Mtwara
 
Ishakuwa usiku. Ila kupendelea home sio mbaya. ila tuweke mkakati, kila baada ya miaka 5 raisi ni zamzam mkoa kwa mkoa. Akitoka huyu 2020 raisi atoke Kigoma. Then afuate wa Kusini Lindi/Mtwara


Mimi siyo mpenzi wa huo ujinga lkn inaonekana kama ndiyo utamaduni wetu ulivyo, kwanza siyo Raisi tu hata maisha ya kawaida wangapi wanaanza kujenga vijijini kabla ya sehemu wanazoishi? Mara ngapi tunasikia yule jamaa wala hajajenga kwao, hivyo inaonekana ndiyo utamaduni wetu.

Msuya Waziri Mkuu alisambaza umeme kwao Same na Mwanga mpaka vijijini, Sumaye alimega Mkoa wa Arusha akaanzisha Hanang na Manyara, Sokoine Monduli, akina Mramba walisambaza lami huko kwao Migombani n.k. hivyo ndiyo utamaduni wetu na siyo Magufuli tu.
 
Inamaana hujui taratibu za kuanzisha maeneo mapya ya utawala? Mbona unajitoa ufahamu?
 
Kilimanjaro inayosakamwa Sana na watu wa lake zone, haijawahi hata kutoa Rais jamani. Tofauti kubwa ni akili na Elimu. Lake zone somesheni watoto wenu Sana. Jengeni shule badala ya viwanja vya ndege na madaraja. Hayo madaraja mnatujengea sisi Wapare, Wachagga, Wameru, Wambulu na Waarusha. Tutaleta mitaji huko kujenga hotel, migahawa, bar, yard za magari, Sheli halafu mtaishia kuwa watumwa wetu.
Hivi hayo maendeleo mnayosema yapo Kilimanjaro ni yapi hayo...mbona pa kawaida sana...njooni kahama muone maendeleo..haya maneno mengine nikujikuza bure tu...ila Kwa mtazamo wangu naona maendeleo Tanzania yanafanana sana...Hamna sehemu wanaweza kujidai eti wameendelea kuliko wengine .....nasema labda zamani ila sio sasa hivi..sasa hivi tupo level moja wote ...... tena akina bwashee wamefulia sana siku hizi...mlioko madarakani muwahurumie sio Kwa msoto huo...angalau wapumue kidogo....
 
Hivi hayo maendeleo mnayosema yapo Kilimanjaro ni yapi hayo...mbona pa kawaida sana...njooni kahama muone maendeleo..haya maneno mengine nikujikuza bure tu...ila Kwa mtazamo wangu naona maendeleo Tanzania yanafanana sana...Hamna sehemu wanaweza kujidai eti wameendelea kuliko wengine .....nasema labda zamani ila sio sasa hivi..sasa hivi tupo level moja wote ...... tena akina bwashee wamefulia sana siku hizi...mlioko madarakani muwahurumie sio Kwa msoto huo...angalau wapumue kidogo....
Unalinganisha Kahama na Kilimanjaro? Au unaesema Kahama imeizidi Kilimanjaro? Kwa mkoa wa Kilimanjaro, sio kusemwa tu, ni kweli kwamba Kuna maendeleo ya jumla na ya mtu mmoja mmoja.
 
Shell ndiyo nini? Au unamaanisha filling stations au petrol stations?

[emoji23][emoji23][emoji23] yani kaandika vizuri ila hapo kwenye “Shell” tu ndio kaharibu! Hivi hapa Tanzania bado Shell wana filling stations zao kweli?
 
Bwashee tutabishana bure tu...ila ukweli ni kwamba
Unalinganisha Kahama na Kilimanjaro? Au unaesema Kahama imeizidi Kilimanjaro? Kwa mkoa wa Kilimanjaro, sio kusemwa tu, ni kweli kwamba Kuna maendeleo ya jumla na ya mtu mmoja mmoja.
Bwashee tutabishana bure tu ila ukweli Ni kwamba sasa hivi kimaendeleo hakuna kabila la kuwaringia wengine...tupo Sawa..sana tena naweza kusema wananzengo ndio wenye hela sasa hivi kuliko akina bwashee... Kidogo na watu wa iringa...sasa hivi akina bwashee mambo ni magumu...biashahara zimekua ngumu...sijui hata kama kwenu mtarudi mwezi huu...
 
Bwashee tutabishana bure tu...ila ukweli ni kwamba

Bwashee tutabishana bure tu ila ukweli Ni kwamba sasa hivi kimaendeleo hakuna kabila la kuwaringia wengine...tupo Sawa..sana tena naweza kusema wananzengo ndio wenye hela sasa hivi kuliko akina bwashee... Kidogo na watu wa iringa...sasa hivi akina bwashee mambo ni magumu...biashahara zimekua ngumu...sijui hata kama kwenu mtarudi mwezi huu...
Watarudi, lipo deluxe la elfu 16..
yaani wanapendelewa mno..
 
Nimeshapiga marufuku kutumia barabara hiyo kwenda ama kutoka Kigoma. Bora nipande train
 
Hakimu Mfawidhi, Wasukuma chuo kikuu cha nini watu washamba kama nini hata mkiletewa Oxford hambadiliki
Acheni tabia ya kubeba mabegi ya ngunakuja mwanza mjini kupiga picha na ile sanam ya samaki pale round about
Na kwenye usafiri wa mabasi mnakula hovyo hovyo hamuogi
 
Mtoa mada anasahau kwamba kinachosababisha watalii kuegemea ukanda wa kaskazini na hata wawekezaji kupenda Arusha kuliko Mara na Mwanza ni kwa sababu kuna vivutio vingine sio Serengeti tu. Kuna Ngorongoro, Tarangire, Lake Manyara, Arusha National Park, Mlima Kilimanjaro na Mkomazi. Unadhani mtalii ataenda Mwanza ili aende Serengeti tu? Wakati akifika Arusha kunakuwa na chances kibao za kufika mbuga na hifadhi zingine?
Kwa takwimu za tanapa 80% au zaidi ya watalii wanaokuja nchi hii wanakuja kwa ajili ya serengeti, kama ingekua hiyo ndio sababu basi tungeona mapato ya hizo mbuga yanazidi serengeti. Hii nchi utalii ni serengeti na serengeti ndio utalii.
 
Hakimu Mfawidhi, Wasukuma chuo kikuu cha nini watu washamba kama nini hata mkiletewa Oxford hambadiliki
Acheni tabia ya kubeba mabegi ya ngunakuja mwanza mjini kupiga picha na ile sanam ya samaki pale round about
Na kwenye usafiri wa mabasi mnakula hovyo hovyo hamuogi
Haya sasa ni majungu, kula hovyo hovyo ndio kula kwa namna gani?
 
Kwa takwimu za tanapa 80% au zaidi ya watalii wanaokuja nchi hii wanakuja kwa ajili ya serengeti, kama ingekua hiyo ndio sababu basi tungeona mapato ya hizo mbuga yanazidi serengeti. Hii nchi utalii ni serengeti na serengeti ndio utalii.
Arusha is well known World Wide than Mwanza.
 
Back
Top Bottom